Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Trump: Tillerson 'anapoteza muda wake' kujaribu kuzungumza na Korea Kaskazini, tutafanya kinachopasa kufanywa!

    Trump: Tillerson 'anapoteza muda wake' kujaribu kuzungumza na Korea Kaskazini, tutafanya kinachopasa kufanywa!

    Oct 02, 2017 04:26

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema mazungumzo ya moja kwa moja na Korea Kaskazini hayatoupatia utatuzi mkwamo wa kadhia ya nyuklia ya Pyongyang na kusisitiza kwamba waziri wake wa Mambo ya Nje Rex Tillerson "anapoteza muda wake" kutaka kufanya mazungumzo na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un.

  • Korea Kaskazini: Yataka kutumiwa njia za amani badala ya za kijeshi kudumisha usalama katika eneo

    Korea Kaskazini: Yataka kutumiwa njia za amani badala ya za kijeshi kudumisha usalama katika eneo

    Sep 30, 2017 04:52

    Serikali ya Korea Kaskazini imesema ili kuhitimisha mgogoro wa eneo la Peninsula ya Korea, kuna haja ya kuwekwa kando mipango ya kijeshi na kushikamana na mfumo wa amani.

  • Russia kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini

    Russia kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini

    Sep 27, 2017 09:58

    Afisa mmoja wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Moscow imepanga kuanza mazungumzo ya kisiasa na Korea Kaskazini kwa ajili ya kupunguza mivutano na hofu katika rasi ya Korea.

  • Wananchi wa Marekani wanapinga kushambuliwa kijeshi Korea ya Kaskazini

    Wananchi wa Marekani wanapinga kushambuliwa kijeshi Korea ya Kaskazini

    Sep 26, 2017 02:49

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kuwa aghalabu ya wananchi wanapinga kushambuliwa kijeshi Korea ya Kaskazini.

  • Russia: Marekani haiwezi kuthubutu kuishambulia Korea Kaskazini

    Russia: Marekani haiwezi kuthubutu kuishambulia Korea Kaskazini

    Sep 25, 2017 04:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani haithubutu kufanya shambulizi lolote dhidi ya Korea Kaskazini kwa kuwa inafahamu fika kwamba Pyongyang ina mabomu ya nyuklia.

  • Tillerson: Chaguo la kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini liko mezani

    Tillerson: Chaguo la kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini liko mezani

    Sep 23, 2017 02:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, chaguo la kijeshi la Washington dhidi ya Korea ya Kaskazini bado liko mezani.

  • Kim Jong-un: Trump ana matatizo ya kiakili, nitamfanya ajutie matamshi yake ya vitisho

    Kim Jong-un: Trump ana matatizo ya kiakili, nitamfanya ajutie matamshi yake ya vitisho

    Sep 22, 2017 04:45

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amejibu matamshi ya vitisho ya Rais Donald Trump wa Marekani na kusema kuwa, rais huyo wa Marekani ana matatizo ya kiakili na kwamba atalipa gharama ya matamshi yake ya vitisho dhidi ya Pyongyang.

  • Meli za kivita za China, Russia zaanza mazoezi karibu na Korea Kaskazini

    Meli za kivita za China, Russia zaanza mazoezi karibu na Korea Kaskazini

    Sep 18, 2017 14:16

    Meli za kivita za China na Russia zimeanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi karibu na Korea Kaskazini huku kukiwa na wasiwasi kuwa mvutano baina ya Marekani na Korea Kaskazini unaweza kugeuka na kuwa makabiliano ya ana kwa ana ya kijeshi.

  • Gallup: Wamarekani wengi wanataka Korea Kaskazini ishambuliwe kijeshi

    Gallup: Wamarekani wengi wanataka Korea Kaskazini ishambuliwe kijeshi

    Sep 16, 2017 02:36

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni na taasisi ya Gallup yanaonyesha kuwa, nusu ya wananchi wa Marekani wanaunga mkono suala la kushambulia kijeshi Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini yafyatua kombora jengine saa chache baada ya kutishia

    Korea Kaskazini yafyatua kombora jengine saa chache baada ya kutishia "kuizamisha" Japan

    Sep 15, 2017 07:59

    Vyombo vya habari vya Japan na Korea Kusini vimetangaza kuwa Korea Kaskazini imefyatua kombora jengine lililopaa juu ya kisiwa cha Japan cha Hokkaido alfajiri ya kuamkia leo saa chache baada ya kutishia kwamba itaizamisha ardhi ya Japan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS