Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kundi la kigaidi

  • Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria

    Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria

    Jun 28, 2020 02:37

    Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa katika shambulizi lililofanywa na jeshi la taifa la Nigeria dhidi ya ngome za kundi hilo huko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Jun 10, 2020 08:01

    Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Kufichuliwa kashfa ya Saudia ya kutuma maelfu ya magaidi nchini Iraq

    Kufichuliwa kashfa ya Saudia ya kutuma maelfu ya magaidi nchini Iraq

    May 25, 2020 04:32

    Kusambazwa faili la sauti katika mitandao ya kijamii kumepelekea kufichuliwa kashfa ya Saudi Arabia kutuma maelfu ya magaidi wa nchi hiyo kwenda Iraq katika miaka ya hivi karibuni.

  • Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria

    Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria

    Mar 28, 2020 12:10

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa kwa akali wanachama 100 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni dhidi ya ugaidi iliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo.

  • Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Machaguo mawili ya Moscow kwa makundi ya kigaidi, Idlib nchini Syria

    Mar 19, 2020 02:43

    Russia imeyapa machaguo mawili makundi ya kigaidi yananayofadhiliwa na nchi za Magharibi katika eneo la Idlib huko kaskazini mwa Syria. Mwezi Januari mwaka huu jeshi la Syria na washirika wake walianzisha operesheni ya kuusafisha mkoa huo wa Idlib, ambao ndio ngome ya mwisho ya magaidi ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Magaidi 33 wa kundi la al-Shabab waangamizwa nchini Somalia

    Magaidi 33 wa kundi la al-Shabab waangamizwa nchini Somalia

    Jan 04, 2020 13:34

    Wanamgambo wasiopungua 33 wa kundi la kigaidi la al-Shabab wameangamizwa katika operesheni mbili tofauti za jeshi kusini magharibi mwa Somalia.

  • Raia wawili wauliwa kaskazini mwa Cameroon katika shambulio la kigaidi la Boko Haram

    Raia wawili wauliwa kaskazini mwa Cameroon katika shambulio la kigaidi la Boko Haram

    Dec 29, 2019 08:09

    Maafisa usalama wa Cameroon wametangaza kuwa raia wawili wameuawa katika shambulio la kigaidi la kundi la Boko Haram katika eneo la kaskazini ya mbali nchini humo.

  • Makumi ya askari wa Ufaransa wajiunga na makundi ya kigaidi Iraq na Syria

    Makumi ya askari wa Ufaransa wajiunga na makundi ya kigaidi Iraq na Syria

    Dec 19, 2019 04:06

    Kituo cha Kuchunguza Ugaidi cha Ufaransa kimetangaza kuwa wanajeshi 30 wa nchi hiyo wamejiunga na makundi ya kigaidi katika nchi za Syria na Iraq.

  •  Magaidi sita waangamizwa katika operesheni iliyofanywa na jeshi nchini Burkina Faso

    Magaidi sita waangamizwa katika operesheni iliyofanywa na jeshi nchini Burkina Faso

    Dec 01, 2019 03:07

    Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa magaidi sita wameuliwa katika operesheni iliyofanywa na askari wa jeshi hilo.

  • Marekani yadai imeitupa baharini maiti ya Abu Bakr al Baghdadi

    Marekani yadai imeitupa baharini maiti ya Abu Bakr al Baghdadi

    Oct 29, 2019 16:36

    Mkuu wa majeshi ya Marekani amedai kuwa mwili wa aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al Baghdadi umetupwa bahaini baada ya kuthibitishwa kuwa wake kupitia kipimo cha vinasaba (DNA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS