• Hatimaye vita vya Gaza vyasimamishwa kwa muda wa siku 4

    Hatimaye vita vya Gaza vyasimamishwa kwa muda wa siku 4

    Nov 22, 2023 06:39

    Hatimaye kumefikiwa makubaliano ya kusitisha vita huko Gaza kwa muda wa siku nne ili kutoa fursa ya kufikishwa misaada ya kibinadamu na pande mbili kubadilishana mateka.

  • Upinzani wa Wamagharibi kwa usitishaji vita Gaza

    Upinzani wa Wamagharibi kwa usitishaji vita Gaza

    Nov 14, 2023 09:23

    Licha ya kupita karibu siku 40 tangu ilipotokea operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa na radiamali ya utawala wa Kizayuni kwa operesheni hiyo kwa kushambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza na kuuawa maelfu ya Wapalestina na uharibifu mkubwa wa eneo hilo, lakini baadhi ya madola ya Magharibi yakifungamana na Waziri Mkuu wa utawala huu, Benjamin Netanyahu, bado yangali yanapinga usitishaji wa vita hivi vya umwagaji damu.

  • Netanyahu akataa ombi la Biden la kusitisha mapigano kwa siku 3 huko Gaza

    Netanyahu akataa ombi la Biden la kusitisha mapigano kwa siku 3 huko Gaza

    Nov 09, 2023 02:18

    Rais Joe Biden wa Marekani amemtaka Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Israel asitishe mapigano kwa siku tatu ili kutatua suala la mateka. Kuhusiana na jambo hilo, Biden amesema katika mazungumzo ya simu yaliyofanyika siku ya Jumanne alimuomba Benjamin Netanyahu asitishe mapigano ili kuandaa uwanja wa kushughulikiwa suala la mateka wa Israel.

  • Misimamo inayogongana ya White House na Biden kuhusu kusitishwa mapigano huko Ghaza

    Misimamo inayogongana ya White House na Biden kuhusu kusitishwa mapigano huko Ghaza

    Nov 03, 2023 03:27

    Ikiwa zimepita takribani wiki 4 tangu kuanza operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na mashambulizi ya jinai ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza ambayo yamepelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa maelfu ya Wapalestina hususan watoto na wanawake, Marekani ambayo ni muungaji mkono mkuu na mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni, bado inataka kuendelezwa mauaji ya umwagaji damu huko Ghaza.

  • Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Upinzani mkali wa Marekani dhidi ya juhudi za kusitisha vita Ghaza

    Oct 24, 2023 10:03

    Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni si tu kwamba inatoa misaada ya kila aina ya silaha na fedha kwa ajili ya kuushambuliwa Ukanda wa Ghaza, bali pia inapinga vikali usitishwaji vita katika uvamizi huo wa umwagaji damu kwa visingizio vya uongo na visivyo na msingi.

  • Pande hasimu Sudan zafikia makubaliano mapya ya usitishaji vita ya saa 72

    Pande hasimu Sudan zafikia makubaliano mapya ya usitishaji vita ya saa 72

    Jun 18, 2023 11:19

    Pande mbili zinazopigana nchini Sudan, jeshi la taifa SAF na kikosi cha uusaidizi wa haraka (RSF), zimekubaliana kusitisha mapigano kwa saa 72 kuanzia Jumapili ya leo.

  • Makubaliano ya awali ya pande zinazozozana Sudan kwa ajili ya kusitisha mapigano

    Makubaliano ya awali ya pande zinazozozana Sudan kwa ajili ya kusitisha mapigano

    May 13, 2023 07:22

    Hatimaye baada ya siku tatu za mazungumzo magumu ya kurudisha amani nchini Sudan, pande mbili zinazohasimiana zimetia saini taarifa na kukubaliana kuwa maslahi ya watu wa nchi hiyo yapewe kipaumbele. Pande hizo zimekubali kuchukua hatua zote za lazima ili kutowadhuru raia na kuwaruhusu waondoke kwenye maeneo yenye mapigano na yaliyozingirwa.

  • UN yakaribisha usitishaji vita uliotekelezwa na Russia Ukraine

    UN yakaribisha usitishaji vita uliotekelezwa na Russia Ukraine

    Jan 07, 2023 07:35

    Martin Griffiths, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Masuala ya Kibinadamu, amesema usitishaji mapigano wa upande mmoja uliotekelezwa na Russia ni fursa ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu katika maeneo yaliyoathiriwa na vita.

  • Wayemen walivyojiimarisha kwa nguvu za kijeshi kuzuia adui asijusuru kuanzisha mashambulio

    Wayemen walivyojiimarisha kwa nguvu za kijeshi kuzuia adui asijusuru kuanzisha mashambulio

    Sep 10, 2022 02:29

    Wakati mwaka wa nane wa vita vilivyoanzishwa na muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen ukiwa unaendelea kupita, Wayemen wanazidi kuongeza nguvu na uwezo wao wa kijeshi wa kumzuia adui asithubutu kuanzisha mashambulio dhidi ya nchi hiyo.

  • Tahadhari kuhusu uwezekano wa kusambaratika usitishaji vita nchini Yemen

    Tahadhari kuhusu uwezekano wa kusambaratika usitishaji vita nchini Yemen

    Jul 11, 2022 02:34

    Mahdi al-Mashat, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuanzishwa tena operesheni za kijeshi, akiashiria ukiukaji vita wa mara kwa mara unaofanywa na muungano wa kijeshi wa Saudia.