-
Usitishaji vita; igizo la usanii inaofanya Saudia Yemen kwa kuutumia vibaya Umoja wa Mataifa
May 10, 2022 02:28Awamu ya kwanza ya ubadilishanaji mateka kati ya Yemen na Saudi Arabia imefanyika katika hali ambayo Riyadh ingali inazuia kufunguliwa tena Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a.
-
Abdollahian: Iran inapinga vita vya Ukraine na eneo lolote duniani
May 09, 2022 02:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna wajibu wa kufanyika mazungumzo ya kisiasa baina ya Ukraine na Russia kwa ajili ya kukomesha haraka vita huko Ukraine kwani vita si kwa manufaa ya upande wowote.
-
Jibu kali la Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen kwa mawaziri wenzake wa Marekani na Uingereza
Sep 07, 2021 11:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amezitaka Marekani na Uingereza kutoa mchango chanya na kutoegemea upande wowote katika juhud za kurejesha amani huko Yemen.
-
Magaidi wajisalimisha kwa jeshi la Syria katika eneo la Dar'a
Sep 02, 2021 02:59Duru za habari zimetangaza kuwa, kundi la watu wenye silaha la eneo la Dar'a wa kusini mwa Syria limejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo na Kiarabu na kukabidhi silaha zao.
-
Hatimaye vita vyasitishwa Gaza baada ya Israel kukubali mpango wa kusitisha vita
May 21, 2021 03:54Baada ya siku 11 za hujuma na mashambulio ya kijeshi ya utawala vamizi wa Kizayuni wa Israel hatimaye utawala huo umeafiki mpango wa kusitisha vita.
-
Kutia saini pande hasimu nchini Libya makubaliano ya usitishaji vita
Oct 24, 2020 06:16Hatimaye baada ya mazungumzo marefu na tata pande hasimu nchini Libya zimetiliana saini makubaliano ya usitishaji vita.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yatangaza kusitisha vita
Aug 23, 2020 00:01Wakati pande mbalimbali zikiendelea kulumbana juu ya namna ya kugawana keki ya Libya na kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo, Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa yenye makao yake mjini Tripoli imetoa amri ya kusitishwa vita mara moja na kusimamishwa operesheni zote za kijeshi.
-
Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya yakataa usitishaji vita wa Khalifa Haftar
May 01, 2020 08:08Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imekataa usitishaji vita wa upande mmoja wa jenerali muasi Khalifa Haftar anayewaongoza wanamgambo wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya.
-
Sababu ya Saudi Arabia ya kutofungamana na madai yake ya usitishaji vita nchini Yemen
Apr 24, 2020 09:41Tarehe 9 Aprili Saudi Arabia ambayo ni kinara wa muungano wa kijeshi dhidi ya Yemen ilitangaza habari ya usitishaji vita wa upande mmoja kwa muda wa majuma mawili huko Yemen.
-
Saudi Arabia na usitishaji vita nchini Yemen
Apr 10, 2020 10:40Saudi Arabia imetangaza kuanza usitishaji vita wa wiki mbili huko Yemen hata hivyo nchi hiyo ilikiuka usitishaji vita huo katika masaa ya awali tu ya kuanza kutekelezwa.