Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kuwait

  • Malengo ya safari ya kwanza nje ya nchi ya Rais wa Iraq huko Kuwait

    Malengo ya safari ya kwanza nje ya nchi ya Rais wa Iraq huko Kuwait

    Nov 12, 2018 12:39

    Barham Salih, Rais mpya wa Iraq jana Jumapili aliwasili nchini Kuwait ikiwa ni kituo chake cha kwanza katika safari yake ya kieneo ya kuzitembelea nchi kadhaa za Ghuba ya Uajemi.

  • Mgogoro wa mafuta kati ya Saudia na Kuwait waongezeka

    Mgogoro wa mafuta kati ya Saudia na Kuwait waongezeka

    Nov 07, 2018 07:14

    Mkuu wa Shirika la Mafuta la Kuwait, Nizar Mohammed Al-Adsani ameelezea habari ya kuendelea mogoro kati ya nchi hiyo na Saudi Arabia kuhusiana na maeneo yenye utajiri wa mafuta ya Wafra na Al-Khafji.

  • Wabunge wa Kuwait wapinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Wabunge wa Kuwait wapinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Oct 29, 2018 04:36

    Wawakilishi wa Bunge la Kuwait wamepinga vikali hatua yoyote ya nchi yao ya kutaka kuwa na uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Wakuwait wakasirishwa na vitisho vya mwanamfalme wa Saudia dhidi ya nchi yao

    Wakuwait wakasirishwa na vitisho vya mwanamfalme wa Saudia dhidi ya nchi yao

    Oct 15, 2018 04:52

    Vitisho vya mwanamfalme mmoja wa Saudia juu ya uwezekano wa kutekelezwa operesheni aliyoiita kwa jina la 'Dhoruba ya Maamuzi' nchini Kuwait, vimeibua hasira ya Wakuwait.

  • US yatumia veto kupinga azimio la kutaka kulindwa Wapalestina

    US yatumia veto kupinga azimio la kutaka kulindwa Wapalestina

    Jun 02, 2018 07:48

    Marekani imetumia kura yake ya turufu kupinga rasimu ya azimio iliyowasilishwa na Kuwait katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, ikitaka kulindwa Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.

  • Rais wa zamani wa Komoro ashikiliwa kifungo cha nyumbani kufuatia kashfa ya pasipoti

    Rais wa zamani wa Komoro ashikiliwa kifungo cha nyumbani kufuatia kashfa ya pasipoti

    May 20, 2018 14:49

    Rais wa zamani wa Komoro Ahmed Abdallah Mohammad Sambi anashikiliwa katika kifungo cha nyumbani nchini humo baada ya serikali kudai kuwa alihusika katika kashfa ya ufisadi ya kuwauzia wageni uraia.

  • Kuwait: Ni muhali eneo la Mashariki ya Kati kupata usalama bila kuihusisha Iran

    Kuwait: Ni muhali eneo la Mashariki ya Kati kupata usalama bila kuihusisha Iran

    Mar 25, 2018 02:20

    Waziri wa Ulinzi wa Kuwait amesema kuwa, ni muhali eneo la Mashariki ya Kati kupata usalama bila kuishirikisha na kuiweka karibu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq.

  • Qassemi: Al Jubeir anabwabwaja, anataka kuzungumza kwa niaba ya Wairaqi

    Qassemi: Al Jubeir anabwabwaja, anataka kuzungumza kwa niaba ya Wairaqi

    Feb 15, 2018 16:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia katika kikao cha kuijenga upya Iraq dhidi ya Iran na kusema: Adel al-Jubeir amesahau kwamba hawezi kuzungumza kwa niaba ya serikali ya Iraq na wananchi wa nchi hiyo.

  • Nchi 70 kushiriki katika mkutano wa kuijenga upya Iraq

    Nchi 70 kushiriki katika mkutano wa kuijenga upya Iraq

    Feb 05, 2018 04:38

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imetangaza kuwa, nchi 70 na mamia ya mashirika makubwa na wewekezaji wa kimataifa wametangaza nia yao ya kushiriki katika mkutano wa kuijenga upya Iraq unaotarajiwa kufanyika Kuwait baadaye mwezi huu.

  • Kumalizika ghafla kikao cha Kuwait na kudhihirika zaidi mwenendo wa kusambaratika Baraza la Ghuba ya Uajemi

    Kumalizika ghafla kikao cha Kuwait na kudhihirika zaidi mwenendo wa kusambaratika Baraza la Ghuba ya Uajemi

    Dec 07, 2017 01:39

    Kikao cha 38 cha viongozi wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi kimefanyika hivi karibuni bila ya kuhudhiriwa na viongozi wengi wa nchi wananchama wa baraza hilo, kutokana na hitilafu nyingi zilizopo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS