Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kuwait

  • Mkutano wa Kuwait, hatua nyingine ya kutengwa Israel na Saudia

    Mkutano wa Kuwait, hatua nyingine ya kutengwa Israel na Saudia

    Nov 20, 2017 02:47

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Izzat al Rashq amesema kuwa, mkutano wa kukabiliana na hatua za koboresha uhusiano wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi na utawala wa Kizayuni wa Israel uliofanyika Kuwait ni hatua muhimu katika njia ya kuitenga na kuiabisha zaidi Israel na washirika wake.

  • Tathmini ya Kuwait kuhusu mwenendo wa kusambaratika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Tathmini ya Kuwait kuhusu mwenendo wa kusambaratika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Oct 25, 2017 07:49

    Amir wa Kuwait, Sheikh Jaber al-Ahmad al-Sabah amesema kuwa, kusambaratika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi ni kuporomoka ngome ya mwisho ya ushirikiano wa Kiarabu.

  • Mbunge wa Kuwait akemea vikali ujumbe wa Israel katika mkutano wa mabunge + Video

    Mbunge wa Kuwait akemea vikali ujumbe wa Israel katika mkutano wa mabunge + Video

    Oct 19, 2017 07:38

    Spika wa Bunge la Kuwait ameukemea vikali ujumbe wa bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel na kuulazimisha kuondoka katika mkutano wa kimataifa nchini Russia.

  • ADHRB: Saudia, Bahrain na Kuwait zinaongoza kwa kunyonga wapinzani

    ADHRB: Saudia, Bahrain na Kuwait zinaongoza kwa kunyonga wapinzani

    Oct 14, 2017 08:08

    Jumuiya ya Demokrasia na Haki za Binadamu ya Bahrain (ADHRB) imetangaza kuwa, hukumu za vifo dhidi ya wapinzani zimeongezeka sana katika nchi tatu za Saudi Arabia, Bahrain na Kuwait.

  • Kuwait yakadhibisha madai ya Reuters dhidi ya Iran

    Kuwait yakadhibisha madai ya Reuters dhidi ya Iran

    Aug 03, 2017 02:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Kuwait imetoa taarifa ikikadhibisha madai ya shirika la habari la Reuters kwamba Iran inatumia maji ya Kuwait kutuma silaha kwa harakati ya Ansarullah ya Yemen.

  • Kupunguzwa wanadiplomasia wa Iran; mchezo wa Kuwait katika uwanja wa Saudia

    Kupunguzwa wanadiplomasia wa Iran; mchezo wa Kuwait katika uwanja wa Saudia

    Jul 21, 2017 13:04

    Baada ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Kuwait kuchukua uamuzi wa kupunguza idadi ya wanadiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu nchini humo, balozi mdogo wa nchi hiyo mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na kufahamishwa kuwa serikali ya Iran pia ina haki ya kuchukua hatua kama hiyo dhidi ya Kuwait.

  • Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Jun 06, 2017 04:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Muhammad Javad Zarif, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Kuwait, Qatar, Lebanon, Algeria na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na matukio yanayoendelea kujiri katika eneo.

  • Spika wa Bunge Kuwait: Israel inapaswa kutengwa kimataifa

    Spika wa Bunge Kuwait: Israel inapaswa kutengwa kimataifa

    Mar 23, 2017 16:15

    Spika wa Bunge la Kuwait, Marzouq Al-Ghanim, amelaani siasa za kibaguzi za utawala haramu wa Israel na kusisitiza udharura wa kutengwa utawala huo katika Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge.

  • Rais wa Iran na Amir wa Kuwait wasisitiza ulazima wa umoja wa nchi za eneo

    Rais wa Iran na Amir wa Kuwait wasisitiza ulazima wa umoja wa nchi za eneo

    Feb 16, 2017 04:45

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Amir wa Kuwait wamesisitiza umuhimu wa umoja na mshikamano wa nchi jirani na za Kiislamu hasa kwa kuzingatia hali ya hivi sasa Mashariki ya Kati.

  • Rouhani: Iran inataka kuboresha uhusiano na eneo zima

    Rouhani: Iran inataka kuboresha uhusiano na eneo zima

    Feb 15, 2017 08:04

    Rais wa Iran amesema kuwa nchi hii inataka kuboresha uhusiano katika eneo zima la Ghuba ya Uajemi na kwamba lengo la mwisho la Tehran ni kuona amani na uthabiti zaidi inakuwepo katika eneo hili na nchi zote zinastawi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS