Nov 29, 2018 14:06
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa ushirikiano wa Iran, Syria, Russia na Uturuki katika kutatua matatizo mbalimbali ya kieneo ni mfano mzuri kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi kadhia na matatizo mbalimbali ya kiuchumi na kisiasa ya bara la Asia.