-
Larijani: Iran na Pakistan zimesimama kidete kukabiliana na matatizo ya ugaidi kwa busara
Jan 16, 2018 04:35Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran na Pakistan zikitumia busara na werevu zimeweza kusimama kidete na kukabiliana vyema na matatizo mbalimbali yanayosababishwa na ugaidi.
-
Larijani: Iran daima ina hamu ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika
Jan 14, 2018 07:56Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Jamhuri ya Kiislamu ina hamu kubwa ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika.
-
Larijani: Israel inafanya njama za kuzusha vurugu za kisiasa katika Mashariki ya Kati
Dec 18, 2017 14:14Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, utawala dhalimu wa Israel unafanya njama za kuleta vurugu za kisiasa katika Mashariki ya Kati na kuongeza kuwa, endapo nchi za Kiislamu zitadumisha umoja na mshikamano zitazuia kufikiwa malengo hayo ya Wazayuni.
-
Larijani awasili Moscow kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Mihadarati
Dec 04, 2017 02:39Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amewasili Moscow mji mkuu wa Russia akiongoza ujumbe wa ngazi ya juu kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Mihadarati utakaojadili suala la vita dhidi ya madawa ya kulevya.
-
Larijani: Ugaidi ni hatari kwa dunia nzima
Oct 16, 2017 12:04Spika wa majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, ugaidi ni hatari kubwa kwa usalama wa nchi zote duniani na mapambano dhidi ya uhalifu huo mkubwa yanahitajia ushirikiano wa nchi zote duniani.
-
Larijani: Marekani haiheshimu mapatano ya kimataifa
Oct 16, 2017 02:32Spika wa Bunge la Iran Ali Larijani amesema Rais Donald Trump wa Marekani hajali mapatano ya kimataifa na wala haheshimu Umoja wa Mataifa na amezionyesha nchi zote kuwa nchi yake haiminiki.
-
Larijani: Upo ulazima wa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na nchi za Kiafrika
Oct 08, 2017 07:28Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa, Tehran ina uhusiano wa kirafiki na mzuri na nchi za Kiafrika hususan Mali, na siku zote imekuwa ikiunga mkono huru na kujitawala nchi za Kiafrika.
-
Spika Larijani: Wamarekani wanafanya uafiriti katika suala la nyuklia
Oct 07, 2017 00:13Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, licha ya chuki na njama za Wamarekani dhidi ya Iran kugonga mwamba baada ya ushindi wa mapinduzi ya Kiislamu, lakini hadi sasa wangali wanaendeleza hatua zao za chuki na wamekuwa wakifanya uafiriti katika kadhia ya nyuklia.
-
Larijani apongeza ushindi wa Hizbullah ya Lebanon katika vita vya siku 33
Aug 16, 2017 04:02Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ametuma ujumbe tofauti kwa Nabih Berri Spika wa Bunge la Lebanon na Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Lebanon katika vita vya siku 33.
-
Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani
Aug 05, 2017 02:41Maspika wa mabunge ya Tanzania na Madagascar na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wamekutana na kufanya mazungumzo katika nyakati tofauti na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran.