-
Larijani apongeza ushindi wa Hizbullah ya Lebanon katika vita vya siku 33
Aug 15, 2017 23:32Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ametuma ujumbe tofauti kwa Nabih Berri Spika wa Bunge la Lebanon na Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Lebanon katika vita vya siku 33.
-
Spika wa Bunge la Tanzania na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wakutana na Larijani
Aug 04, 2017 22:11Maspika wa mabunge ya Tanzania na Madagascar na wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar wamekutana na kufanya mazungumzo katika nyakati tofauti na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran.
-
Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda
Aug 04, 2017 10:36Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Iran na Uganda zina vyanzo vingi vya utajiri na kwamba, kuna fursa nyingi za kushirikiana Tehran na Kampala.
-
Iran: Yaishitaki Marekani kwa hatua yake ya kuiwekea vikwazo vipya Tehran
Aug 01, 2017 09:44Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran sambamba na kubainisha kwamba, ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA uliofanywa na Marekani uko wazi, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislam ya Iran imewasilisha mashitaka kwenda kwa baraza na kamisheni inayosimamia makubaliano hayo, kutokana na hatua ya Washington ya kuliwekea taifa hili vikwazo vipya.
-
Spika Larijani: Kuunga mkono mhimili wa muqawama ni jukumu la Kiislamu na kibinadamu
Jul 26, 2017 22:52Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haisiti hata kidogo kuunga mkono mhimili wa muqawama na kuwakandamiza magaidi na kwamba, inalitambua hilo kama jukumu la Kiislamu na kibinadamu.
-
Spika wa Bunge Iran: Jumuiya za kimataifa zikabiliane na uhalifu wa Israel
Jul 24, 2017 21:58Spika wa Bunge la Iran amelaani ukatili unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa na ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kukabiliana ipasavyo na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel.
-
Larijani: Wamarekani wanataka kuwafuta wapinzani wao kwa bwabwaja
Jun 29, 2017 23:16Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa, Wamarekani wanatumia bwabwaja kama njia ya kutaka kuwafuta wapinzani wao.
-
Dakta Larijani: Israel ni mama wa ugaidi duniani
Jun 23, 2017 23:10Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika kumbukumbu za karne za mwisho hakuna tukio baya kama la kuasisiwa utawala haramu wa Israel kwani kuanzishwa na kuundwa utawala huo kumepelekea kufanyika jinai ambazo hazijawahi kutokea katika historia.
-
Spika Larijani: Kugawanywa Iraq ndilo takwa la utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 21, 2017 09:27Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kudumishwa umoja wa Iraq na kubainisha kwamba, kugawanywa nchi hiyo ya Kiarabu ndilo takwa hasa la utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Larijani: Hatua zote za Saudia ni kwa maslahi na manufaa ya Israel
Jun 20, 2017 03:25Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameukosoa vikali utawala wa Aal-Saud kwa kushirikiana kufa kupona na utawala wa Kizayuni wa Israel na kubainisha kuwa, hatua zote za Riyadh katika eneo hili ni kwa maslahi na manufaa ya Tel Aviv.