Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Wanajeshi 70 wa Israel waangamizwa katika shambulio la ardhini Lebanon

    Wanajeshi 70 wa Israel waangamizwa katika shambulio la ardhini Lebanon

    Oct 24, 2024 23:10

    Zaidi ya wanajeshi 70 wa Israel wameangamizwa na askari na maafisa zaidi ya 600 wamejeruhiwa katika shambulio la ardhini la jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel huko Lebanon.

  • Lebanon yawasilisha malalamiko mapya dhidi ya Israel kwa Baraza la Usalama

    Lebanon yawasilisha malalamiko mapya dhidi ya Israel kwa Baraza la Usalama

    Oct 16, 2024 23:23

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Lebanon imesema kuwa imewasilisha malalamiko yake mapya kwa Baraza la Usalama la UN kuhusu utawala wa Kizayuni.

  • Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) awasili mjini Beirut, Lebanon

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) awasili mjini Beirut, Lebanon

    Oct 12, 2024 08:18

    Mohammad Bagher Ghalibaf Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ambaye yupo njiani kuelekea Geneva kushiriki Mkutano wa Kilele wa Mabunge ya Dunia, amewasili mjini Beirut kabla ya kuelekea Uswisi kwa ajili ya kuonana na kuzungumza na viongozi wa Lebanon na kutangaza uungaji mkono wake kwa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Iran: Tumejiweka tayari kikamilifu kulinda mamlaka ya utawala ya ardhi yetu

    Iran: Tumejiweka tayari kikamilifu kulinda mamlaka ya utawala ya ardhi yetu

    Oct 11, 2024 04:16

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imejiweka tayari kikamilifu kulinda mamlaka yake na umoja wa ardhi yake dhidi ya uvamizi na uchokozi wowote utakaoyalenga maslahi yake makuu na usalama wake.

  • Unicef: Watoto zaidi ya 100 wameuawa Lebanon katika siku 11

    Unicef: Watoto zaidi ya 100 wameuawa Lebanon katika siku 11

    Oct 06, 2024 07:36

    Mfuko wa Kuwahudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza kuwa watoto zaidi ya 100 wameuawa huko Lebanon siku 11 zilizopita kufuatia hujuma na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi la Israel nchini humo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Usitishaji vita Lebanon na Gaza unapaswa kufanyika kwa wakati mmoja

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Usitishaji vita Lebanon na Gaza unapaswa kufanyika kwa wakati mmoja

    Oct 04, 2024 23:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran inaunga mkono usitishaji vita kwa sharti kwamba, haki za wananchi wa Lebanon ziheshimiwe na kukubaliwa na Muqawama na kusema: Usitishaji huo wa mapigano unapaswa kuwa sawia na usitishaji vita huko Gaza.

  • Israel yaendelea kumwaga damu za Walebanon mjini Beirut

    Israel yaendelea kumwaga damu za Walebanon mjini Beirut

    Oct 04, 2024 03:43

    Wizara ya Afya ya Lebanon imesema takriban watu 37 wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya 150 wakijeruhiwa katika mashambulizi mapya ya anga ya utawala haramu wa Israel, huku uchokozi usio na kikomo wa utawala huo katili dhidi ya Lebanon ukiendelea.

  • UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya  ya watoto wa Lebanon

    UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watoto wa Lebanon

    Oct 01, 2024 10:16

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Lebanon na ameelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya watoto nchini humo.

  • Madai ya Marekani katika muktadha wa kujaribu kuzuia vita Asia Magharibi

    Madai ya Marekani katika muktadha wa kujaribu kuzuia vita Asia Magharibi

    Sep 30, 2024 22:47

    Marekani ambayo ni mdhamini mkubwa zaidi wa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya mashambulizi makubwa dhidi ya watu wa Lebanon na Gaza, sasa inajitokeza kwa unafiki na kutoa wito wa kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani katika eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Abu Sharif: Irada ya muqawama ina nguvu kuliko njama yoyote

    Abu Sharif: Irada ya muqawama ina nguvu kuliko njama yoyote

    Sep 30, 2024 08:31

    Mwakilishi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema baada ya utawalal wa Kizayuni kumuua shahidi Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwamba: Licha ya kuipoteza nembo hiyo adhimu, lakini si tu muqawama hautadhoofishwa bali utaendeleza njia yake kwa nguvu zaidi na kwa azma kamili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS