-
Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupotea maelfu ya wahajiri waliorejeshwa Libya
Sep 19, 2021 02:09Afisa mmoja wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa amebainisha kutiwa wasiwasi na kupotea maelfu ya wahajiri ambao walikatizwa safari yao kuelekea Ulaya na kisha kurejeshwa Libya.
-
Algeria na Libya zakubaliana kufunguliwa tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli
Sep 17, 2021 22:01Rais wa Algeria na Naibu Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya wamekubaliana kufungua tena ubalozi wa Algeria huko Tripoli mji mkuu wa Libya.
-
Shakhsiya watiifu kwa utawala wa Gaddafi kuwa na nafasi muhimu katika uchaguzi ujao Libya
Sep 12, 2021 06:37Hatua ya kuachiwa huru wiki hii mwana wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, ni ishara kwamba Libya inaelekea katika mageuzi makubwa.
-
Bunge la Libya lapitisha sheria ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika Desemba
Sep 10, 2021 08:03Duru za habari zimetangza kuwa bunge la Libya limepitisha sheria ya uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mwezi Desemba mwaka huu.
-
Ujerumani yafungua tena ubalozi wake huko Tripoli, Libya
Sep 09, 2021 22:16Ujerumani imefungua tena ubalozi wake huko Libya baada ya kufungwa kwa miaka minane.
-
Mpango wa maridhiano ya kitaifa nchini Libya
Sep 07, 2021 22:10Mkuu wa Baraza la Uongozi nchini Libya Mohamed al-Menfi ametangaza kwamba mpango wa maridhiano ya kitaifa umeanza rasmi nchini humo na kwamba utekelezaji wa mpango huo ni hatua muhimu katika njia ya kukomesha machafuko katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Majirani wa Libya wamaliza mkutano wao; wasisitiza kutopatiwa silaha mamluki
Sep 01, 2021 06:46Kikao cha mataifa jirani na Libya kilichokuwa kikifanyika nchini Algeria kimemalizika huku washiriki wa mkutano huo wakisisitizia ulazima wa kuzuia kupatiwa silaha mamluki na wakati huo huo kukabiliana na hatua za kuzusha mifarakano miongoni mwa Walibya.
-
Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu nchini Libya; tatizo kubwa na la kimsingi
Aug 31, 2021 03:48Uwepo wa makundi ya kigaidi amilifu nchini Libya bado lingali ni tatizo kuu na la kimsingi kwa nchi hiyo katika njia ya kurejesha amani na uthabiti.
-
Wahajiri 17 wafariki dunia katika ajali ya boti pwani ya Libya
Aug 24, 2021 03:17Shirika la Wahamiaji Duniani (IOM) limesema wahajiri 17 wamekufa maji baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya.
-
Waziri Mkuu wa Libya amweleza Jenerali Haftar: Jeshi si milki ya mtu yeyote
Aug 11, 2021 07:41Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amemweleza kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) kwamba, jeshi la nchi hiyo haliwezi kuwa milki ya mtu yeyote yule.