Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Mjumbe mpya wa Umoja wa Mataifa kuhusu Libya aanza kazi rasmi

    Mjumbe mpya wa Umoja wa Mataifa kuhusu Libya aanza kazi rasmi

    Feb 08, 2021 12:07

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Libya leo Jumatatu, Februari 8, 2021 ameanza kazi rasmi.

  • Waziri Mkuu mpya wa Libya apewa siku 21 kuunda serikali

    Waziri Mkuu mpya wa Libya apewa siku 21 kuunda serikali

    Feb 06, 2021 10:22

    Waziri Mkuu mpya wa Libya amepewa siku 21 kuwa ametangaza serikali mpya baada ya kupasishwa kwa wingi wa kura za baraza la mazungumzo ya amani ya Libya.

  • Menfi achaguliwa rais wa muda nchini Libya, al-Dabaiba waziri mkuu

    Menfi achaguliwa rais wa muda nchini Libya, al-Dabaiba waziri mkuu

    Feb 06, 2021 01:16

    Mohammed al-Menfi amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Baraza la Urais la Libya huku Abdulhamid al-Dabaiba akichaguliwa kuwa waziri mkuu katika zoezi ambalo limesimamiwa na Umoja wa Mataifa siku ya Ijumaa. Wajumbe kutoka kambi hasimu nchini Libya wameafiki kunda serikali hiyo ya mpito katika kikao ambacho kimefanyika karibu na mji wa Geneva nchini Uswisi.

  • Wanamgambo wa Haftar wapigana wao kwa wao katika mji wa Sirte, Libya

    Wanamgambo wa Haftar wapigana wao kwa wao katika mji wa Sirte, Libya

    Feb 02, 2021 07:46

    Duru za habari zimearifu kuwa, wanamgambo wanaoongozwa na Jenerali muasi Khalifa Haftar kamanda wa vikosi kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya wamepigana wao kwa wao katika mji wa Sirte huko Libya.

  • Wagombea wa Baraza la Urais la Libya watangazwa

    Wagombea wa Baraza la Urais la Libya watangazwa

    Jan 31, 2021 04:13

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametangaza orodha ya wagombea wa Baraza la Urais na kiti cha Waziri Mkuu nchini humo.

  • Maiti 139 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Maiti 139 zagunduliwa katika makaburi ya umati Libya

    Jan 23, 2021 08:22

    Jumla ya maiti 139 zimegunduliwa katika makaburi ya umati katika mji wa Tarhauna, magharibi mwa Libya tokea mwezi Juni mwaka uliopita 2020 hadi sasa.

  • Umoja wa Mataifa watangaza tarehe ya uchaguzi wa Serikali ya Mpito Libya

    Umoja wa Mataifa watangaza tarehe ya uchaguzi wa Serikali ya Mpito Libya

    Jan 22, 2021 08:23

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya umetangaza kuwa, wagombea wa nafasi za uongozi katika serikali mpya ya mpito ya Libya wanatakiwa wajulikane katika kipindi cha wiki moja ijayo ili mwanzoni mwa mwezi ujao wa Februari kupigwe kura ya kuwachagua wagombea hao.

  • Misri yakaribisha mapatano ya Libya kuhusu mchakato wa katiba ya nchi hiyo

    Misri yakaribisha mapatano ya Libya kuhusu mchakato wa katiba ya nchi hiyo

    Jan 21, 2021 08:23

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imekaribisha mapatano yaliyofikiwa na pande za Libya kuhusu mchakato wa katiba ya nchi hiyo.

  • UN yatoa wito wa kurejeshwa operesheni za uokozi baada ya wahajiri 43 kupoteza maisha

    UN yatoa wito wa kurejeshwa operesheni za uokozi baada ya wahajiri 43 kupoteza maisha

    Jan 21, 2021 04:11

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa ya uhamiaji IOM na lile la kuhudumia wakimbizi UNHCR yametoa wito kwa nchi kurejesha operesheni za kuwasaka na kuwaokoa watu kwenye bahari ya Mediterania baada ya wahajiri wengine 43 kupoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea siku ya Jumatatu katika pwani ya Libya.

  • Mkuu wa UN ataka askari ajinabi waondoke Libya haraka iwezekavyo

    Mkuu wa UN ataka askari ajinabi waondoke Libya haraka iwezekavyo

    Jan 19, 2021 08:27

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka wanajeshi na mamluki wote wa nchi ajinabi waondoke nchini Libya haraka iwezekanavyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS