Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya: Imarati inakiuka sheria za kimataifa

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya: Imarati inakiuka sheria za kimataifa

    May 20, 2020 03:26

    Mwakilishi wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya (GNA) katika Umoja wa Mataifa amesema: Umoja wa Falme za Kiarabu unakiuka sheria za kimataifa kwa kutuma silaha nchini Libya.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya: Sehemu inayomfaa Khalifa Haftar ni jela tu

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya: Sehemu inayomfaa Khalifa Haftar ni jela tu

    May 19, 2020 20:19

    Muhammad Al-Qiblawi, Msemaji wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya amesisitiza kwamba hakutakuwa na usuluhishi wowote pamoja na wapiganaji wa Khalifa Haftar wanaojiita 'Jeshi la Kitaiga la Libya' na kwamba jenerali huyo muasi hana mustakbali wowote nchini humo.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya: Tunakaribia kupata ushindi mkubwa

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya: Tunakaribia kupata ushindi mkubwa

    May 19, 2020 10:53

    Kiongozi wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya (GNA) Fayez al-Sarraj amesisitiza kuwa vikosi vya serikali yake vinakaribia kupata ushindi mkubwa baada ya kukikomboa kituo cha anga cha al-Watiya kilichoko magharibi mwa mji mkuu wa nchi hiyo,Tripoli.

  • Jeshi la Libya lachukua udhibiti wa uwanja wa ndege za kijeshi kutoka wapiganaji wa Haftar

    Jeshi la Libya lachukua udhibiti wa uwanja wa ndege za kijeshi kutoka wapiganaji wa Haftar

    May 18, 2020 06:13

    Jeshi la Libya leo Jumatatu limechukua udhibiti wa Uwanja wa Ndege za Kijeshi wa Al-Watiya kutoka kwa wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar

  • Ujerumani yalaumiwa kwa kutumia vibaya mgogoro wa Libya

    Ujerumani yalaumiwa kwa kutumia vibaya mgogoro wa Libya

    May 17, 2020 20:11

    Duru mbalimbali duniani zinailaumu Ujerumani kwa kuchochea mapigano nchini Libya na kutojali vikwazo na marufuku ya kutopeleka silaha katika nchi hiyo iliyoathiriwa vibaya na vita.

  • Serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya yataka kukatwa uhusiano na Imarati

    Serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya yataka kukatwa uhusiano na Imarati

    May 16, 2020 06:32

    Mjumbe wa Baraza la Rais la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya, sambamba na kuashiria ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na uungaji mkono wa Imarati kwa jenerali muasi Khalifa Haftar, ametaka kukatwa uhusiano wa Tripoli na Abu Dhabi.

  • Kupamba moto mgogoro Libya na uingiliaji wa maajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Kupamba moto mgogoro Libya na uingiliaji wa maajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo

    May 13, 2020 07:14

    Mapigano ya ndani nchini Libya yamepamba moto hivi sasa na kutoa fursa kwa madola ajinabi yanayojali maslahi yao binafsi tu, kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Onyo la Uturuki dhidi ya vikosi vyenye mfungamano na Saudi Arabia nchini Libya

    Onyo la Uturuki dhidi ya vikosi vyenye mfungamano na Saudi Arabia nchini Libya

    May 12, 2020 05:37

    Uwepo wa kijeshi wa Uturuki nchini Libya na vita vya niaba vya Ankara dhidi ya baadhi ya madola ya Kiarabu yenye fikra mgando kama Saudi Arabia, kumeshadidisha matatizo ya serikali ya Recep Tayyip Erdogan barani Afrika.

  • Uturuki: Taarifa ya nchi tano dhidi yetu imetumia vipimo vya kiundumakuwili

    Uturuki: Taarifa ya nchi tano dhidi yetu imetumia vipimo vya kiundumakuwili

    May 12, 2020 03:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imesema, taarifa ya pamoja iliyotolewa na Misri, Ugiriki, Imarati, Ufaransa na Cyprus kuhusu Bahari ya Mediterania inaonyesha vipimo vya kiundumakuwili vinavyotumiwa na nchi hizo.

  • Spika wa Bunge la Libya: Khalifa Haftar hatokuwa mshirika wetu wa kisiasa hapo baadaye

    Spika wa Bunge la Libya: Khalifa Haftar hatokuwa mshirika wetu wa kisiasa hapo baadaye

    May 11, 2020 22:11

    Spika wa bunge la Libya amebainisha kwamba, serikali ya Tripoli haimtambui Jenerali Khalifa Haftar kuwa mshirika wake wa kisiasa wa baadaye.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS