Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya: Tumekiharibu kikamilifu kituo cha anga cha Haftar

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya: Tumekiharibu kikamilifu kituo cha anga cha Haftar

    May 11, 2020 03:38

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya (GNA) imetangaza kuwa, mashambulio ya anga yaliyofanywa na vikosi vyake yamekiharibu kikamilifu kituo cha anga cha vikosi vinavyoongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Tunisia yaisaidia Uturuki kufikisha misaada Libya

    Tunisia yaisaidia Uturuki kufikisha misaada Libya

    May 08, 2020 19:30

    Serikali ya Tunisia imeiruhusu ndege ya Uturuki ambayo inasemekana ilikuwa na misaada ya kitiba kwa ajili ya Libyan itue nchini humo.

  • Wanamgambo wa Haftar waendelea kudondosha mabomu na kuua raia Libya

    Wanamgambo wa Haftar waendelea kudondosha mabomu na kuua raia Libya

    May 08, 2020 03:43

    Wanamgambo wanaojiita Jeshi la Taifa la Libya wanaoogozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wameendelea kutekeleza mashambulizi mtawalia ya mabomu katika mji mkuu Tripoli, licha ya janga la corona na mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Guterres aelezea hofu yake kutokana kushiriki mamluki katika vita Libya

    Guterres aelezea hofu yake kutokana kushiriki mamluki katika vita Libya

    May 07, 2020 08:35

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameelezea hofu kubwa aliyo nayo kutokana na kutumiwa mamluki katika vita vya Libya.

  • Wanamgambo wa Haftar: Tumeua askari 40 wa Serikali ya Libya

    Wanamgambo wa Haftar: Tumeua askari 40 wa Serikali ya Libya

    May 06, 2020 03:22

    Wanamgambo wanaojiita Jeshi la Taifa la Libya wanaoogozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wanadai wametekeleza operesheni kali iliyoua askari 40 wa Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa inayoongozwa na Waziri Mkuu, Fayez al-Sarraj.

  • Mwito wa UN wa kuanza tena mazungumzo ya amani Libya

    Mwito wa UN wa kuanza tena mazungumzo ya amani Libya

    May 04, 2020 01:52

    Mapigano nchini Libya yanaendelea katika hali ambayo Umoja wa Mataifa kwa muda mrefu sasa umekuwa ukihimiza kukomeshwa mapigano na kuunganishwa nguvu katika kukabiliana na ugonjwa hatari wa corona katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika iliyoiathiriwa vibaya na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya bila kutushirikisha sisi, ni jambo lisilowezekana

    Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya bila kutushirikisha sisi, ni jambo lisilowezekana

    May 02, 2020 06:38

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria sambamba na kusisitizia nafasi ya nchi yake katika utatuzi wa mzozo wa Libya amesema kuwa, katika kukaribia kupatiwa njia za ufumbuzi mgogoro wa Libya na kuanza kwa mwenendo wa kisiasa, serikali ya Algiers imekuwa ikishiriki katika mwenendo huo.

  • Jeshi la Libya lashambulia wanamgambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar

    Jeshi la Libya lashambulia wanamgambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar

    May 02, 2020 03:13

    Jeshi la Anga la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya ambayo inatambuliwa kimataifa limeshambulia basi moja lililokuwa limebeba wanagambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar, kusini mwa Tripoli, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Tunisia yapinga njama za kuigawa vipande vipande Libya

    Tunisia yapinga njama za kuigawa vipande vipande Libya

    May 01, 2020 09:15

    Rais wa Tunisia kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa nchi yake itaendelea kupinga njama zozote za kujaribu kuigawa vipande vipande nchi jirani ya Libya.

  • Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya yakataa usitishaji vita wa Khalifa Haftar

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya yakataa usitishaji vita wa Khalifa Haftar

    May 01, 2020 03:38

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imekataa usitishaji vita wa upande mmoja wa jenerali muasi Khalifa Haftar anayewaongoza wanamgambo wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS