-
Wanamgambo wa Haftar waendelea kudondosha mabomu na kuua raia Libya
May 08, 2020 03:43Wanamgambo wanaojiita Jeshi la Taifa la Libya wanaoogozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wameendelea kutekeleza mashambulizi mtawalia ya mabomu katika mji mkuu Tripoli, licha ya janga la corona na mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Guterres aelezea hofu yake kutokana kushiriki mamluki katika vita Libya
May 07, 2020 08:35Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameelezea hofu kubwa aliyo nayo kutokana na kutumiwa mamluki katika vita vya Libya.
-
Wanamgambo wa Haftar: Tumeua askari 40 wa Serikali ya Libya
May 06, 2020 03:22Wanamgambo wanaojiita Jeshi la Taifa la Libya wanaoogozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wanadai wametekeleza operesheni kali iliyoua askari 40 wa Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa inayoongozwa na Waziri Mkuu, Fayez al-Sarraj.
-
Mwito wa UN wa kuanza tena mazungumzo ya amani Libya
May 04, 2020 01:52Mapigano nchini Libya yanaendelea katika hali ambayo Umoja wa Mataifa kwa muda mrefu sasa umekuwa ukihimiza kukomeshwa mapigano na kuunganishwa nguvu katika kukabiliana na ugonjwa hatari wa corona katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika iliyoiathiriwa vibaya na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
-
Algeria: Utatuzi wa mgogoro wa Libya bila kutushirikisha sisi, ni jambo lisilowezekana
May 02, 2020 06:38Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria sambamba na kusisitizia nafasi ya nchi yake katika utatuzi wa mzozo wa Libya amesema kuwa, katika kukaribia kupatiwa njia za ufumbuzi mgogoro wa Libya na kuanza kwa mwenendo wa kisiasa, serikali ya Algiers imekuwa ikishiriki katika mwenendo huo.
-
Jeshi la Libya lashambulia wanamgambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar
May 02, 2020 03:13Jeshi la Anga la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya ambayo inatambuliwa kimataifa limeshambulia basi moja lililokuwa limebeba wanagambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar, kusini mwa Tripoli, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Tunisia yapinga njama za kuigawa vipande vipande Libya
May 01, 2020 09:15Rais wa Tunisia kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa nchi yake itaendelea kupinga njama zozote za kujaribu kuigawa vipande vipande nchi jirani ya Libya.
-
Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya yakataa usitishaji vita wa Khalifa Haftar
May 01, 2020 03:38Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imekataa usitishaji vita wa upande mmoja wa jenerali muasi Khalifa Haftar anayewaongoza wanamgambo wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya.
-
HRW: Shambulizi la 'drone' ya Imarati liliua raia 8 Tripoli, Libya
Apr 30, 2020 03:38Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema shambulizi la ndege isiyo na rubani ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) dhidi ya mji mkuu wa Libya, Tripoli mwishoni mwa mwaka jana liliua na kujeruhi raia wasio na hatia.
-
Russia: Hatulitambui tangazo la serikali ya Haftar nchini Libya
Apr 29, 2020 22:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, serikali ya Moscow haikubali utawala wa kujitwika wa kiongozi wa wanamgambo wanaojiita 'Jeshi la Kitaifa la Libya' nchini humo.