Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Wanamgambo wa Haftar wafanya mashambulio makubwa dhidi ya mji mkuu Tripoli

    Wanamgambo wa Haftar wafanya mashambulio makubwa dhidi ya mji mkuu Tripoli

    Apr 18, 2020 03:23

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imetangaza kuwa, wanamgambo wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wamefanya mashambulio makubwa dhidi ya mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Misri, Saudia na UAE zaandaa mkakati mpya kuliokoa kundi la Haftar lisisambaratishwe katika vita vya Libya

    Misri, Saudia na UAE zaandaa mkakati mpya kuliokoa kundi la Haftar lisisambaratishwe katika vita vya Libya

    Apr 16, 2020 10:09

    Sambamba na kushindwa mtawalia kundi liitwalo Jeshi la Taifa la Libya (LNA) katika hujuma na mashambulio linayofanya ya kutaka kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli, Misri, Saudi Arabia na Imarati (UAE) zimefikia makubaliano ya kuwapatia misaada zaidi wapiganaji wa kundi hilo.

  • Mamia ya wafungwa watoroka jela nchini Libya

    Mamia ya wafungwa watoroka jela nchini Libya

    Apr 16, 2020 03:20

    Mamia ya wafungwa waliokuwa wamefungwa jela katika mji wa Surman wa magharibi mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli, wametoroka jela na kukimbilia kusikojulikana.

  • Kushadidi vita nchini Libya katika kivuli cha virusi vya Corona

    Kushadidi vita nchini Libya katika kivuli cha virusi vya Corona

    Apr 14, 2020 06:43

    Licha ya kuibuka virusi vya Corona na kuenea kote ulimwenguni na hilo kupelekea kusitishwa vita na mapigano katika maeneo mengi ya dunia, lakini nchini Libya kwa sasa vita vimeshika kasi.

  • Vikosi vya serikali ya Libya vyakomboa miji minane iliyokuwa ikishikiliwa na wapiganaji wa Haftar

    Vikosi vya serikali ya Libya vyakomboa miji minane iliyokuwa ikishikiliwa na wapiganaji wa Haftar

    Apr 14, 2020 03:18

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya (GNA) imetangaza kuwa vikosi vyake vimekomboa miji minane iliyokuwa ikidhibitiwa na wapiganaji watiifu kwa jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Wanamgambo 1,500 wa Kisyria wawasili Libya kushirikiana na Haftar

    Wanamgambo 1,500 wa Kisyria wawasili Libya kushirikiana na Haftar

    Apr 13, 2020 05:35

    Vikosi vya jeshi la Khalifa Haftar vimetangaza kuwa wanamgambo 1,500 wa Kisyria wamewasili Tripoli wakisaidiwa na Uturuki.

  • UAE yanunua mfumo wa makombora wa Israel na kuwapa wapiganaji wa Haftar

    UAE yanunua mfumo wa makombora wa Israel na kuwapa wapiganaji wa Haftar

    Apr 12, 2020 23:08

    Umoja wa Falme za Kiarabu umenunua mfumo wa kisasa wa makombora kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa ajili ya kuwapa wanamgambo wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Mapigano yaendelea kushuhudiwa Libya baina ya vikosi vya serikali ya Fayez al-Sarraj na wanamgambo wa Haftar

    Mapigano yaendelea kushuhudiwa Libya baina ya vikosi vya serikali ya Fayez al-Sarraj na wanamgambo wa Haftar

    Apr 12, 2020 07:43

    Mapigano makali yanaripotiwa kuendelea nchini Libya baina ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa inayoongozwa na Fayez al-Sarraj na wanamgambo watiifu kwa jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Vikosi vya Haftar vyafanya hujuma ya kukata umeme katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Vikosi vya Haftar vyafanya hujuma ya kukata umeme katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

    Apr 10, 2020 23:45

    Vikosi vya kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar vimefanya hujuma ya kusababisha umeme kukatika katika baadhi ya maeneo ya mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Vikosi vya Haftar vyadai vimetungua drone 2 za Uturuki huko Libya

    Vikosi vya Haftar vyadai vimetungua drone 2 za Uturuki huko Libya

    Apr 09, 2020 03:51

    Kundi la wanamgambo wanaojiita Jeshi la Tifa la Libya wanaoongozwa na jenerali Khalifa Haftar linadai kuwa limetungua ndege mbili zisizo na rubani za Uturuki zilizokuwa zikiruka katika anga ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS