-
Uwanja wa Ndege wa Tripoli Libya wafungwa tena baada ya kushambuliwa kwa maroketi
Jan 22, 2020 22:58Uwanja pekee wa ndege unaofanya kazi mjini Tripoli Libya ulifungwa tena jana Jumatano baada ya kushambuliwa kwa maroketi.
-
Mgogoro wa Libya na jitihada za kuutafutia ufumbuzi
Jan 22, 2020 22:56Nchi ya Libya imo katika siku ngumu na mgogoro mkubwa, na vita na mapigano makali yameendelea kushuhudiwa nchini humo licha juhudi kubwa za kimataifa zinazofanyika kwa ajili ya kupata ufumbuzi wa mgogoro huo.
-
Shirila la Mafuta la Taifa Libya lakataa takwa la Marekani
Jan 22, 2020 04:49Shirika la Mafuta la Taifa la Libya limekataa takwa la Marekani la kuanza tena shughuli zake na kutangaza kuwa, takwa hilo la serikali ya Washington haliwezi kutekelezwa.
-
Rais wa Libya, Fayez al Sarraj, abainisha wasi wasi kuhusu uwepo wa askari wa UAE nchini humo
Jan 21, 2020 21:33Rais wa Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya Libya Fayez al Sarraj amebainisha wasiwasi wake kuhusu kuendelea kuwepo askari wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) nchini humo.
-
Mkutano wa Berlin na jitihada za kuhitimisha mgogoro wa Libya
Jan 21, 2020 03:28Vita vingali vinaendelea nchini Libya wakati jitihada zinazofanywa kikanda na kimataifa za kukomesha mapigano katika nchi hiyo zikiingia katika awamu mpya.
-
EU: Mazungumzo ya kisiasa ndiyo njia pekee ya kutatua mgogoro wa Libya
Jan 20, 2020 20:47Mkuu wa Kamisheni ya Ulaya na Mkuu wa Sera za Kigeni wa umoja huo wamesema kuwa, njia pekee ya kutatua mgogoro wa Libya ni mazungumzo ya kisiasa.
-
Morocco yalalamikia kutoalikwa Rabat kwenye mkutano wa amani ya Libya
Jan 19, 2020 23:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amelalamikia kitendo cha kutoalikwa nchi yake kushiriki mkutano wa amani ya Libya mjini Berlin, Ujerumani na akasema vigezo vinavyotumiwa kuchagua nchi kushiriki katika mkutano huo vinaibua maswali mengi.
-
UNICEF yatahadharisha kuhusu hali mbaya wanayokabiliwa nayo watoto wa Libya
Jan 18, 2020 04:20Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kwamba, mashambulio ya kiholela dhidi ya makazi ya raia nchini Libya yameifanya hali ya watoto na raia nchini humo izidi kuwa mbaya.
-
UN yafurahishwa na mkutano wa Berlin wa kujadili mgogoro wa Libya
Jan 16, 2020 07:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka jamii nzima ya kimataifa kukiunga mkono kikao cha Berlin, Ujerumani cha kutafuta njia za kuutatua kisiasa mgogoro wa Libya.
-
Bunge la Kiarabu lamuunga mkono Haftar na kutaka kuondoka Uturuki huko Libya
Jan 15, 2020 23:31Bunge la Kiarabu limewaunga mkono wanamgambo wanaoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar na limetaka kuondoka wanajeshi wa Uturuki huko Libya.