Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Uungaji mkono wa rais wa Misri kwa Haftar katika mazungumzo yake ya simu na Trump

    Uungaji mkono wa rais wa Misri kwa Haftar katika mazungumzo yake ya simu na Trump

    Jul 05, 2019 02:39

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Misri amesema kuwa rais wa nchi hiyo amezungumza na mwenzake wa Marekani kuhusiana na masuala ya Libya na Sudan.

  • Kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya; takwa la kufanyika uchunguzi kuhusu uwepo wa silaha za Marekani

    Kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya; takwa la kufanyika uchunguzi kuhusu uwepo wa silaha za Marekani

    Jul 04, 2019 03:32

    Sanjari na kushadidi vita na mapigano nchini Libya, uingiliaji wa kigeni katika nchi hiyo nao umeongezeka.

  • Marekani yakwamisha azimio la Baraza la Usalama kuhusu mauaji ya wahajiri Libya

    Marekani yakwamisha azimio la Baraza la Usalama kuhusu mauaji ya wahajiri Libya

    Jul 04, 2019 03:02

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilimaliza kikao chake cha faragha jana jioni kwa wakati wa New York kuhusiana na Libya bila ya kuafikiana mwafaka kuhusu shambulizi la anga lililolenga makazi ya wahajiri katika eneo la Tajoura huko mashariki mwa Tripoli ambalo limeua wakimbizi 60 na kujeruhi wengine zaidi ya 130.

  • AU yalaani kushambuliwa wahajiri nchini Libya

    AU yalaani kushambuliwa wahajiri nchini Libya

    Jul 03, 2019 22:13

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani shambulio la anga lililofanywa na jenerali muasi Khalifa Haftar dhidi ya kituo cha kuhifadhia wahajiri karibu na Tripoli, mji kuu wa Libya.

  • Seneti yataka kuchunguzwa uwepo wa silaha za Marekani nchini Libya

    Seneti yataka kuchunguzwa uwepo wa silaha za Marekani nchini Libya

    Jul 03, 2019 08:23

    Mkuu wa Kamati ya Baraza la Seneti la Marekani ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu silaha za nchi hiyo zilizotumiwa na jeshi la jenerali muasi wa Libya Khalifa Haftar.

  • 40 wauawa, 80 wajeruhiwa katika shambulizi la anga dhidi ya kituo cha wahajiri Libya

    40 wauawa, 80 wajeruhiwa katika shambulizi la anga dhidi ya kituo cha wahajiri Libya

    Jul 02, 2019 22:19

    Watu wasiopungua 40 wameuawa huku wengine zaidi ya 80 wakijeruhiwa katika shambulizi la anga lililolenga kituo cha kuwazuilia wahajiri haramu mashariki mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Makombora ya Marekani yanaswa Libya katika ngome ya Haftar

    Makombora ya Marekani yanaswa Libya katika ngome ya Haftar

    Jun 30, 2019 03:13

    Wanajeshi wa serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj na ambayo inaungwa mkono na jamii ya kimataifa wamenasa makombora ya Marekani yaliyokuwa yakitumiwa na vikosi vinavyojiita Jeshi la Kitaifa linaloongozwa na kamanda muasi Khalifa Haftar.

  • Walibya wamfungulia Khalifa Haftar mashitaka ya jinai za kivita

    Walibya wamfungulia Khalifa Haftar mashitaka ya jinai za kivita

    Jun 28, 2019 10:58

    Raia wa Libya wanaoishi Marekani wamemfungulia mashitaka ya jinai za kivita kamanda muasi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, Jenerali Khalifa Haftar wakisisitiza kuwa wapiganaji wa kamanda huyo wameua jamaa zao katika mashambulizi ya hivi karibuni ya mabomu katika mji mkuu Tripoli.

  • Askari wa Ufaransa na Imarati wanaswa wakishirikiana na Haftar, Libya

    Askari wa Ufaransa na Imarati wanaswa wakishirikiana na Haftar, Libya

    Jun 28, 2019 03:13

    Askari wa Ufaransa na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) wamekuwa wakishirikiana na wapiganaji wa kundi la Jenerali Khalifa Haftar linalopiganaji dhidi ya serikali inayotambuliwa rasmi kimataifa ya Libya.

  • Baada ya kupata pigo, hatimaye Jenerali Khalifa Haftar alazimika kukubali mazungumzo Libya

    Baada ya kupata pigo, hatimaye Jenerali Khalifa Haftar alazimika kukubali mazungumzo Libya

    Jun 27, 2019 06:35

    Wapiganaji wanaojiita Jeshi la Taifa la Libya wamelazimika kukubali mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo ulioanzishwa na kundi hilo linaloungwa mkono na Saudi Arabia, Imarati, Misri na Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS