-
UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya
Sep 02, 2022 07:36Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limetangaza kuwa limewahamishia nchini Rwanda makumi ya watu wanaotafuta hifadhi waliokuwa nchini Libya.
-
Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya
Aug 31, 2022 02:42Mkuu wa Siasa wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, kutotatuliwa mgogoro wa kisiasa wa Libya na kutofanyika uchaguzi uliocheleweshwa ni tishio kwa hali ya mambo katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali
Aug 29, 2022 08:41Kufuatia kushadidi mzozo wa kisiasa nchini Libya kati ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Abdul Hamid al-Dbeibeh na serikali mpya iliyopewa mamlaka na Bunge inayoongozwa na Fathi Bashagha, mapigano yameanza upya kati ya vikosi vya pande hizo mbili katika mji mkuu Tripoli.
-
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yasikitishwa na machafuko mapya ya Libya
Aug 28, 2022 06:12Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran ameelezea kusikitishwa sana na machafuko mapya ya nchini Libya na ametaka kukomeshwa mara moja mapigano hayo. Amesema, Tehran inazitaka pande hasimu kuzingatia maslahi ya taifa, usalama wa wananchi na kutatua mambo yao kwa njia ya mazungumzo.
-
Watu 23 wauawa na kadhaa wajeruhiwa baada ya mapigano kuzuka upya katika mji mkuu wa Libya
Aug 27, 2022 23:25Duru za tiba nchini Libya zimeripoti kuwa watu wasiopungua 23 wameuawa na kwa uchache 87 wamejeruhiwa katika mapigano makali yaliyozuka upya Jumamosi asubuhi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan
Aug 13, 2022 06:54Maiti 20 za wahajiri haramu zimepatikana katika jangwa lililoko baina ya Libya na Sudan.
-
Watu kadhaa wauawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama vya Libya mjini Tripoli
Jul 22, 2022 07:27Mapigano makali yaliyozuka kati ya makundi yanayohasimiana katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, yamesababisha vifo vya watu kadhaa huku kukiwa na wasiwasi kwamba huenda mzozo wa kisiasa ukazusha upya nchini humo.
-
UN yagundua makaburi mengine ya umati nchini Libya
Jul 06, 2022 01:56Jopo la Umoja wa Mataifa nchini Libya limetangaza habari ya kugundua 'makaburi ya umati' ambayo hayajafanyiwa uchunguzi, huku likiitaka Tripoli ifanye upekuzi zaidi na kuyachunguza makaburi yaliyogunduliwa.
-
Katibu Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na maandamano Libya
Jul 03, 2022 23:09Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ana wasiwasi na maandamano ya wananchi yaliyoshuhudiwa hivi karibuni katika miji kadhaa huko Libya ya kulalamikia hali mbaya ya maisha.
-
Waandamanaji wenye hasira wavamia jengo la bunge la Libya mjini Tobruk
Jul 02, 2022 07:17Waandamanaji waliokuwa na hasira wamevamia jengo la bunge katika mji wa Tobruk mashariki ya Libya wakilalamikia hali duni ya maisha na mkwamo wa kisiasa unaoendelea nchini humo.