Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya

    UN yawahamishia Rwanda watafuta hifadhi 100 kutoka Libya

    Sep 02, 2022 07:36

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limetangaza kuwa limewahamishia nchini Rwanda makumi ya watu wanaotafuta hifadhi waliokuwa nchini Libya.

  • Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Hofu ya UN juu ya mgogoro wa kisiasa nchini Libya

    Aug 31, 2022 02:42

    Mkuu wa Siasa wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, kutotatuliwa mgogoro wa kisiasa wa Libya na kutofanyika uchaguzi uliocheleweshwa ni tishio kwa hali ya mambo katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali

    Kushadidi mgogoro nchini Libya kwa kuanza tena vita na mapigano makali

    Aug 29, 2022 08:41

    Kufuatia kushadidi mzozo wa kisiasa nchini Libya kati ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Abdul Hamid al-Dbeibeh na serikali mpya iliyopewa mamlaka na Bunge inayoongozwa na Fathi Bashagha, mapigano yameanza upya kati ya vikosi vya pande hizo mbili katika mji mkuu Tripoli.

  • Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yasikitishwa na machafuko mapya ya Libya

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yasikitishwa na machafuko mapya ya Libya

    Aug 28, 2022 06:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran ameelezea kusikitishwa sana na machafuko mapya ya nchini Libya na ametaka kukomeshwa mara moja mapigano hayo. Amesema, Tehran inazitaka pande hasimu kuzingatia maslahi ya taifa, usalama wa wananchi na kutatua mambo yao kwa njia ya mazungumzo.

  • Watu 23 wauawa na kadhaa wajeruhiwa baada ya mapigano kuzuka upya katika mji mkuu wa Libya

    Watu 23 wauawa na kadhaa wajeruhiwa baada ya mapigano kuzuka upya katika mji mkuu wa Libya

    Aug 27, 2022 23:25

    Duru za tiba nchini Libya zimeripoti kuwa watu wasiopungua 23 wameuawa na kwa uchache 87 wamejeruhiwa katika mapigano makali yaliyozuka upya Jumamosi asubuhi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan

    Maiti 20 za wahajiri zapatikana katika mpaka wa Libya na Sudan

    Aug 13, 2022 06:54

    Maiti 20 za wahajiri haramu zimepatikana katika jangwa lililoko baina ya Libya na Sudan.

  • Watu kadhaa wauawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama vya Libya mjini Tripoli

    Watu kadhaa wauawa katika mapigano kati ya vikosi vya usalama vya Libya mjini Tripoli

    Jul 22, 2022 07:27

    Mapigano makali yaliyozuka kati ya makundi yanayohasimiana katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, yamesababisha vifo vya watu kadhaa huku kukiwa na wasiwasi kwamba huenda mzozo wa kisiasa ukazusha upya nchini humo.

  • UN yagundua makaburi mengine ya umati nchini Libya

    UN yagundua makaburi mengine ya umati nchini Libya

    Jul 06, 2022 01:56

    Jopo la Umoja wa Mataifa nchini Libya limetangaza habari ya kugundua 'makaburi ya umati' ambayo hayajafanyiwa uchunguzi, huku likiitaka Tripoli ifanye upekuzi zaidi na kuyachunguza makaburi yaliyogunduliwa.

  • Katibu Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na maandamano Libya

    Katibu Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na maandamano Libya

    Jul 03, 2022 23:09

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ana wasiwasi na maandamano ya wananchi yaliyoshuhudiwa hivi karibuni katika miji kadhaa huko Libya ya kulalamikia hali mbaya ya maisha.

  • Waandamanaji wenye hasira wavamia jengo la bunge la Libya mjini Tobruk

    Waandamanaji wenye hasira wavamia jengo la bunge la Libya mjini Tobruk

    Jul 02, 2022 07:17

    Waandamanaji waliokuwa na hasira wamevamia jengo la bunge katika mji wa Tobruk mashariki ya Libya wakilalamikia hali duni ya maisha na mkwamo wa kisiasa unaoendelea nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS