-
Maiti 20 za wahajiri zapatikana jangwani nchini Libya
Jun 30, 2022 03:22Maiti 20 za wahajiri walioripotiwa kutoweka katika jangwa nchini Libya karibu na mpaka wa Chad, zimepatikana kusini mashariki mwa nchi.
-
Mgogoro wa Libya; na kuanza mazungumzo ya nchi hiyo mjini Geneva
Jun 28, 2022 23:03Umoja wa Mataifa umewataka viongozi wa Libya kuonyesha jitihada zao za dhati na kijasiri katika mazungumzo ya makundi ya kisiasa ya nchi hiyo mjini Geneva Uswisi kwa ajili ya kuinasua nch hiyo katika mkwamo wa uchaguzi.
-
Libya na Chad zaifikia makubaliano ya kushirikiana kulinda usalama wa mipakani
May 30, 2022 05:48Mkuu wa Baraza la Mpito la Kijeshi la Chad ameonana na Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya na pande mbili zimefikia makubaliano ya kushirikiana kulinda usalama katika maeneo tofauti ya mpakani ya nchi hizo mbili ili kulinda usalama wa raia.
-
Mbunge wa Libya: Mjumbe wa UN ni mtekelezaji wa siasa za Marekani
May 24, 2022 02:49Muhammad al A'bani, mbunge wa Bunge la Wawakilishi la Libya amesema Stephanie Williams, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ni mtekelezaji wa mipango na siasa za Marekani katika eneo.
-
Al-Dbeibah asisitiza kufungamana na chaguzi za Bunge na Rais Libya
May 04, 2022 03:35Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa, wananchi wa Libya hawana njia nyingine isipokuwa kuitisha uchaguzi na amesisitiza kuwa anafungamana na chaguzi za Bunge na Rais wa nchi hiyo.
-
Kuendelea mivutano ya kisiasa nchini Libya
Apr 19, 2022 22:16Mivutano ya kisiasa imeongezeka huko Libya ambapo serikali inayoongozwa na Fathi Pashaga, inailaumu Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa kuibua mivutano hiyo na kutahadharisha kuwa serikali hiyo itabeba dhima ya tukio lolote litakalohatarisha maisha ya Walibya.
-
Libya yakataa kucheza na Israel mchezo wa vitara huko Imarati
Apr 12, 2022 05:56Timu ya taifa ya mchezo wa kushindana kwa vitara (fencing) ya Libya imekataa kucheza na utawala haramu wa Israel katika mashindano ya ubingwa wa mchezo huo katika Umoja wa Falme za Kiarabu, ili kuonesha mshikamano wao kwa wananchi wa Palestina.
-
Watu wanne waaga dunia baada ya boti yao kuzama pwani ya Libya
Apr 12, 2022 05:53Kwa akali watu wanne wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya boti iliyokuwa imewabeba kuzama katika Bahari ya Mediterrania, pwani ya Libya.
-
Jitihada za kumshawishi Al-Dbeibeh akabidhi madaraka Libya zaendelea
Mar 30, 2022 21:55Waziri Mkuu mpya wa Libya Fathi Bashagha amesema jitihada zinafanywa za kumshawishi waziri mkuu wa serikali ya mpito Abdul Hamid al-Dbeibah akubali kung'atuka madarakani na kumkabidhi yeye hatamu za uongozi.
-
Tume ya Uchaguzi Libya: Tupo tayari kwa uchaguzi kukiwepo makubaliano
Mar 20, 2022 04:12Tume ya Uchaguzi Libya imesema ipo tayari kuendesha zoezi la uchaguzi mara tu makubaliano ya kisiasa yatakapofikiwa.