Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Libya yasitisha uzalishaji; baada ya visima kushambuliwa

    Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Libya yasitisha uzalishaji; baada ya visima kushambuliwa

    Mar 07, 2022 08:51

    Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Libya imetangaza kusitisha uzalishaji wa mafuta katika visima viwili vikubwa nchini humo.

  • Arab League yaelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kisiasa nchini Libya

    Arab League yaelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kisiasa nchini Libya

    Mar 07, 2022 08:01

    Kuongezeka kwa tofauti kati ya mirengo ya Libya kuhusu utungaji wa sheria za uchaguzi wa rais na wabunge kumekuwa tishio kubwa kwa mchakato wa uchaguzi, kwa kadiri kwamba Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Ahmed Aboul Gheit ameeleza wasiwasi wake juu ya hali ya kisiasa ya nchi hiyo na umuhimu wa kuwepo mwafaka na maridhiano ya kisiasa.

  • Umoja wa Mataifa kupatanisha Libya baada ya serikali hasimu kuapishwa

    Umoja wa Mataifa kupatanisha Libya baada ya serikali hasimu kuapishwa

    Mar 05, 2022 10:41

    Umoja wa Mataifa umetangaza utayarifu wa kupatanisha mgogoro wa kisiasa nchini Libya baada ya kuibuka serikali mbili hasimu.

  • Mawaziri wawili wa serikali mpya ya Libya watekwa nyara

    Mawaziri wawili wa serikali mpya ya Libya watekwa nyara

    Mar 04, 2022 04:34

    Kundi la wanamgambo wenye silaha limewateka nyara mawaziri wawili wa serikali mpya ya nchi hiyo.

  • Baraza jipya la mawaziri latangazwa mashariki mwa Libya

    Baraza jipya la mawaziri latangazwa mashariki mwa Libya

    Mar 02, 2022 09:59

    Baraza jipya la mawaziri nchini Libya limeidhinishwa na Bunge lenye makao yake makuu mashariki mwa nchi hiyo, hatua ambayo inaweza kuzua wakati wowote mvutano mkubwa na serikali ya umoja wa kitaifa inayoongozwa na Waziri Mkuu Abdulhamid Dbeibah huko Tripoli.

  • Juhudi za Waziri Mkuu wa Libya za kuondokana na mgogoro wa kisiasa

    Juhudi za Waziri Mkuu wa Libya za kuondokana na mgogoro wa kisiasa

    Feb 22, 2022 23:00

    Katika hali ambayo suala la kufanyika uchaguzi nchini Libya limekuwa jinamizi lililoitumbukiza nchi hiyo katika mgogoro wa kisiasa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Mpito ametoa pendekezo jipya kwa ajili ya kufanyika uchaguzi wa Bunge katikati ya mwaka huu sambamba na kufanyika kura ya maoni ya katiba ya nchi hiyo.

  • Makundi tofauti ya Libya yaanza mazungumzo ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Makundi tofauti ya Libya yaanza mazungumzo ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Feb 14, 2022 07:25

    Waziri Mkuu wa Libya ametangaza habari ya kuanza mazungumzo kuhusu kuundwa Baraza la Mawaziri litakaloshirikisha makundi yote ya nchi hiyo.

  • Mgogoro wa nchi kuwa na serikali mbili wakati mmoja waikumba tena Libya

    Mgogoro wa nchi kuwa na serikali mbili wakati mmoja waikumba tena Libya

    Feb 13, 2022 00:44

    Libya imekumbwa tena na mzozo wa kuwa na serikali mbili kwa wakati mmoja baada ya bunge la nchi hiyo kumchagua aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Fat-hi Bashagha kuwa waziri mkuu mpya.

  • Masharti ya Waziri Mkuu wa Libya kwa ajili ya kukabidhi madaraka

    Masharti ya Waziri Mkuu wa Libya kwa ajili ya kukabidhi madaraka

    Feb 09, 2022 04:33

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesisitiza kuwa baraza lake la mawaziri litaendelea kufanya kazi hadi wakati wa kukabidhiwa madaraka kwa serikali iliyochaguliwa na wananchi.

  • Aliyekuwa mlinzi wa kiongozi wa zamani wa Libya adai, Gaddafi bado yuko hai!

    Aliyekuwa mlinzi wa kiongozi wa zamani wa Libya adai, Gaddafi bado yuko hai!

    Feb 06, 2022 01:13

    Afisa wa zamani katika jopo la walinzi wa kiongozi wa zamani wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, Aisha Al-Fitouri, amedai kuwa kiongozi huyo bado yuko hai na kwamba aliyeuawa ni mmoja wa jamaa zake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS