Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Waziri wa Sheria wa Libya anusurika kuuawa katika shambulio la watu wenye silaha

    Waziri wa Sheria wa Libya anusurika kuuawa katika shambulio la watu wenye silaha

    Jan 29, 2022 04:46

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa Waziri wa Sheria wa Libya amenusurika kuuawa katika shambulio la watu wenye silaha lililotokea kwenye barabara ya As-Sawani katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Mjumbe Maalumu wa UN Libya: Kipaumbele kikuu ni maridhiano ya kitaifa

    Mjumbe Maalumu wa UN Libya: Kipaumbele kikuu ni maridhiano ya kitaifa

    Jan 16, 2022 23:08

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, kipaumbeke kikuu zaidi hivi sasa kuhusu Libya ni kuweko maridhiano ya kitaifa na kusisitiza kuwa wananchi wa Libya hawataki tena vita.

  • Jenerali Haftar, mbabe wa kivita wa Libya aitembelea Israel

    Jenerali Haftar, mbabe wa kivita wa Libya aitembelea Israel

    Jan 16, 2022 04:24

    Mbabe wa kivita na jenerali muasi wa Libya Khalifa Haftar ameripotiwa kufanya safari ya siri ya kuutembelea utawala wa Kizayuni wa Israel, huku duru za habari zikieleza kuwa maafisa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wanaandamwa na mashinikizo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo bandia.

  • Waziri Mkuu wa Libya akanusha madai ya kukutana na maafisa wa Israel

    Waziri Mkuu wa Libya akanusha madai ya kukutana na maafisa wa Israel

    Jan 13, 2022 23:35

    Kaimu Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya umoja wa kitaifa ya Libya amekadhibisha madai kuwa amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Algeria yaufungua tena ubalozi mdogo nchini Libya

    Algeria yaufungua tena ubalozi mdogo nchini Libya

    Jan 11, 2022 10:33

    Algeria imefungua tena ubalozi wake mdogo huko Tripoli mji mkuu wa Libya baada ya kufungwa kwa miaka minane.

  • Tarehe mpya ya Uchaguzi wa Rais nchini Libya

    Tarehe mpya ya Uchaguzi wa Rais nchini Libya

    Jan 05, 2022 06:31

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Libya imetangaza tarehe 24 mwezi huu wa Januari 2022 kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo licha ya kwamba bado kuna hitilafu kuhusu wakati hasa unaopaswa kufanyika uchaguzi huo.

  • Tume ya uchaguzi Libya: Uchaguzi mkuu utafanyika tarehe 24 Januari

    Tume ya uchaguzi Libya: Uchaguzi mkuu utafanyika tarehe 24 Januari

    Jan 03, 2022 23:18

    Tume Kuu ya Taifa ya Uchaguzi nchini Libya (HNEC) imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliokuwa umeakhirishwa, utafanyika tarehe 24 ya mwezi huu wa Januari.

  • Bunge la Libya lapendekeza uchaguzi wa rais uakhirishwe kwa miezi sita

    Bunge la Libya lapendekeza uchaguzi wa rais uakhirishwe kwa miezi sita

    Dec 29, 2021 00:53

    Baraza la Wawakilishi (Bunge) la Libya limependekeza kuwa ucahguzi wa rais nchini humo uakhirishwe kwa miezi sita.

  • Libya yamtaja balozi wa Uingereza kuwa hatakikani nchini humo

    Libya yamtaja balozi wa Uingereza kuwa hatakikani nchini humo

    Dec 28, 2021 04:04

    Bunge la Libya limemtaja balozi wa Uingereza nchini humo kuwa ni mtu asiyetakikana nchini humo. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya matamshi yaliyotolewa na balozi wa Uingereza yaliyotambuliwa kuwa yamekiuka sheria za kimataifa.

  • Baada ya kuahirishwa uchaguzi wa rais, Libya yaunda kamati ya Bunge ya kubuni ramani mpya ya njia

    Baada ya kuahirishwa uchaguzi wa rais, Libya yaunda kamati ya Bunge ya kubuni ramani mpya ya njia

    Dec 24, 2021 12:23

    Baraza la Wawakilishi la Libya limeunda kamati ya wajumbe 10 ili kubuni ramani mpya ya njia baada ya kuahirishwa uchaguzi uliokuwa umepangwa kufanyika leo, Ijumaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS