-
Umoja wa Mataifa waunga mkono kufanyika uchaguzi wa Libya katika wakati mwafaka
Dec 24, 2021 08:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amehimiza kufanyika uchaguzi mkuu wa Bunge na Rais katika tarehe mwafaka nchini Libya.
-
Umoja wa Mataifa: Hakuna ramani mpya ya njia kwa ajili ya Libya
Dec 20, 2021 23:08Msemaji wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNMSIL) amesema hakuna ramani mpya ya njia kwa ajili ya Libya.
-
Kuendelea mivutano ya uchaguzi huko Libya
Dec 13, 2021 01:00Katika kipindi hiki cha kukaribia wakati wa kufanyika uchaguzi huko Libya, mivutano ya kisiasa imepamba moto nchini humo kwa kadiri kwamba, Tume Kuu ya Uchaguzi ya nchi hiyo imetangaza habari kuakhirishwa zoezi la kuchapisha orodha ya mwisho ya wagombea wa kiti cha urais.
-
Zaidi ya Walibya elfu tano wajitokeza kugombea viti vya Bunge nchini Libya
Dec 10, 2021 09:37Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Libya imetangaza kuwa, faili la kuandikisha majina ya wagombea wa viti vya Bunge limefungwa na kwamba zaidi ya Walibya elfu tano wamejiandikisha kwa ajili ya kugombea viti hivyo.
-
Rais wa Niger akosoa udhaifu wa nchi jirani katika kupambana na ugaidi
Dec 09, 2021 01:09Rais wa Niger amezikosoa nchi jirani katika mapambano ya kukabiliana na ugaidi na magendo ya silaha kutoka Libya katika eneo la Sahel Afrika.
-
Saiful Islam Gaddafi kukatiza ndoto ya Khalifa Haftar ya kutawala Libya?
Dec 03, 2021 23:07Kurejea kwa Saif al-Islam Gaddafi katika kinyang'anyiro cha urais, kutokana na uamuzi wa Mahakama ya Sabha (kusini mwa Libya), kumechanganya tena karata nchini Libya, hasa kutokana na kukithiri kwa mizozo na mivutano kati yake na Jenerali mstaafu, Khalifa Haftar katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.
-
Mwana wa kiume wa Muammar Gaddafi akataliwa kugombea urais
Nov 25, 2021 04:33Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Libya imewakatalia shakhsia 25 akiwemo Saiful Islam Gaddafi mwana wa kiume wa kiongozi wa zamani wa Libya Kanali Muammar Gaddafi kugombea uchaguzi ujao wa rais nchini humo.
-
Waziri Mkuu wa mpito Libya naye pia ajitosa kwenye kinyang'anyiro cha urais
Nov 22, 2021 23:12Siku moja kabla ya kufungwa kwa shughuli ya kuwasilisha fomu ya kuwania uchaguzi wa urais wnchini Libya, Waziri Mkuu wa mpito, Abdel Hamid Dbeibah, naye pia jana alijitangaza kuwa atawania katika uchaguzi huo.
-
Maafa ya wahajiri kuelekea Ulaya; watu zaidi ya 75 wazama katika pwani ya Libya
Nov 21, 2021 04:48Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limeripoti kuwa, wahamiaji haramu zaidi ya 75 wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika pwani ya magharibi mwa Libya. Wahajiri hao haramu wamekumbwa na mauti Jumatano iliyopita katika jitihada za kuelekea barani Ulaya.
-
Jenerali Haftar, ajenti wa zamani wa CIA atangaza kugombea urais wa Libya
Nov 16, 2021 23:31Khalifa Haftar, kamanda wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) ametangaza kuwa atagombea urais wa nchi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika mwezi ujao wa Desemba.