-
Wasudan waandamana tena kupinga utawala wa kijeshi, 50 wajeruhiwa
Mar 04, 2022 12:17Zaidi ya watu 50 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum na miji mingine mikubwa ya nchi hiyo.
-
Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine
Mar 04, 2022 08:04Wakazi wa mji mkuu wa Lebanon, Beirut wamefanya maandamano wakishirikiana na Warussia wanaoishi nchini humo wakiunga mkono operesheni ya Jeshi la Russia dhidi ya "mafashisti wa Ukraine".
-
Waislamu Nigeria waandamana kulaani mauaji ya kimbari ya utawala wa Saudi Arabia nchini Yemen
Feb 19, 2022 07:43Waislamu nchini Nigeria wakiitikia wito wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kulaani jinai za muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Saudi Arabia ambao umeendelea kutenda jinai na mauaji ya kimbari nchini Yemen.
-
28 wajeruhiwa katika maandamano ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi
Feb 18, 2022 11:32Watu wasiopungua 28 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.
-
Waafghani waandamana kulaani wizi wa mabilioni uliofanywa na Marekani
Feb 13, 2022 12:45Wananchi wa Afghanistan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul, kulalamikia kitendo cha hatua ya Marekani ya kupora mabilioni ya dola za Afghanistan na kuzitumia kuwalipa wanaodai fidia kutokana na mashambulizi ya Septamba 11 mwaka 2001.
-
Maandamano mapya ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi
Feb 08, 2022 07:48Mamia ya wananchi wa Sudan jana Jumatatu kwa mara nyingine tena waliandamana katika mji mkuu Khartoum kupinga utawala wa kijeshi nchini humo.
-
Maandamano kwa ajili ya kuachiliwa huru mfungwa wa kisiasa wa serikali ya Congo DRC
Jan 19, 2022 11:55Maandamano yalifanyika jana Jumanne huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ajili ya kushinikiza kuachiliwa huru mfungwa mashuhuri wa kisiasa wa serikali ya Kinshasa ambapo makumi ya watu walikeruhiwa katika maandamano hayo.
-
Maelfu waandamana Ulaya kupinga chanjo ya lazima ya Covid-19
Jan 16, 2022 07:59Maelfu ya wananchi wa Austria wamejitokeza mabarabarani katika maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya kuwalazimisha wananchi kupiga chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19.
-
Serikali: Watu waliouawa katika ghasia za Kazakhstan ni 225
Jan 16, 2022 07:56Ofisi ya Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Kazakshtan imesema watu 225 wakiwemo maafisa usalama 19 wameuawa katika machafuko ya hivi karibuni katika nchi hiyo ya Asia ya Kati.
-
Maandamano dhidi ya serikali nchini Tunisia katika maadhimisho ya mapinduzi ya Januari 14
Jan 15, 2022 10:41Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa 11 wa harakati ya wananchi wa Tunisia iliyopelekea kupinduliwa serikali ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zine El Abidine Ben Ali, Tunisia jana Ijumaa ilishuhidia maandamano makubwa ya kupinga utendaji wa kiongozi wa sasa wa nchji hiyo, Kais Saied.