Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wasudan waandamana tena kupinga utawala wa kijeshi, 50 wajeruhiwa

    Wasudan waandamana tena kupinga utawala wa kijeshi, 50 wajeruhiwa

    Mar 04, 2022 12:17

    Zaidi ya watu 50 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum na miji mingine mikubwa ya nchi hiyo.

  • Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine

    Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine

    Mar 04, 2022 08:04

    Wakazi wa mji mkuu wa Lebanon, Beirut wamefanya maandamano wakishirikiana na Warussia wanaoishi nchini humo wakiunga mkono operesheni ya Jeshi la Russia dhidi ya "mafashisti wa Ukraine".

  • Waislamu Nigeria waandamana kulaani mauaji ya kimbari ya utawala wa Saudi Arabia nchini Yemen

    Waislamu Nigeria waandamana kulaani mauaji ya kimbari ya utawala wa Saudi Arabia nchini Yemen

    Feb 19, 2022 07:43

    Waislamu nchini Nigeria wakiitikia wito wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kulaani jinai za muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Saudi Arabia ambao umeendelea kutenda jinai na mauaji ya kimbari nchini Yemen.

  • 28 wajeruhiwa katika maandamano ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi

    28 wajeruhiwa katika maandamano ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi

    Feb 18, 2022 11:32

    Watu wasiopungua 28 wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga utawala wa kijeshi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

  • Waafghani waandamana kulaani wizi wa mabilioni uliofanywa na Marekani

    Waafghani waandamana kulaani wizi wa mabilioni uliofanywa na Marekani

    Feb 13, 2022 12:45

    Wananchi wa Afghanistan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul, kulalamikia kitendo cha hatua ya Marekani ya kupora mabilioni ya dola za Afghanistan na kuzitumia kuwalipa wanaodai fidia kutokana na mashambulizi ya Septamba 11 mwaka 2001.

  • Maandamano mapya ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi

    Maandamano mapya ya Wasudan ya kupinga utawala wa kijeshi

    Feb 08, 2022 07:48

    Mamia ya wananchi wa Sudan jana Jumatatu kwa mara nyingine tena waliandamana katika mji mkuu Khartoum kupinga utawala wa kijeshi nchini humo.

  • Maandamano kwa ajili ya kuachiliwa huru mfungwa wa kisiasa wa serikali ya Congo DRC

    Maandamano kwa ajili ya kuachiliwa huru mfungwa wa kisiasa wa serikali ya Congo DRC

    Jan 19, 2022 11:55

    Maandamano yalifanyika jana Jumanne huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ajili ya kushinikiza kuachiliwa huru mfungwa mashuhuri wa kisiasa wa serikali ya Kinshasa ambapo makumi ya watu walikeruhiwa katika maandamano hayo.

  • Maelfu waandamana Ulaya kupinga chanjo ya lazima ya Covid-19

    Maelfu waandamana Ulaya kupinga chanjo ya lazima ya Covid-19

    Jan 16, 2022 07:59

    Maelfu ya wananchi wa Austria wamejitokeza mabarabarani katika maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya kuwalazimisha wananchi kupiga chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19.

  • Serikali: Watu waliouawa katika ghasia za Kazakhstan ni 225

    Serikali: Watu waliouawa katika ghasia za Kazakhstan ni 225

    Jan 16, 2022 07:56

    Ofisi ya Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Kazakshtan imesema watu 225 wakiwemo maafisa usalama 19 wameuawa katika machafuko ya hivi karibuni katika nchi hiyo ya Asia ya Kati.

  • Maandamano dhidi ya serikali nchini Tunisia katika maadhimisho ya mapinduzi ya Januari 14

    Maandamano dhidi ya serikali nchini Tunisia katika maadhimisho ya mapinduzi ya Januari 14

    Jan 15, 2022 10:41

    Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa 11 wa harakati ya wananchi wa Tunisia iliyopelekea kupinduliwa serikali ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zine El Abidine Ben Ali, Tunisia jana Ijumaa ilishuhidia maandamano makubwa ya kupinga utendaji wa kiongozi wa sasa wa nchji hiyo, Kais Saied.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS