Dec 24, 2016 04:50
Viongozi wa wawakilishi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wametishia kutuma vikosi vya kieneo nchini Gambia, iwapo Rais Yahya Jammeh atakaa kukabidhi madaraka wakati muda wake utakapiomalizika rasmi Januari 19 mwakani.