Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

magharibi mwa Afrika

  • UN: Kuna nakisi ya bajeti kwa ajili ya kikosi cha kusimamia amani magharibi mwa Afrika

    UN: Kuna nakisi ya bajeti kwa ajili ya kikosi cha kusimamia amani magharibi mwa Afrika

    Nov 15, 2018 14:05

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unakabiliwa na nakisi ya bajeti kwa ajili ya kikosi chake cha kusimamia amani katika eneo la magharibi mwa Afrika.

  • Ecowas yawawekea vikwazo makumi ya wanasiasa wa Guinea-Bissau

    Ecowas yawawekea vikwazo makumi ya wanasiasa wa Guinea-Bissau

    Feb 07, 2018 08:07

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika Ecowas imetangaza kuwawekea vikwazo wanasiasa na wafanyabishara 20 wa Guinea-Bissau ikiwatuhumu kuwa wanakwamisha jitihada za kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo kwa muda mrefu sasa.

  • Mfalme wa Morocco akosa kuhudhuria mkutano wa ECOWAS kwa ajili ya Netanyahu

    Mfalme wa Morocco akosa kuhudhuria mkutano wa ECOWAS kwa ajili ya Netanyahu

    Jun 04, 2017 07:19

    Mfalme Muhammad wa Sita wa Morocco amekosa kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) unaofanyika leo nchini Liberia kwa kuwa unahudhuriwa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu.

  • Baraza la Usalama laitisha mkutano wa dharura kuhusu Gambia, taharuki yatanda nchini humo

    Baraza la Usalama laitisha mkutano wa dharura kuhusu Gambia, taharuki yatanda nchini humo

    Jan 19, 2017 08:05

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatazamiwa kufanya mkutano wa dharura hii leo kuhusiana na mgogoro wa kisiasa na kunukia machafuko ya umwagikaji damu nchini Gambia.

  • Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia

    Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia

    Jan 07, 2017 08:06

    Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wanatazamiwa hii leo kutoa kile kilichotajwa kuwa 'uamuzi mzito' kuhusiana na mgogoro wa kisiasa unaoikabili Gambia

  • Ecowas: Ikibidi, tutatuma askari wa kieneo nchini Gambia Januari

    Ecowas: Ikibidi, tutatuma askari wa kieneo nchini Gambia Januari

    Dec 24, 2016 04:50

    Viongozi wa wawakilishi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wametishia kutuma vikosi vya kieneo nchini Gambia, iwapo Rais Yahya Jammeh atakaa kukabidhi madaraka wakati muda wake utakapiomalizika rasmi Januari 19 mwakani.

  • Nigeria yatilia mkazo ustawi na maendeleo ya kiuchumi magharibi mwa Afrika

    Nigeria yatilia mkazo ustawi na maendeleo ya kiuchumi magharibi mwa Afrika

    Dec 20, 2016 14:37

    Rais wa Nigeria ametilia mkazo ustawi na maendeleo ya kiuchumi kwa maslahi ya nchi za eneo la Magharibi mwa Afrika.

  • Sisitizo la Umoja wa Afrika la kukabiliana na kundi la Boko Haram

    Sisitizo la Umoja wa Afrika la kukabiliana na kundi la Boko Haram

    Nov 12, 2016 12:25

    Viongozi wa Umoja wa Afrika wametilia mkazo udharura wa kuendelezwa uungaji mkono na misaada kwa kikosi kinachoundwa na wanajeshi wa nchi kadhaa za magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya kundi la Boko Haram.

  • Askari wa UN auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Askari wa UN auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 27, 2016 15:59

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa askari wake mmoja wa kulinda amani ameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Umoja wa Ulaya waahidi kushirikiana na Afrika Magharibi dhidi ya ugaidi

    Umoja wa Ulaya waahidi kushirikiana na Afrika Magharibi dhidi ya ugaidi

    Jun 25, 2016 06:25

    Umoja wa Ulaya umesema kuwa utashirikiana na nchi za eneo la Magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS