-
UN: Kuna nakisi ya bajeti kwa ajili ya kikosi cha kusimamia amani magharibi mwa Afrika
Nov 15, 2018 14:05Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unakabiliwa na nakisi ya bajeti kwa ajili ya kikosi chake cha kusimamia amani katika eneo la magharibi mwa Afrika.
-
Ecowas yawawekea vikwazo makumi ya wanasiasa wa Guinea-Bissau
Feb 07, 2018 08:07Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika Ecowas imetangaza kuwawekea vikwazo wanasiasa na wafanyabishara 20 wa Guinea-Bissau ikiwatuhumu kuwa wanakwamisha jitihada za kupatiwa ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo kwa muda mrefu sasa.
-
Mfalme wa Morocco akosa kuhudhuria mkutano wa ECOWAS kwa ajili ya Netanyahu
Jun 04, 2017 07:19Mfalme Muhammad wa Sita wa Morocco amekosa kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) unaofanyika leo nchini Liberia kwa kuwa unahudhuriwa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu.
-
Baraza la Usalama laitisha mkutano wa dharura kuhusu Gambia, taharuki yatanda nchini humo
Jan 19, 2017 08:05Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatazamiwa kufanya mkutano wa dharura hii leo kuhusiana na mgogoro wa kisiasa na kunukia machafuko ya umwagikaji damu nchini Gambia.
-
Nigeria: Viongozi wa ECOWAS kutoa 'uamuzi mkubwa' juu ya Gambia
Jan 07, 2017 08:06Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wanatazamiwa hii leo kutoa kile kilichotajwa kuwa 'uamuzi mzito' kuhusiana na mgogoro wa kisiasa unaoikabili Gambia
-
Ecowas: Ikibidi, tutatuma askari wa kieneo nchini Gambia Januari
Dec 24, 2016 04:50Viongozi wa wawakilishi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) wametishia kutuma vikosi vya kieneo nchini Gambia, iwapo Rais Yahya Jammeh atakaa kukabidhi madaraka wakati muda wake utakapiomalizika rasmi Januari 19 mwakani.
-
Nigeria yatilia mkazo ustawi na maendeleo ya kiuchumi magharibi mwa Afrika
Dec 20, 2016 14:37Rais wa Nigeria ametilia mkazo ustawi na maendeleo ya kiuchumi kwa maslahi ya nchi za eneo la Magharibi mwa Afrika.
-
Sisitizo la Umoja wa Afrika la kukabiliana na kundi la Boko Haram
Nov 12, 2016 12:25Viongozi wa Umoja wa Afrika wametilia mkazo udharura wa kuendelezwa uungaji mkono na misaada kwa kikosi kinachoundwa na wanajeshi wa nchi kadhaa za magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya kundi la Boko Haram.
-
Askari wa UN auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jun 27, 2016 15:59Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa askari wake mmoja wa kulinda amani ameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Umoja wa Ulaya waahidi kushirikiana na Afrika Magharibi dhidi ya ugaidi
Jun 25, 2016 06:25Umoja wa Ulaya umesema kuwa utashirikiana na nchi za eneo la Magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya ugaidi.