Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Misri yatoa hukumu dhidi ya 152 waliopinga Saudia kupewa visiwa vya nchi hiyo

    Misri yatoa hukumu dhidi ya 152 waliopinga Saudia kupewa visiwa vya nchi hiyo

    May 15, 2016 09:11

    Mahakama moja nchini Misri imewahukumu watu 152 kifungo cha kati ya miaka miwili hadi mitano jela kwa kushiriki maandamano ya Aprili 25 ya kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo kuipa Saudi Arabia visiwa viwili, vinavyomilikiwa na nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Mahakama ya kilele DRC: Kabila kusalia uongozini  hata baada ya muhula wake kumalizika

    Mahakama ya kilele DRC: Kabila kusalia uongozini hata baada ya muhula wake kumalizika

    May 12, 2016 02:19

    Mahakama ya Juu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa huenda Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo akasalia madarakani hata baada ya kumalizika muhula wake iwapo uchaguzi mkuu utakosa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu.

  • 21 wahukumiwa kifungo cha maisha jela Burundi kwa 'kupanga mapinduzi'

    21 wahukumiwa kifungo cha maisha jela Burundi kwa 'kupanga mapinduzi'

    May 10, 2016 02:25

    Mahakama ya Juu ya Burundi imetoa hukumu ya maisha jela kwa maafisa 21 wa jeshi la nchi hiyo, wanaodaiwa kuhusika na njama iliyofeli ya kuipindua serikali mwezi Mei mwaka jana wa 2015.

  • Arab League: Kuundwe mahakama maalumu ya jinai za Israel

    Arab League: Kuundwe mahakama maalumu ya jinai za Israel

    Apr 21, 2016 10:52

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa mwito wa kuundwa mahakama maalumu ya jinai kwa ajili ya kuwapandisha kizimbani Wazayuni kutokana na hatua yao ya kukiuka haki za Wapalestina.

  • Rais wa Misri kotini kwa kuipa Saudia visiwa vya Sanafir na Tiran

    Rais wa Misri kotini kwa kuipa Saudia visiwa vya Sanafir na Tiran

    Apr 20, 2016 03:13

    Chama kimoja cha upinzani nchini Misri kimempelekea mahakamani Rais Abdul Fattah al-Sisi wa nchi hiyo kufuatia uamuzi wake wa kukabidhi umiliki wa visiwa viwili vya kiistratejia kwa utawala wa Saudi Arabia.

  • Mahakama: Rais Zuma alikiuka katiba, arejeshe fedha zilizofujwa

    Mahakama: Rais Zuma alikiuka katiba, arejeshe fedha zilizofujwa

    Mar 31, 2016 09:42

    Mahakama ya Juu ya Afrika Kusini imemuagiza Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo kuirejeshea serikali sehemu ya dola milioni 16 za Marekani zilizotumika kukarabati makazi yake binafsi, kwenye moja ya kashfa kubwa za ufisadi zilizowahi kuripotiwa nchini humo katika miaka ya hivi karibuni.

  • Mahakama ya Juu Uganda yatupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Museveni

    Mahakama ya Juu Uganda yatupilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Museveni

    Mar 31, 2016 09:33

    Mahakama ya Juu ya Uganda imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa na Waziri Mkuu wa zamani nchini humo Amama Mbabazi ya kupinga ushindi wa Rais Yoweri Museveni katika uchaguzi wa rais wa Februari mwaka huu.

  • Mahakama za utawala wa Aal Khalifa zaendelea kutoa hukumu za kidhalimu dhidi ya Wananchi wa Bahrain

    Mahakama za utawala wa Aal Khalifa zaendelea kutoa hukumu za kidhalimu dhidi ya Wananchi wa Bahrain

    Mar 29, 2016 23:40

    Mahakama moja nchini Bahrain imetoa hukumu ya kidhalimu ya vifungo jela kwa raia kumi wa nchi hiyo kwa madai ya kuwashambulia askari polisi katika maandamano yaliyofanyika katika kijiji kimoja ambacho wakaazi wake ni Waislamu wa Kishia.

  • ICC kutoa hukumu dhidi ya Bemba wa DRC Jumatatu

    ICC kutoa hukumu dhidi ya Bemba wa DRC Jumatatu

    Mar 19, 2016 04:11

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC Jumatatu ijayo inatazamiwa kutoa hukumu dhidi ya Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Pierre Bemba anayekabiliwa na tuhuma za jinai za kivita.

  • Ansari: Hukumu ya mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho

    Ansari: Hukumu ya mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho

    Mar 13, 2016 22:51

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa hukumu iliyotolewa na mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho, haina maana na inachezea shere vyombo vya mahakama na uadilifu na kuzidisha doa jeusi katika utendaji wa mahakama za Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS