-
Mvua kali na mafuriko katika majimbo ya Makka na Jeddah Saudia
Dec 24, 2022 06:26Mafuriko makubwa yaliukumba mji mtakatifu wa Makkah nchini Saudi Arabia siku ya Ijumaa kufuatia mvua kubwa iliyonyesha usiku, kuharibu magari na mali katika mji huo.
-
Bin Salman anaigeuza ardhi ya maeneo matakatifu ya Makka na Madina uwanja wa ufasiki wa kimaadili
Dec 02, 2022 07:54Mwandishi wa habari na mpinzani wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia amekosoa kufanyika tamasha la muziki liitwalo MDLBEAST katika ardhi ya maeneo mawili matakatifu (Haramaini-Sharifaini) ya Makka na Madina na kueleza kwamba: Bin Salman anatoa huduma kubwa zaidi kwa maadui wa Uislamu kwa kuigeuza nchi hiyo kuwa uwanja wa kufanyia ufisadi wa kimaadili.
-
Ansarullah yalaani vikali mwandishi wa habari mzayuni kukanyaga ardhi tukufu ya Makka
Jul 24, 2022 02:23Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali hatua ya Saudi Arabia ya kutoa kibali kwa mwandishi wa habari mzayuni wa Israel kufika kwenye ardhi tukufu ya Makka.
-
Mahujaji waendelea na ibada ya Hija, waanza amali ya kumpiga mawe shetani, Mina
Jul 09, 2022 11:03Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, kuanzia asubuhi ya leo Jumamosi wameanza amali ya kumpiga mawe Shetani huko Mina, karibu na mji mtakatifu wa Makka, katika siku ya kwanza ya Idul Adha, wakiwa mbioni kuhitimisha vipengee vikuu vya ibada ya Hija ya mwaka huu.
-
Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah wasimama Arafa
Jul 08, 2022 10:31Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu wanasimama katika uwanja wa Arafa hii leo Ijumaa, kisimamo hicho kikiashiria kilele cha ibada tukufu ya Hijja.
-
Iran yakamilisha oparesheni ya kuwatuma waumini kwenda Hija
Jul 03, 2022 09:24Mkuu wa oparesheni ya kuwabeba Wairani wanaoenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu amesema oparesheni hiyo inakamilika usiku wa leo.
-
Kundi la kwanza la mahujaji wa Kiirani laondoka nchini kwenda Saudia
Jun 12, 2022 07:57Kundi la kwanza la wananchi wa Iran wanaokwenda kutekeleza ibada tukufu ya Hija limeondoka nchini mapema leo Jumapili kwenda katika mji mtukufu wa Madina nchini Saudi Arabia.
-
Saudi Arabia yaruhusu Umra kwa mahujaji wa kigeni
Nov 01, 2020 06:35Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu mahujaji kutoka nje kuingia nchini humo kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Umra baada ya kufungwa mwezi Machi mwaka huu kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Raia wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi wapigwa marufuku kuingia Makka na Madina kwa sababu ya corona
Feb 29, 2020 07:13Saudi Arabia imetangaza kuwa ni marufuku kwa raia wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kuingia katika Haramaini za Makka na Madina, ikiwa ni hatua ya kuzuia maambukizi ya kirusi cha corona nchini humo.
-
Mahujaji waanza kuelea Mina wakijitayarisha kwa kisimamo cha Arafa
Aug 09, 2019 08:12Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, al Kaaba leo wameelekea Mina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya siku ya Tarwiya hiyo kesho tarehe 8 Dhilhaji katika eneo hilo tukufu.