Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Makkah

  • Nukta nne muhimu za kushindwa vikao vya Makka

    Nukta nne muhimu za kushindwa vikao vya Makka

    Jun 05, 2019 12:28

    Katika hali ambayo siku nne zimepita tokea kufanyika vikao vya Makka lakini bado matokeo mabaya na hata yaliyo kinyume na matarajio ya waandaaji wa vikao hivyo yangali yanaendelea kuakisiwa kieneo na kimataifa.

  • Vikao vya Makka; uchochezi ambao unaweka wazi kuchanganyikiwa Saudi Arabia

    Vikao vya Makka; uchochezi ambao unaweka wazi kuchanganyikiwa Saudi Arabia

    Jun 01, 2019 07:26

    Katika siku za Alhamisi na Ijumaa, Saudi Arabia iliandaa vikao vitatu katika mji mtakatifu wa Makka. Vikao hivyo vilikuwa vya kuhudumia ajinabi na maadui wa umma wa Kiislamu na wakati huo huo vimebainisha wazi kuchanganikiwa na kupoteza mwelekeo watawala wa nchi hiyo.

  • Amir wa Qatar hatoshiriki kikao cha Makka

    Amir wa Qatar hatoshiriki kikao cha Makka

    May 30, 2019 08:17

    Amir wa Qatar amekataa ombi la mfalme wa Saudi Arabia la kufanya safari katika mji wa Makka na badala yake amemtuma Waziri wake Mkuu kumwakilisha huko Saudia.

  • Wairani 85,200 kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Wairani 85,200 kwenda kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu

    Jun 28, 2018 03:48

    Wairani 85,200 wanatazamiwa kwenda nchini Saudi Arabia kutekeleza ibada tukufu ya Hija mwaka huu.

  • Wasomi wa Kiislam Nepal: Aal-Saud waache kutumia vibaya na kisiasa maeneo ya Waislamu

    Wasomi wa Kiislam Nepal: Aal-Saud waache kutumia vibaya na kisiasa maeneo ya Waislamu

    Apr 09, 2018 14:04

    Wasomi wakubwa wa Kiislamu nchini Nepal wameulaani utawala wa kifalme wa Aal-Saud nchini Saudia kwa hatua yake ya kutumia kisiasa na kwa malengo yao binafsi ibada ya Hijjah na maeneo matukufu ya Waislamu.

  • Bodi ya kimataifa yaanzishwa kusimamia idara ya Saudia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina

    Bodi ya kimataifa yaanzishwa kusimamia idara ya Saudia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina

    Jan 10, 2018 16:10

    Malaysia imetangaza habari ya kuanzishwa bodi ya kimataifa ya kuchunguza na kusimamia idara na uendeshaji wa Saudi Arabia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina na vilevile kulinda maeneo na turathi za kihistoria.

  • Kiongozi wa Wakristo wa Palestina: Hatua za karibuni dhidi ya Quds zitaifikia mpaka Makka

    Kiongozi wa Wakristo wa Palestina: Hatua za karibuni dhidi ya Quds zitaifikia mpaka Makka

    Dec 21, 2017 16:18

    Kiongozi wa kiroho wa Wakristo wa Palestina Kasisi Manuel Musallam amesema, hatua iliyochukua Marekani hivi karibuni dhidi ya Quds inalenga kuanzisha vita vya kidini ambavyo vitafika mpaka Makka.

  • Mamia ya mahujaji wanusurika na ajali ya moto Makkah, Saudia

    Mamia ya mahujaji wanusurika na ajali ya moto Makkah, Saudia

    Aug 22, 2017 08:07

    Mamia ya mahujaji wamenusurika katika ajali ya moto uliotokea katika jengo la ghorofa 15 mjini Makkah, Saudi Arabia.

  • Jibu la Iraq dhidi ya madai yasiyo na msingi ya Saudia

    Jibu la Iraq dhidi ya madai yasiyo na msingi ya Saudia

    Nov 25, 2016 08:21

    Hivi karibuni Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq ilitoa jibu dhidi ya matamshi ya Thamer Al-Sabhan, Waziri Mshauri wa Saudia katika masuala ya nchi za Ghuba ya Uajemi, ikisema kuwa wizara hiyo ya kigeni ya Iraq ni mali ya Wairaq wote.

  • Maulama wa Yemen wakadhibisha madai ya Saudia, miji mitakatifu haishambuliwi

    Maulama wa Yemen wakadhibisha madai ya Saudia, miji mitakatifu haishambuliwi

    Nov 04, 2016 08:16

    Maulama wa Kiislamu nchini Yemen wamekadhibisha madai yaliyotolewa na utawala wa kifalme wa Saudi Arabia uliosema jeshi na wapiganaji wa Yemen wameshambulia mji mtakatifu wa Makka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS