Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

makundi ya kitakfiri

  • Syria yaitaka Saudi Arabia iache kuunga mkono makundi ya kigaidi

    Syria yaitaka Saudi Arabia iache kuunga mkono makundi ya kigaidi

    Mar 22, 2018 04:22

    Katika barua mbili zilizotumwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria kwenda Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo, Damascus imelalamikia mwenendo wa uungaji mkono wa baadhi ya nchi kwa kushirikiana na nchi za Magharibi kwa makundi ya kigaidi nchini Syria.

  • Mkutano wa Kimataifa wa Wapenzi wa Ahlul-Baiti AS umeanza leo hapa mjini Tehran + SAUTI

    Mkutano wa Kimataifa wa Wapenzi wa Ahlul-Baiti AS umeanza leo hapa mjini Tehran + SAUTI

    Nov 22, 2017 12:12

    Mkutano wa Kimataifa wa Wapenzi wa Ahlul-Baiti (as) umeanza leo hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na shakhsia, wanazuoni na wanafikra 500 kutoka katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Rais wa Somalia aapa kupambana na magaidi wa al Shabab baada ya hujuma ya kigaidi

    Rais wa Somalia aapa kupambana na magaidi wa al Shabab baada ya hujuma ya kigaidi

    Oct 19, 2017 07:43

    Rais Mohammad Abdullahi Mohamed wa Somalia ameapa kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab kufatia hujuma mbaya zaidi ya kigaidi kuwahi kushuhudiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu ambapo watu zaidi ya 300 waliuawa.

  • Hizbullah: Mpango wa matakfiri Mashariki ya Kati unasambaratika

    Hizbullah: Mpango wa matakfiri Mashariki ya Kati unasambaratika

    Jun 28, 2017 07:18

    Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, hali ya kisiasa inayotawala hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa manufaa ya mhimili wa muqawama na kwamba, mpango wa matakfiri umo katika katika hali ya kusambaratika.

  • Kongamano la Umoja wa Umma wa Kiislamu la kukabiliana na utakfiri lafanyika Iran

    Kongamano la Umoja wa Umma wa Kiislamu la kukabiliana na utakfiri lafanyika Iran

    Feb 26, 2017 04:32

    Kongamano la sita la "Umoja wa Umma wa kiislamu Katika Kukabiliana na Utakfiri" lilifanyika jana Jumamosi katika mji wa Bojnord kaskazini mashariki mwa Iran na kuhudhuriwa na mamia ya wasomi wa madhehebu ya Kishia na Kisuni.

  • Nasrullah: Makundi kigaidi yanatumikia maslahi ya Marekani

    Nasrullah: Makundi kigaidi yanatumikia maslahi ya Marekani

    Aug 14, 2016 07:01

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameyataka makundi ya kigaidi na kitakfiri kuweka chini silaha na yatambue kuwa harakati zao hazina maslahi kwa yeyote isipokuwa adui Marekani.

  • Rais Putin: Hakuna makundi mazuri ya kigaidi

    Rais Putin: Hakuna makundi mazuri ya kigaidi

    Aug 06, 2016 06:59

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya dhidi ya kuyatumia baadhi ya magenge ya kigaidi kwa maslahi ya kisiasa na kuyaorodhesha kama makundi mazuri ya kigaidi.

  • Mamia ya magaidi waangamizana nchini Syria

    Mamia ya magaidi waangamizana nchini Syria

    May 20, 2016 07:03

    Mamia ya magaidi wameangamizana katika viunga vya Damascus, mjini mkuu wa Syria baada ya kutokea mapigano makali baina yao.

  • Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria

    Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria

    Apr 01, 2016 07:52

    Utawala wa Kizayuni wa Israel hadi sasa umetoa matibabu kwa magaidi zaidi ya 2,100 wanaopigana ndani ya Syria kuiangusha serikali halali ya nchi hiyo.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS