Jun 28, 2017 07:18
Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, hali ya kisiasa inayotawala hivi sasa katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa manufaa ya mhimili wa muqawama na kwamba, mpango wa matakfiri umo katika katika hali ya kusambaratika.