Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

malalamiko

  • Vyombo vya habari vya michezo duniani vyalalamikia kimya cha FIFA mbele ya jinai za Israel

    Vyombo vya habari vya michezo duniani vyalalamikia kimya cha FIFA mbele ya jinai za Israel

    Oct 06, 2024 11:34

    Aghalabu ya vyombo vya habari mashuhuri vya michezo duniani vimekosoa kimya, mchezo wa kisiasa na unafiki wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) mkabala wa jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel.

  • Kuendelea visa vya watu kujichoma moto huko Marekani; nembo ya kupinga vita vya Ukanda wa Gaza

    Kuendelea visa vya watu kujichoma moto huko Marekani; nembo ya kupinga vita vya Ukanda wa Gaza

    Sep 16, 2024 11:17

    Raia mmoja wa Marekani aliyejulikana kwa jina na Matt Nelson amejichoma moto katika mji wa Boston akipinga na kulalamikia vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza.

  • Wamarekani waandamana kupinga himaya ya Washington kwa jinai za Israel huko Gaza

    Wamarekani waandamana kupinga himaya ya Washington kwa jinai za Israel huko Gaza

    Feb 03, 2024 12:03

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano makubwa wakipinga uungaji mkono na himaya ya serikali ya Washington kwa jinai na mauaji yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kutaka kusitishwa mara moja vita huko Palestina.

  • Russia yapinga vitendo vya uchochezi vya Marekani nchini Syria

    Russia yapinga vitendo vya uchochezi vya Marekani nchini Syria

    Apr 02, 2023 08:05

    Kamanda wa ngazi za juu nchini Russia alitangaza siku ya Ijumaa kuwa Moscow iimelalmikia "vitendo vya uchochezi" vya vikosi vamizi vya Marekani nchini Syria.

  • Maandamano makubwa ya Wafaransa ya kupinga sera za NATO na Ulaya katika vita vya Ukraine

    Maandamano makubwa ya Wafaransa ya kupinga sera za NATO na Ulaya katika vita vya Ukraine

    Dec 22, 2022 03:08

    Kutokana na kushamiri hali mbaya ya kiuchumi katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi wengi wa nchi hizo wanapinga sera za Umoja wa Ulaya katika vita vya Ukraine. Hali mbaya ya uhaba wa nishati na wasiwasi unaotokana na msimu wa baridi kali unaokaribia kuanza,

  • Iran: Tawala za kidhalimu za Magharibi zimeshindwa kuficha dhati yao dhidi ya binadamu

    Iran: Tawala za kidhalimu za Magharibi zimeshindwa kuficha dhati yao dhidi ya binadamu

    Dec 05, 2022 02:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, baadhi ya nchi za Magharibi zimeshindwa kuficha dhati yao ya kijinai dhidi ya haki za binadamu licha ya kujifanya zinapigania haki za binadamu.

  • Korea ya Kaskazini yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Magharibi

    Korea ya Kaskazini yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Magharibi

    Mar 23, 2021 07:40

    Korea ya Kaskazini imezikosoa nchi za Magharibi kwa kukiuka haki za binadamu na kuitolea mwito jamii ya kimataifa kuchukua hatua ya kulipatia ufumbuzi tatizo hilo.

  • Wananchi wa Tunisia waendelea na maandamano ya kulalamikia mgogoro wa kisiasa

    Wananchi wa Tunisia waendelea na maandamano ya kulalamikia mgogoro wa kisiasa

    Mar 21, 2021 12:25

    Wananchi wa Tunisia wameendelea na maandamano ya kupinga mgogoro wa kisiasa na matatizo ya kiuchumi na kimaisha nchini mwao.

  • Waingereza waendelea kuandamana, wapinga ukatili wa kijinsia

    Waingereza waendelea kuandamana, wapinga ukatili wa kijinsia

    Mar 16, 2021 09:25

    Mamia ya wananchi wa Uingereza wameendelea kuandamana katika mitaa ya kandokando ya Bunge la nchi hiyo wakipinga mauaji yaliyofanywa na afisa wa polisi dhidi ya Sarah Everard, mwanamke aliyekuwa na umri wa miaka 33. Waandamanaji hao wamefunga kabisa barabara za kandokando ya Bunge la nchi hiyo.

  • Malalamiko ya wanawake dhidi ya Trump na mustakbali wa rais huyo wa Marekani

    Malalamiko ya wanawake dhidi ya Trump na mustakbali wa rais huyo wa Marekani

    Oct 19, 2020 06:17

    Katika siku zilizopita, wanawake nchini Marekani walifanya maandamano katika majimbo mbalimbali ya nchi hiyo likiwemo la Washington ili kutangaza upinzani wao kwa siasa za rais wa nchi hiyo, Donald Trump. Shabaha ya maandamano hayo ilikuwa ni kupinga ubaguzi wa rangi na ukandamizaji dhidi ya wanawake. Waendeshaji wa maandamano hayo waliahidi kuendelea na operesheni hiyo waliyoipa jina la maandamano 429 katika mikoa 50 ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS