Aug 09, 2018 02:28
Katika mkondo wa wimbi la kupinga matamshi ya dharau na kebehi yaliyotolewa na waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Uingereza dhidi ya Waislamu, Mwenyekiti wa chama cha Conservative cha Uingereza amemtaka Boris Johnson aombe radhi kutokana na matamshi yake dhidi ya wanawake wa Kiislamu wanaovaa vazi la burqa.