-
Jeshi Mali lamuangamiza kinara wa Daesh katika eneo la Sahara
Jul 22, 2025 04:37Jeshi la Mali limetangaza kuwa limemuua Souleymane Ag Bakawa, mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo pana la Sahara, wakati wa operesheni ya kiusalama katika eneo la Tinfadimata, kaskazini mwa Mali.
-
Mahakama ya rufaa ya Mali yakataa ombi la kuwaachia huru baadhi ya wapinzani
Nov 13, 2024 07:05Mahakama ya rufaa katika mji mkuu wa Mali, Bamako jana ilikataa ombi la kuwaachiwa huru mawaziri na wanasiasa 11 waliokuwa wakiukosoa uongozi wa kijeshi nchini humo ambao walitiwa nguvuni mwezi Juni kwa kile kilichotajwa kuwa kula njama dhidi ya utawala wa kijeshi.
-
Muungano wa kisiasa wa Mali wapinga kura ya maoni ya katiba
May 09, 2023 12:05Jumuiya mbalimbali za kisiasa nchini Mali zimeunganisha nguvu pamoja ili kupinga uamuzi wa serikali ya kijeshi ya nchi hiyo wa kuendesha kura ya maoni kuhusu katiba mpya nchi hiyo. Kura hiyo ya maoni imepangwa kufanyika Juni 18 mwaka huu.
-
Watu wenye silaha wamewateka nyara wafanyakazi wa Kichina na Kimauritania huko Mali
Jul 18, 2021 08:12Watu wenye silaha wamewateka nyara raia watatu wa Kichina na wawili wa Kimauritania katika eneo la kazi la ujenzi kusini magharibi mwa Mali. Hayo yameelezwa na jeshi la Mali.
-
Wafanya mapinduzi ya kijeshi Mali wataka kuongoza kwa miaka 3; Ecowas yasema mmoja watosha
Aug 27, 2020 07:09Viongozi wa mapinduzi ya kijeshi huko Mali wameuambia ujumbe wa wapatanishi wa Magharibi mwa Afrika kuwa wanataka kusalia madarakani kwa miaka mitatu ya kipindi cha mpito.
-
Mahakama ya Zimbabwe yamteuwa Bona Chikore kufuatilia mali za Mugabe
Dec 05, 2019 12:33Mahakama Kuu ya Zimbabwe leo amemteua binti wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Robert Mugabe kufuatilia mali zilizoachwa na kiiongozi huyo ili ziweze kugawanywa baina ya warithi wake.
-
Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi
Nov 22, 2016 07:54Askari watano wa jeshi la Mali na raia mmoja wameuawa na genge la watu waliobeba silaha, wakati walipokuwa wakisafirisha masanduku ya kupigia kura katika mji wa Dilli.
-
Baina ya roho na mali kipi chenye thamani zaidi?
Apr 21, 2016 13:08Wako baadhi ya watu wako tayari kusamehe roho zao kwa ajili ya mali, wewe una msimamo gani. Huyu kwenye tukiwa hili la mafuriko aliamua hivi. Unakubaliana naye?