Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mali

  • Jeshi Mali lamuangamiza kinara wa Daesh katika eneo la Sahara

    Jeshi Mali lamuangamiza kinara wa Daesh katika eneo la Sahara

    Jul 22, 2025 04:37

    Jeshi la Mali limetangaza kuwa limemuua Souleymane Ag Bakawa, mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo pana la Sahara, wakati wa operesheni ya kiusalama katika eneo la Tinfadimata, kaskazini mwa Mali.

  • Mahakama ya rufaa ya Mali yakataa ombi la kuwaachia huru baadhi ya wapinzani

    Mahakama ya rufaa ya Mali yakataa ombi la kuwaachia huru baadhi ya wapinzani

    Nov 13, 2024 07:05

    Mahakama ya rufaa katika mji mkuu wa Mali, Bamako jana ilikataa ombi la kuwaachiwa huru mawaziri na wanasiasa 11 waliokuwa wakiukosoa uongozi wa kijeshi nchini humo ambao walitiwa nguvuni mwezi Juni kwa kile kilichotajwa kuwa kula njama dhidi ya utawala wa kijeshi.

  • Muungano wa kisiasa wa Mali wapinga kura ya maoni ya katiba

    Muungano wa kisiasa wa Mali wapinga kura ya maoni ya katiba

    May 09, 2023 12:05

    Jumuiya mbalimbali za kisiasa nchini Mali zimeunganisha nguvu pamoja ili kupinga uamuzi wa serikali ya kijeshi ya nchi hiyo wa kuendesha kura ya maoni kuhusu katiba mpya nchi hiyo. Kura hiyo ya maoni imepangwa kufanyika Juni 18 mwaka huu.

  • Watu wenye silaha wamewateka nyara wafanyakazi wa Kichina na Kimauritania huko Mali

    Watu wenye silaha wamewateka nyara wafanyakazi wa Kichina na Kimauritania huko Mali

    Jul 18, 2021 08:12

    Watu wenye silaha wamewateka nyara raia watatu wa Kichina na wawili wa Kimauritania katika eneo la kazi la ujenzi kusini magharibi mwa Mali. Hayo yameelezwa na jeshi la Mali.

  • Wafanya mapinduzi ya kijeshi Mali wataka kuongoza kwa miaka 3; Ecowas yasema mmoja watosha

    Wafanya mapinduzi ya kijeshi Mali wataka kuongoza kwa miaka 3; Ecowas yasema mmoja watosha

    Aug 27, 2020 07:09

    Viongozi wa mapinduzi ya kijeshi huko Mali wameuambia ujumbe wa wapatanishi wa Magharibi mwa Afrika kuwa wanataka kusalia madarakani kwa miaka mitatu ya kipindi cha mpito.

  • Mahakama ya Zimbabwe yamteuwa Bona Chikore kufuatilia mali za Mugabe

    Mahakama ya Zimbabwe yamteuwa Bona Chikore kufuatilia mali za Mugabe

    Dec 05, 2019 12:33

    Mahakama Kuu ya Zimbabwe leo amemteua binti wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Robert Mugabe kufuatilia mali zilizoachwa na kiiongozi huyo ili ziweze kugawanywa baina ya warithi wake.

  • Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi

    Raia, askari 6 wauawa nchini Mali katika ghasia za uchaguzi

    Nov 22, 2016 07:54

    Askari watano wa jeshi la Mali na raia mmoja wameuawa na genge la watu waliobeba silaha, wakati walipokuwa wakisafirisha masanduku ya kupigia kura katika mji wa Dilli.

  • Baina ya roho na mali kipi chenye thamani zaidi?

    Baina ya roho na mali kipi chenye thamani zaidi?

    Apr 21, 2016 13:08

    Wako baadhi ya watu wako tayari kusamehe roho zao kwa ajili ya mali, wewe una msimamo gani. Huyu kwenye tukiwa hili la mafuriko aliamua hivi. Unakubaliana naye?

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS