Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Onyo kuhusu kudorora Ulaya katika mfumo unaotawaliwa na Marekani

    Onyo kuhusu kudorora Ulaya katika mfumo unaotawaliwa na Marekani

    May 31, 2023 21:52

    Mwanafikra mashuhuri wa Marekani Noam Chomsky ameonya kwamba huenda Ulaya ikadhoofika sana kiviwanda ikiwa itaendelea kuwa chini ya utawala wa Marekani.

  • Chomsky aonya kuhusu matokeo mabaya ya Ulaya kuwa chini ya utawala wa Marekani

    Chomsky aonya kuhusu matokeo mabaya ya Ulaya kuwa chini ya utawala wa Marekani

    May 31, 2023 06:28

    Mwanafalsafa na mwanaisimu mashuhuri wa Marekani ameonya kuhusu matokeo mabaya ya Ulaya kuwa chini ya udhibiti wa Marekani.

  • Wasiwasi wa Baraza la Haki za Kibinadamu la UN kuhusu hali ya wakimbizi Uingereza na Marekani

    Wasiwasi wa Baraza la Haki za Kibinadamu la UN kuhusu hali ya wakimbizi Uingereza na Marekani

    May 31, 2023 05:55

    Kamishna Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya watu wanaotafuta hifadhi nchini Uingereza na Marekani.

  • Kan'ani aliambia Bunge la Ulaya: Haki za binadamu zina uhusiano gani na kuwaunga mkono magaidi

    Kan'ani aliambia Bunge la Ulaya: Haki za binadamu zina uhusiano gani na kuwaunga mkono magaidi

    May 30, 2023 06:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezungumzia suala la kualikwa kiongozi wa kundi la kigaidi la MKO katika Bunge la Ulaya na nara zinazotolewa na nchi za Ulaya kuhusu haki za binadamu na kuhoji: Haki za binadamu zina uhusiano gani na kuwaunga mkono magaidi?

  • China yatupilia mbali ombi la Marekani la kuwakutanisha mawaziri wa ulinzi wa nchi mbili

    China yatupilia mbali ombi la Marekani la kuwakutanisha mawaziri wa ulinzi wa nchi mbili

    May 30, 2023 01:47

    Gazeti moja linalochapishwa nchini Marekani limeripoti kuwa China imekataa ombi la Marekani la kufanyika mkutano kati ya mawaziri wa ulinzi wa nchi hizo mbili kando ya kongamano la kila mwaka la usalama nchini Singapore.

  • Mwaka wa tatu wa mauaji ya George Floyd; kuendelea ubaguzi wa rangi  dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika

    Mwaka wa tatu wa mauaji ya George Floyd; kuendelea ubaguzi wa rangi dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika

    May 28, 2023 07:19

    Ikiwa umetimia mwaka wa tatu tangu kuuawa kikatili George Floyd, Mmarekani mwenye asili ya Afrika, yaliyofanywa na polisi mbaguzi mzungu anayeitwa Derek Chauvin katika mji wa Minneapolis, Minnesota, suala la ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi nchini Marekani dhidi ya watu weusi au wenye asili ya Afrika bado ni miongoni mwa matatizo makubwa katika nchi hiyo.

  • Aliyehukumiwa kifungo Marekani bila ya kosa lolote aachiliwa baada ya kusota jela kwa miaka 33

    Aliyehukumiwa kifungo Marekani bila ya kosa lolote aachiliwa baada ya kusota jela kwa miaka 33

    May 27, 2023 07:18

    Mwanaume mmoja nchini Marekani amebainika kuwa hana hatia na kuachiliwa huru baada ya kusota gerezani kwa muda wa miaka 33 kwa kosa la kujaribu kuua.

  • Russia: US inatuma magaidi Afghanistan kuyumbisha uthabiti wa eneo

    Russia: US inatuma magaidi Afghanistan kuyumbisha uthabiti wa eneo

    May 26, 2023 06:15

    Russia imeituhumu Marekani kuwa inataka kutumia magenge ya kigaidi nchini Afghanistan kwa shabaha ya kuvuruga uthabiti katika eneo zima la Asia ya Kati.

  • Maafisa wa Russia: Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh kwa ajili ya kufanya uharibifu dhidi ya Russia

    Maafisa wa Russia: Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh kwa ajili ya kufanya uharibifu dhidi ya Russia

    May 25, 2023 02:17

    Mkurugenzi wa Idara ya Ujasusi wa Kigeni ya Russia ameishutumu Marekani kwa kuikalia kwa mabavu sehemu ya ardhi ya Syria na kuwafunza magaidi wa Daesh (ISIS) jinsi ya kufanya hujuma dhidi ya Moscow.

  • Muungano wa kimataifa wa ndege za kivita: Hatua mpya ya kuchochea vita nchini Ukraine

    Muungano wa kimataifa wa ndege za kivita: Hatua mpya ya kuchochea vita nchini Ukraine

    May 20, 2023 21:58

    Marekani imepiga hatua mpya katika kupanua wigo wa vita nchini Ukraine. Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) Jake Sullivan ametangaza kuwa Rais Joe Biden Ijumaa aliwafahamisha viongozi wa Kundi la G7 kwamba ameafiki kutoa mafunzo ya kuendesha ndege za kivita za F-16 kwa marubani wa Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS