Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuanza urutubishaji wa urani wa asilimia 60 katika kituo cha Fordo; radiamali ya Iran kwa hatua za uhasama za Magharibi

    Kuanza urutubishaji wa urani wa asilimia 60 katika kituo cha Fordo; radiamali ya Iran kwa hatua za uhasama za Magharibi

    Nov 24, 2022 03:47

    Ikiwa ni katika kujibu azimio la hivi karibuni la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetangaza uzalishaji wa urani iliyorutubishwa hadi kiwango cha asilimia 60 katika kituo cha Fordo.

  • Mbunge wa EU: Kwa nini Ulaya haikutaka Marekani iwekewe vikwazo ilipowaua Wairaqi kwa halaiki?

    Mbunge wa EU: Kwa nini Ulaya haikutaka Marekani iwekewe vikwazo ilipowaua Wairaqi kwa halaiki?

    Nov 21, 2022 22:54

    Mick Wallace, Mbunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya amesema, umoja huo ulionyesha undumlakuwili kwa kunyamaza kimya wakati askari wa jeshi la Marekani walipowaua kwa umati raia wa Iraq.

  • Kan'ani: Malengo ya vita vya vyombo vya habari ni kuwasafisha wahalifu washirika wa Marekani

    Kan'ani: Malengo ya vita vya vyombo vya habari ni kuwasafisha wahalifu washirika wa Marekani

    Nov 20, 2022 06:56

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa malengo ya vita vya vyombo vya habari na mashinikizo ya kisiasa ya nchi za Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuwatakasa wahalifu wenye mfungamano na Marekani.

  • Russia na China zapinga azimio la Bodi ya Magavana ya Wakala wa IAEA dhidi ya Iran

    Russia na China zapinga azimio la Bodi ya Magavana ya Wakala wa IAEA dhidi ya Iran

    Nov 19, 2022 08:22

    Azimio jipya la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani limepasishwa ambapo limetuma ujumbe ulio wazi kufuatia kupungua kwa kura za nchi zilizoliunga mkono licha ya mashinikizo mapya ya kisiasa ya Marekani na Troika ya Ulaya dhidi ya Iran.

  • Marekani yampa kinga Muhammad bin Salman kwa mauaji ya Khashoggi

    Marekani yampa kinga Muhammad bin Salman kwa mauaji ya Khashoggi

    Nov 18, 2022 22:59

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imempa kinga Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ili asishtakiwe kwa mauaji ya Jamal Khashoggi mwandishi habari mkosaji mkuu wa utawala wa Aal Saud. Bin Salman amepewa kinga hiyo licha ya ahadi ya awali ya Rais Joe Biden ya kumwajibisha mtawala huyo wa Saudia kwa jinai hiyo ya kinyama.

  • Kuongezeka mawazo ya kutaka kujiua miongoni mwa watoto na vijana wa Marekani

    Kuongezeka mawazo ya kutaka kujiua miongoni mwa watoto na vijana wa Marekani

    Nov 18, 2022 03:57

    Matokeo ya utafiti uliofanya huko Marekani yanaonyesha kuwa mawazo na fikra za kutaka kujiua zimeongezeka sana kati ya watoto na vijana wa nchi hiyo.

  • Kusambaratika miundombinu ya uchumi wa Afghanistan katika miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu na Marekani

    Kusambaratika miundombinu ya uchumi wa Afghanistan katika miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu na Marekani

    Nov 17, 2022 22:49

    Waziri wa Uchumi wa serikali ya wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan amesema kuwa, miaka 20 ya kukaliwa kwa mabavu nchi hiyo na wanajeshi wa Marekani ndio sababu kuu ya kusambaratika miundombinu ya uchumi wa nchi hiyo.

  • Iran yaitaka Marekani iache unafiki katika mazungumzo ya JCPOA

    Iran yaitaka Marekani iache unafiki katika mazungumzo ya JCPOA

    Nov 17, 2022 03:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani ipo mbioni kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwa msingi huo amewaasa viongozi wa nchi hiyo na timu ya wapatanishi wa Washington katika mazungumzo hayo kuweka pembeni unafiki.

  • Marekani yaitaka Ukraine ifanye mazungumzo ya amani na Russia

    Marekani yaitaka Ukraine ifanye mazungumzo ya amani na Russia

    Nov 14, 2022 07:12

    Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani wameanzisha kampeni ya kuishawishi Ukraine itafakari juu ya suala la kufanya mazungumzo ya amani na Russia, wakihofia kuwa msimu wa baridi kali yumkini ukaikwamisha serikali ya Kiev baada ya eti kupata ushindi wa kulidhibiti tena eneo la Kherson.

  • Marekani yaituhumu Imarati kuwa inaingilia siasa zake

    Marekani yaituhumu Imarati kuwa inaingilia siasa zake

    Nov 13, 2022 22:53

    Ripoti ya siri iliyotolewa na maafisa wa Idara ya Intelijensia ya Marekani imedai kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu umefanya jitihada kubwa za kujaribu kutatiza na kuvuruga mfumo wa kisiasa wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS