Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mashirika 290 yamtaka Biden asimamishe hujuma za Israel dhidi ya Palestina

    Mashirika 290 yamtaka Biden asimamishe hujuma za Israel dhidi ya Palestina

    Sep 02, 2022 07:33

    Zaidi ya mashirika 290 ya Marekani na kimataifa yametoa mwito kwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo yakimtaka achukue hatua za kivitendo za kuzuia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

  • Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani

    Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani

    Sep 02, 2022 03:19

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani na nchi za Magharibi zinataka kutekeleza siasa zao za kibeberu katika maeneo yote hassasi na ya kiistratijia duniani na kwamba matukio ya Ukraine ni matunda ya mtazamo huo wa kiistikbari wa Magharibi.

  • IRGC ya Iran yaeleza ilivyotwaa na kuachia huru droni ya Marekani

    IRGC ya Iran yaeleza ilivyotwaa na kuachia huru droni ya Marekani

    Sep 01, 2022 03:07

    Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa maelezo ya kina kuhusu namna lilivyoteka na kisha kuachia huru ndege isiyo na rubani ya baharini ya Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • UN yaitaka Marekani izipe fidia familia za wahanga wa utumwa

    UN yaitaka Marekani izipe fidia familia za wahanga wa utumwa

    Sep 01, 2022 03:01

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito kwa Marekani kuanza mchakato wa kutoa fidia kwa vizazi vya wahanga wa utumwa.

  • Kifo cha Gorbachev na mafunzo ya kihistoria

    Kifo cha Gorbachev na mafunzo ya kihistoria

    Aug 31, 2022 05:56

    Mikhail Gorbachev, kiongozi wa mwisho wa Shirikisho la Sovieti, alifariki dunia Jumanne usiku akiwa na umri wa miaka 91 katika hospitali moja mjini Moscow baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kifo cha Gorbachev kimekabiliwa na hisia nyingi za ndani na nje, ambapo Rais Vladimir Putin wa Russia, maafisa wa UN na Katibu Mkuu wake na wakuu kadhaa wa nchi, wametuma salamu za rambirambi.

  • Rais wa Tunisia akosoa uingiliaji wa mambo ya ndani wa Marekani

    Rais wa Tunisia akosoa uingiliaji wa mambo ya ndani wa Marekani

    Aug 31, 2022 02:46

    Rais wa Tunisia amekosoa vikali kile alichokitaja kuwa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya taifa hilo la Kiarabu la kaskazini mwa Afrika.

  • Wamarekani: Ndani ya miaka 10 ijayo vita vya wenyewe kwa wenyewe vitatokea nchini

    Wamarekani: Ndani ya miaka 10 ijayo vita vya wenyewe kwa wenyewe vitatokea nchini

    Aug 30, 2022 07:31

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa zaidi ya 40% ya Wamarekani wanaamini kwamba ndani ya miaka 10 ijayo, vita vya wenyewe kwa wenyewe vitatokea nchini humo.

  • Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

    Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

    Aug 30, 2022 05:13

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani izirejeshe fedha zilizoibiwa Afghanistan.

  • Mossad inakula njama ya kuzuia kufufuliwa JCPOA

    Mossad inakula njama ya kuzuia kufufuliwa JCPOA

    Aug 29, 2022 06:32

    Mkuu wa Shirika la Kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) anatazamiwa kuelekea Washington kufanya mikutano kadhaa ya faragha na maafisa wa serikali ya Marekani kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

    Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

    Aug 28, 2022 22:03

    Kufuatia matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Nader Hashemi, Mhadhiri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Mashariki ya Kati katika Chuo Kikuu cha Denver, kuhusiana na uwezekano wa Israel kuhusika katika shambulio dhidi ya Salman Rushdie, Warepublican katika Congress ya Marekani wameonya kuhusu ushawishi wa Iran katika vyuo vikuu vya nchi hiyo na kutangaza kwamba watachunguza suala hilo katika miezi ijayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS