Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • CNN: Mfumuko mkubwa wa bei Marekani hauishii tu kwenye mafuta na chakula

    CNN: Mfumuko mkubwa wa bei Marekani hauishii tu kwenye mafuta na chakula

    Jul 31, 2022 02:53

    Televisheni ya CNN ya Marekani imeripoti kuwa, mfumuko mkubwa wa bei ulioikumba nchi hiyo hauishii tu kwenye mafuta na chakula bali umezikumba bidhaa zote muhimu kwa wananchi wa nchi hiyo.

  • Taiwan kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na US licha ya onyo la China

    Taiwan kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na US licha ya onyo la China

    Jul 29, 2022 23:14

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Taiwan imesisitiza kuwa Taipei itaimarisha uhusiano wa ushirikiano wake wa kijeshi na Marekani licha ya onyo kali lililotolewa hivi karibuni na Rais Xi Jinping wa China.

  • New York Times: Iran imekuwa msafirishaji nje mkubwa wa drone duniani

    New York Times: Iran imekuwa msafirishaji nje mkubwa wa drone duniani

    Jul 29, 2022 02:35

    Gazeti la The New York Times la Marekani limewanukuu wataalamu mbalimbali wakisema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa msafirishaji nje mkubwa wa ndege zisizo na rubani (drone) duniani na inazidi kueneza ushawishi wake katika maeneo tofauti ya hata nje ya Asia Magharibi.

  • Trump: Marekani imekuwa taifa ombamba

    Trump: Marekani imekuwa taifa ombamba

    Jul 27, 2022 21:53

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amesema nchi hiyo imegeuka na kuwa 'taifa ombaomba' na kwamba hivi sasa nchi hiyo inakumbwa na wimbi la udhalilishaji wa kihistoria.

  • Magendo ya binadamu yameongezeka mara 26 katika mpaka hatari zaidi duniani

    Magendo ya binadamu yameongezeka mara 26 katika mpaka hatari zaidi duniani

    Jul 26, 2022 06:59

    Wizara ya usalama wa ndani ya Marekani imetangaza kuwa, pato linalopatikana katika biashara haramu ya magendo ya binadamu inayofanywa kupitia mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mexico, ambao ni mpaka hatari zaidi duniani, limeongezeka kutoka dola milioni 500 mwaka 2018 na kufikia dola bilioni 13 kwa sasa.

  • China na Taiwan kwenye mzingo wa mivutano iliyoibuliwa na Washington

    China na Taiwan kwenye mzingo wa mivutano iliyoibuliwa na Washington

    Jul 25, 2022 07:01

    Ziara iliyopangwa kufanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani na misaada ya silaha Washington kwa Taiwan vimezidisha hali ya wasiwasi katika Bahari ya China.

  • Mwisho wa Ulimwengu wa Kikristo

    Mwisho wa Ulimwengu wa Kikristo"... Je, nchi za Magharibi zinarudi kwenye upagani?

    Jul 25, 2022 07:00

    Mwandishi na mwanafalsafa wa Ufaransa, Chantal Delsol anasema kwamba ustaarabu unaotegemea mila na sheria za imani ya Kikristo umenyauka tangu mwisho wa karne ya 20, kwa sababu Ukristo unazidi kutoweka kama marejeo makuu ya sheria, desturi na maadili, baada ya kkutawala Uulaya na Magharibi kwa karibu karne 16.

  • "Marekani ikiwa na irada ya kisiasa kama Iran, makubaliano yatafikiwa"

    Jul 25, 2022 06:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitakubali kushinikizwa juu ya kufikia haraka muafaka wa kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Mazungumzo kati ya marais wa Iran na Ufaransa; Raisi akosoa sera za kuzusha migogoro za Wamagharibi

    Mazungumzo kati ya marais wa Iran na Ufaransa; Raisi akosoa sera za kuzusha migogoro za Wamagharibi

    Jul 24, 2022 03:04

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, zzimio lililotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki dhidi ya Iran ni hatua ya kuzusha mgogoro iliyokuwa na lengo la kuliwekea mashinikizo taifa la Iran.

  • Watoto wahajiri nchini Marekani wapewa kazi za sulubu viwandani

    Watoto wahajiri nchini Marekani wapewa kazi za sulubu viwandani

    Jul 23, 2022 06:53

    Makumi ya watoto wahajiri wanatumikishwa na kupewa kazi za sulubu kwenye kiwanda kimoja cha kufua vyuma nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS