-
Marekani yaripoti kesi ya kwanza ya polio baada ya muongo mmoja
Jul 22, 2022 02:55Marekani imeripoti kesi ya kwanza ya ugonjwa wa kupooza au polio baada ya kupita karibu miaka kumi.
-
Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu wenye asili ya Asia umekithiri Marekani
Jul 21, 2022 22:04Matokeo ya utafiti uliofanywa katika majimbo mbalimbali ya Marekani yanaonyesha kuwa, vitendo na mienendo ya ubaguzi wa rangi dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Asia imeongezeka katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
93% ya Wamarekani watiwa hofu na mfumko wa juu wa bei
Jul 19, 2022 21:49Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa huko Marekani unaonyesha kuwa, mfumko wa bei za bidhaa nchini humo unawatia wasi wasi asilimia 93 ya Wamarekani.
-
Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan
Jul 19, 2022 21:49China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua za nguvu' iwapo Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi atafanya safari ya kuitembelea Taiwan mwezi ujao wa Agosti.
-
Sanders aikosoa Marekani kwa kuimarisha uhusiano na Saudia
Jul 18, 2022 03:07Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amekosoa vikali safari ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo huko Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, Washington haipaswi kuwa na 'uhusiano mzuri' na utawala huo wa kifalme.
-
Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati
Jul 17, 2022 07:21Mohammad Marandi, mchambuzi mwandamizi wa masuala ya kisiasa na mitaala kuhusu Marekani amesema makubaliano kati ya Marekani na Iran ni hatua erevu ambayo kama itachukuliwa itazuia kutokea mgogoro wa nishati katika nchi za Magharibi.
-
Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran
Jul 15, 2022 22:14Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zinatambua vizuri kile ambacho kitawafika iwapo zitathubutu kutelekeza kivitendo vitisho vyao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Amir Abdollahian: Iran itaendeleza juhudi zake katika njia ya kuondoa vikwazo kwa nguvu na mantiki
Jul 15, 2022 07:01Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimia ipasavyo katika njia ya maendeleo endelevu ya kiuchumi na kuondolewa vikwazo ilivyowekewa.
-
Seneta John Kennedy: Kiwango cha kupendwa Biden kati ya Wamarekani ni sawa na kile kipindupindu
Jul 15, 2022 06:54Seneta John Kennedy amesema: Kiwango cha kupendwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo baina ya Wamarekani ni sawa na kile cha ugonjwa wa kipindupindi.
-
Tamko la Iran kufuatia taarifa ya Biden na Lapid
Jul 15, 2022 02:34Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa tamko kufuatia taarifa ya pamoja ya Rais Joe Biden wa Marekani na waziri mkuu wa utawala haramu wa Israel Yair Lapid na kusema : "Maadamu utawala bandia wa Israel ni kituo cha kwanza cha safari za marais wa Marekani na lengo lao kuu ni kulinda usalama wa utawala huo, mataifa ya eneo hayatashuhudia amani, uthabiti na utulivu."