Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yaripoti kesi ya kwanza ya polio baada ya muongo mmoja

    Marekani yaripoti kesi ya kwanza ya polio baada ya muongo mmoja

    Jul 22, 2022 02:55

    Marekani imeripoti kesi ya kwanza ya ugonjwa wa kupooza au polio baada ya kupita karibu miaka kumi.

  • Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu wenye asili ya Asia umekithiri Marekani

    Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu wenye asili ya Asia umekithiri Marekani

    Jul 21, 2022 22:04

    Matokeo ya utafiti uliofanywa katika majimbo mbalimbali ya Marekani yanaonyesha kuwa, vitendo na mienendo ya ubaguzi wa rangi dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Asia imeongezeka katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

  • 93% ya Wamarekani watiwa hofu na mfumko wa juu wa bei

    93% ya Wamarekani watiwa hofu na mfumko wa juu wa bei

    Jul 19, 2022 21:49

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa huko Marekani unaonyesha kuwa, mfumko wa bei za bidhaa nchini humo unawatia wasi wasi asilimia 93 ya Wamarekani.

  • Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan

    Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan

    Jul 19, 2022 21:49

    China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua za nguvu' iwapo Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi atafanya safari ya kuitembelea Taiwan mwezi ujao wa Agosti.

  • Sanders aikosoa Marekani kwa kuimarisha uhusiano na Saudia

    Sanders aikosoa Marekani kwa kuimarisha uhusiano na Saudia

    Jul 18, 2022 03:07

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amekosoa vikali safari ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo huko Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, Washington haipaswi kuwa na 'uhusiano mzuri' na utawala huo wa kifalme.

  • Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati

    Marandi: Makubaliano ya Marekani na Iran ni hatua erevu ya kuzuia mgogoro wa nishati

    Jul 17, 2022 07:21

    Mohammad Marandi, mchambuzi mwandamizi wa masuala ya kisiasa na mitaala kuhusu Marekani amesema makubaliano kati ya Marekani na Iran ni hatua erevu ambayo kama itachukuliwa itazuia kutokea mgogoro wa nishati katika nchi za Magharibi.

  • Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jul 15, 2022 22:14

    Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zinatambua vizuri kile ambacho kitawafika iwapo zitathubutu kutelekeza kivitendo vitisho vyao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Amir Abdollahian: Iran itaendeleza juhudi zake katika njia ya kuondoa vikwazo kwa nguvu na mantiki

    Amir Abdollahian: Iran itaendeleza juhudi zake katika njia ya kuondoa vikwazo kwa nguvu na mantiki

    Jul 15, 2022 07:01

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimia ipasavyo katika njia ya maendeleo endelevu ya kiuchumi na kuondolewa vikwazo ilivyowekewa.

  • Seneta John Kennedy: Kiwango cha kupendwa Biden kati ya Wamarekani ni sawa na kile kipindupindu

    Seneta John Kennedy: Kiwango cha kupendwa Biden kati ya Wamarekani ni sawa na kile kipindupindu

    Jul 15, 2022 06:54

    Seneta John Kennedy amesema: Kiwango cha kupendwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo baina ya Wamarekani ni sawa na kile cha ugonjwa wa kipindupindi.

  • Tamko la Iran kufuatia taarifa ya  Biden na Lapid

    Tamko la Iran kufuatia taarifa ya Biden na Lapid

    Jul 15, 2022 02:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa tamko kufuatia taarifa ya pamoja ya Rais Joe Biden wa Marekani na waziri mkuu wa utawala haramu wa Israel Yair Lapid na kusema : "Maadamu utawala bandia wa Israel ni kituo cha kwanza cha safari za marais wa Marekani na lengo lao kuu ni kulinda usalama wa utawala huo, mataifa ya eneo hayatashuhudia amani, uthabiti na utulivu."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS