Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kan’ani Chafi: Hadaa ni sifa iliyoshamiri ya wanasiasa wa Marekani

    Kan’ani Chafi: Hadaa ni sifa iliyoshamiri ya wanasiasa wa Marekani

    Jul 14, 2022 06:01

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hadaa na kusema uongo ni sifa ya kawaida katika kauli za wanasiasa wa Marekani.

  • China na Marekani zatunishiana misuli katika maji ya Visiwa vya Paracel

    China na Marekani zatunishiana misuli katika maji ya Visiwa vya Paracel

    Jul 13, 2022 04:55

    Jeshi la Wanamaji la China limeitimua manowari ya makombora ya Marekani ya USS Benfold iliyoingia bila kibali kwenye eneo la mpaka wa majini wa nchi hiyo katika Bahari ya China Kusini.

  • Maseneta waitaka serikali ya Biden kuwajibika kuhusu uchunguzi wa mauaji ya Shireen

    Maseneta waitaka serikali ya Biden kuwajibika kuhusu uchunguzi wa mauaji ya Shireen

    Jul 13, 2022 03:27

    Maseneta wa chama cha Democratic cha Marekani wameitaka serikali ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo kuwajibika kuhusu uchunguzi unaohusu mauaji ya mwandishi wa habari wa Palestina wa televisheni ya Al Jazeera, Shireen Abu Akleh.

  • Msikiti washambuliwa New York katika hujuma ya chuki dhidi ya Uislamu

    Msikiti washambuliwa New York katika hujuma ya chuki dhidi ya Uislamu

    Jul 12, 2022 23:16

    Msikiti mmoja umevunjiwa heshima mjini New York, huo ukiwa ni muendelezo wa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Marekani.

  • Jaribio la Biden kuhalalisha safari yake ya Saudi Arabia

    Jaribio la Biden kuhalalisha safari yake ya Saudi Arabia

    Jul 11, 2022 20:55

    Rais Joe Biden wa Marekani amedai katika makala iliyochapishwa kwenye gazeti la Washington Post kwamba katika kipindi cha miezi 18 ya uongozi wake, eneo la Asia Magharibi limekuwa shwari na salama zaidi kuliko hapo awali. Biden ameyasema hayo katika jitihada zake za kujaribu kuhalalisha safari yake tarajiwa nchini Saud Arabia.

  • Iran yapinga mpango wa US kuunda mfumo wa ulinzi katika eneo

    Iran yapinga mpango wa US kuunda mfumo wa ulinzi katika eneo

    Jul 11, 2022 06:59

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeutaja mpango wa Marekani wa kutaka kuunda eti mfumo wa pamoja wa ngao ya makombora katika eneo hili kuwa ni wa kichochezi na kichokozi.

  • Kuendelea kupungua umaarufu wa Biden ndani ya Marekani kunahatarisha nafasi ya Wademocrat

    Kuendelea kupungua umaarufu wa Biden ndani ya Marekani kunahatarisha nafasi ya Wademocrat

    Jul 10, 2022 22:05

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa umaarufu wa rais wa nchi hiyo Joe Biden unazidi kupungua.

  • Tabia ya dharau ya polisi wa Marekani dhidi ya wahamiaji

    Tabia ya dharau ya polisi wa Marekani dhidi ya wahamiaji

    Jul 09, 2022 03:18

    Kwa mujibu wa matokeo ya uchunguzi uliofanyika hivi karibuni, polisi wa kulinda usalama wa mipaka wa Marekani wamekuwa wakiamiliana na wahamiaji kwa njia ya dharau na kuwavunjia heshima.

  • Wakenya waijia juu Fox News ya Marekani kwa upotoshaji

    Wakenya waijia juu Fox News ya Marekani kwa upotoshaji

    Jul 08, 2022 05:33

    Viongozi na wananchi wa Kenya wameishutumu na kuikosoa vikali kanali ya televisheni ya Fox News ya Marekani kwa kueneza madai ya upotoshaji.

  • Russia yaharibu mifumo ya makombora ya Marekani nchini Ukraine

    Russia yaharibu mifumo ya makombora ya Marekani nchini Ukraine

    Jul 07, 2022 03:26

    Jeshi la Russia limetangaza habari ya kusambaratisha mifumo miwili ya makombora aina ya HIMARS ya Marekani mashariki mwa Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS