Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kufichuliwa hitilafu kati ya Berlin na Washington kuhusu Ukraine

    Kufichuliwa hitilafu kati ya Berlin na Washington kuhusu Ukraine

    Jan 29, 2022 23:08

    Gazeti la Ishpigel la nchini Ujerumani limeripoti kuwa Emily Haber Balozi wa Ujerumani mjini Washington ametuma barua ya siri kwa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ujerumani akisistiza kuwa Washington inaitambua Ujerumani kama nchi muitifaki asiyeaminika kutokana na kushindwa kutoa ushirikiano unaohitajika kuhusu kadhia ya Ukraine.

  • Takwa la Russia kwa ajili  ya kuondoka haraka vikosi vamizi ajinabi huko Syria

    Takwa la Russia kwa ajili ya kuondoka haraka vikosi vamizi ajinabi huko Syria

    Jan 29, 2022 08:46

    Dmitry Polyanskiy Naibu Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika hotuba yake katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Russia inataka kuondoka haraka iwezekanavyo vikosi vyote vamizi ajinabi ambavyo vipo kinyume cha sheria huko Syria.

  • New York Times: Israel imekuwa ikitumia programu ya kijasusi ya Pegasus kupeleka mbele malengo yake

    New York Times: Israel imekuwa ikitumia programu ya kijasusi ya Pegasus kupeleka mbele malengo yake

    Jan 29, 2022 07:26

    Gazeti la The New York Times la Marekani limefichua kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umetumia programu ya kijasusi ya "Pegasus" kuendeleza siasa zake za uhasama.

  • Khatami: Vikwazo vyote vya Marekani dhidi Iran lazima viondolewe

    Khatami: Vikwazo vyote vya Marekani dhidi Iran lazima viondolewe

    Jan 28, 2022 07:24

    Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa mjini Tehran amegusia mazungumzo yanayoendelea mjini Vienna kuhusu kuondolewa vikwazo vya kidhulma ilivyowekewa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, Marekani ina wajibu wa kuondoa vikwazo vyote ilivyoiwekea Iran, tena kwa sura ya kudumu.

  • Amnesty International: Jinai ya Saudia kwenye jela ya Saada imefanyika kwa silaha za Marekani

    Amnesty International: Jinai ya Saudia kwenye jela ya Saada imefanyika kwa silaha za Marekani

    Jan 27, 2022 23:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesisitiza kuwa, mauaji ya jela ya Saada nchini Yemen yalitekelezwa kwa silaha za Marekani kufuatia mashambulizi ya muungano vamizi wa Saudi Arabia.

  • Vyombo vya habari vya Russia: Marekani na Uingereza zinaiuzia Ukraine silaha zilizochakaa

    Vyombo vya habari vya Russia: Marekani na Uingereza zinaiuzia Ukraine silaha zilizochakaa

    Jan 27, 2022 22:09

    Vyombo vya habari vya Russia vimeripoti kuwa, Marekani na Uingereza zinaiuzia Ukraine silaha na zana za kijeshi zilizochakaa na za zamani sana.

  • Askari aliyepindua serikali ya Burkina Faso alipata mafunzo Marekani

    Askari aliyepindua serikali ya Burkina Faso alipata mafunzo Marekani

    Jan 27, 2022 06:52

    Afisa wa kijeshi aliyeoongoza mapinduzi yaliyopelekea kupinduliwa rais aliyechaguliwa kidemokrasia Burkina Faso alipata mafunzo yake Marekani.

  • Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu

    Marekani yaendelea kuiuzia Misri silaha licha ya faili lake jeusi la haki za binadamu

    Jan 26, 2022 23:07

    Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 2.5 kwa Misri licha ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kuendelea kuandamwa na shutuma za ukiukaji wa haki za binadamu.

  • Mazungumzo ya Vienna; ufunguo wa makubaliano yoyote ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya taifa la Iran

    Mazungumzo ya Vienna; ufunguo wa makubaliano yoyote ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya taifa la Iran

    Jan 26, 2022 23:05

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ameeleza kuwa, ufunguo wa mapatano yoyote ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ni kuondolewa vikwazo vya kidhalimu dhidi ya wananchi wa Iran.

  • Iran: Hatujaamua kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani

    Iran: Hatujaamua kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani

    Jan 25, 2022 04:35

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijafikia uamuzi wa kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS