Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani: Tuna wasiwasi kuhusu mafanikio ya roketi ya kubeba satalaiti la Iran

    Marekani: Tuna wasiwasi kuhusu mafanikio ya roketi ya kubeba satalaiti la Iran

    Dec 31, 2021 01:22

    Marekani imetangaza kuwa ina wasiwasi kuhusu mafanikio ya roketi ya kubeba satalaiti katika anga za mbali ya Simorgh nchini Iran.

  • Kamanda: Adui hawezi kustahamili gharama za makabiliano na Iran

    Kamanda: Adui hawezi kustahamili gharama za makabiliano na Iran

    Dec 29, 2021 01:02

    Kamanda mwandamizi wa kijeshi nchini Iran amewashauri maadui wasithubutu kupima uwezo wa kijeshi wa Iran kwa kufanya chokochoko kwani hawataweza kustahamili gharama za vita vya pande zote na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Sisitizo la Rais Maduro la kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Sisitizo la Rais Maduro la kugonga mwamba siasa za Marekani dhidi ya Venezuela

    Dec 28, 2021 23:10

    Sambamba na kuendelea mashinikizo ya kisiasa ya Marekani dhidi ya taifa na serikali ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hivyo amesema kuwa, taifa hilo limesimama kidete dhidi ya ubeberu na limefanikiwa kuibuka na ushindi.

  • Onyo la Papa Francis kuhusu kimya cha walimwengu kwa jinai dhidi ya Palestina na Yemen

    Onyo la Papa Francis kuhusu kimya cha walimwengu kwa jinai dhidi ya Palestina na Yemen

    Dec 26, 2021 23:08

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameonya kuhusiana na kimya na kigugumizi cha walimwengu kwa jinai na masaibu yanayowakumba wananchi wa Yemen na Palestina.

  • Marekani yatuhumiwa kuua watu wa Afghanistan kimya kimya

    Marekani yatuhumiwa kuua watu wa Afghanistan kimya kimya

    Dec 23, 2021 23:19

    Marekani na waitifaki wake ambao waliivamia na kuikali kwa mabavu nchi ya Afghanistan kwa kipindi cha miaka 20 wameua kwa umati raia wengi wa nchi hiyo hususan watoto wadogo kwa kutumia kisingizio cha kupambana na ugaidi; na sasa Washington na washirika wake wanaendeleza mauaji ya halaiki na ya kimya kimya dhidi ya raia wa Afghanistan.

  • Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya

    Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya

    Dec 22, 2021 23:20

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake ina haki kamili ya kujihami dhidi ya hatua zisizo za kirafiki za Marekani na akabainisha kwamba Moscow itachukua hatua mwafaka za kijeshi na kiufundi juu ya suala hilo.

  • Marekani yapinga azimio la Umoja wa Mataifa la kupinga ubaguzi wa rangi

    Marekani yapinga azimio la Umoja wa Mataifa la kupinga ubaguzi wa rangi

    Dec 19, 2021 01:55

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi iliyopita lilipitisha azimio la kulaani aina zote za ubaguzi wa rangi.

  • Kufichuliwa ujasusi wa kundi la Kizayuni dhidi ya taasisi za Kiislamu nchini Marekani

    Kufichuliwa ujasusi wa kundi la Kizayuni dhidi ya taasisi za Kiislamu nchini Marekani

    Dec 17, 2021 23:33

    Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu CAIR limefichua kuwa, genge moja la maadui wa Uislamu nchini Marekani linashirikiana na mashirika ya kijasusi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na limeunda kanali maalumu ya siri ya kujipenyeza na kufanya ujasusi katika safu za Waislalmu.

  • Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi

    Hizbullah: Marekani inaongoza vita dhidi ya muqawama Lebanon na Asia Magharibi

    Dec 15, 2021 10:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inaongoza na kusimamia vita dhidi ya muqawama nchini Lebanon na eneo la Asia Magharibi kwa ujumla.

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu ulazima wa kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu ulazima wa kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran

    Dec 15, 2021 07:47

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika ripoti yake ya 12 kuhusu mchakato wa utekelezwaji azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama ametangaza kuunga mkono mazungumzo ya Vienna baina ya Iran na kundi la 4+1 na akasisitiza udharura wa kuondolewa vikwazo vya upande mmoja vya nyuklia vya Marekani dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS