-
Imarati yaitishia Marekani, yasema itajitoa katika makubaliano ya kununua ndege za F-35
Dec 15, 2021 04:17Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imeamua kusimamisha mazungumzo yake na Marekani kuhusu makubaliano ya kununua ndege za kivita aina ya F-35 zenye thamani ya dola bilioni 23.
-
China: Kizoro cha dai la demokrasia kimefunuka, sura halisi ya Marekani imefichuka
Dec 14, 2021 06:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema, Marekani haiwezi tena sasa kuwababaisha na kuwapotosha watu.
-
Kufichuliwa sura mpya vya uhalifu wa Marekani nchini Syria
Dec 13, 2021 09:03Gazeti la New York Times limewanukuu maafisa wa zamani wa jeshi wa Marekani, kwamba kitengo cha operesheni za siri cha jeshi la nchi hiyo kilikuwa kikiwaua mara kwa mara raia katika operesheni zilizotajwa kuwa ni dhidi ya Daesh nchini Syria.
-
Miji 12 mikubwa ya Marekani yavunja rekodi za matukio ya mauaji yanayojiri kila mwaka
Dec 11, 2021 08:32Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, miji 12 mikubwa ya Marekani imevunja rekodi za matukio ya mauaji yanayojiri kila mwaka nchini humo.
-
Kuanza Mkutano wa Demokrasia huko Marekani na madai ya uongo ya Biden
Dec 11, 2021 04:47Baada ya makelele mengi ya kipropaganda hatimaye Mkutano wa Demokrasia ulianza siku ya Alhamisi iliyopita kwa hotuba ya Rais Joe Biden huko Washington.
-
Russia: Luteka ya kijeshi ya Marekani na Israel ni tishio kwa usalama wa Asia Magharibi
Dec 10, 2021 23:16Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza kuwa, mpango wa Marekani na Israel wa kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi ni hatari kwa usalama na utulivu wa eneo nyeti la Asia Magharibi.
-
Trump: "Laana imshukie Netanyahu, kama si mimi nadhani Israel ingetokomezwa"
Dec 10, 2021 09:37Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump ameeleza katika sehemu ya kumbukumbu zake kwamba licha ya huduma nyingi alizokuwa akitoa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, lakini hatamsamehe Waziri Mkuu wa zamani wa utawala huo kwa kile alichofanya dhidi yake.
-
Mauaji na uhalifu wa kutumia mabavu vyaongezeka nchini Marekani
Dec 09, 2021 10:16Vitendo vya mauaji na uhalifu wa kutumia mabavu vinaripotiwa kuongezeka katika maeneo mbalimbali ya Marekani na kuwafanya wananchi wa hiyo kuendelea kukabiliwa na moja ya matatizo makubwa ya kijamii katika nchi hiyo.
-
Marekani yasusia kidiplomasia michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini China
Dec 09, 2021 01:14Jen Psaki Msemaji wa Ikulu ya White House alitangaza Jumatatu usiku kuwa, "serikali ya Joe Biden haitatuma mwakilishi rasmi au wa kidiplomasia katika michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi." Amedai kuwa sababu ya uamuzi huo wa serikali ya Marekani ni mauaji ya kimbari na jinai dhidi ya binadamu katika mkoa wa Xinjiang na vitendo vingine vya ukiukwaji wa haki za binadamu China.
-
Iran yalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya mahakama ya ICC
Dec 09, 2021 01:11Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).