Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mwanadiplomasia wa zamani wa Marekani: Washington haitaondoka Iraq mwishoni mwa 2021

    Mwanadiplomasia wa zamani wa Marekani: Washington haitaondoka Iraq mwishoni mwa 2021

    Dec 07, 2021 23:03

    Aliyekuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani David Schenker amedai kuwa, nchi hiyo haina nia ya kuwaondoa askari wake katika ardhi ya Iraq ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2021.

  • Hossein Amir-Abdollahian: Marekani haiwezi kurejea kwenye mapatano ya JCPOA bila ya kuondoa vikwazo

    Hossein Amir-Abdollahian: Marekani haiwezi kurejea kwenye mapatano ya JCPOA bila ya kuondoa vikwazo

    Dec 07, 2021 04:30

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa, hakuna njia yoyote ya kuiwezesha Marekani kurejea katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kuondoa vikwao vyake vya kidhalimu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Araqchi: Marekani inabeba dhima kwa hali ya sasa Afghanistan

    Araqchi: Marekani inabeba dhima kwa hali ya sasa Afghanistan

    Dec 05, 2021 23:46

    Katibu wa Baraza la Kistratajia la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesema Marekani ndiyo inayopaswa kulaumiwa na kuwabishwa kutokana na matatizo mengi yanaoikumba Afghanistan.

  • Marekani yaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika vita vya Yemen

    Marekani yaendelea kushirikiana na Saudi Arabia katika vita vya Yemen

    Dec 04, 2021 23:07

    Mashambulio ya mabomu dhidi ya Yemen yanayofanywa na jeshi la muungano unaoongozwa na Saudi Arabia yanaendelea huku nchi za Magharibi, zinazotoa nara za kutetea haki za binadamu hususan Marekani, zikiendelea kuisaidia Saudi Arabia katika kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Kuongezeka kwa mzozo kati ya Russia na Magharibi juu ya Ukraine na upanuzi wa NATO kuelekea Mashariki

    Kuongezeka kwa mzozo kati ya Russia na Magharibi juu ya Ukraine na upanuzi wa NATO kuelekea Mashariki

    Dec 04, 2021 11:06

    Katika wiki za hivi karibuni, makabiliano kati ya Russia na Magharibi kuhusu Ukraine yamechukua sura mpya, huku pande mbili zikitoa maonyo ya mara kwa mara kuhusu hatua zozote za kijeshi.

  • Israel na Marekani vizuizi vikuu vya kuwepo Mashariki ya Kati isiyo na silaha za maangamizi ya umati

    Israel na Marekani vizuizi vikuu vya kuwepo Mashariki ya Kati isiyo na silaha za maangamizi ya umati

    Dec 03, 2021 09:29

    Fikra ya kuwepo Mashariki ya Kati isiyo na silaha za mauaji ya halaiki ilitolewa miaka kadhaa iliyopita lakini hadi sasa fikra hiyo haijatekelezwa kivitendo.

  • Kamanda wa IRGC: Marekani iondoke karibu na ardhi ya Iran

    Kamanda wa IRGC: Marekani iondoke karibu na ardhi ya Iran

    Dec 03, 2021 01:17

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameitaka Marekani iviondoe vikosi vyake katika maeneo yanayopakana na Jamhuri ya Kiislamu, kabla hawajafikiwa na hatima kama waliyopata huko Afghanistan.

  • Wamarekani wengi wana wasiwasi wa kutokea vita kati ya nchi yao na China

    Wamarekani wengi wana wasiwasi wa kutokea vita kati ya nchi yao na China

    Dec 02, 2021 03:38

    Uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonyesha kuwa raia wengi wana hofu ya kutokea vita baina ya nchi hiyo na China katika miaka mitano ijayo.

  • Kuunga mkono kundi la 4+1 kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Kuunga mkono kundi la 4+1 kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Nov 30, 2021 23:10

    Sambamba na kuanza duru ya saba ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 huko Vienna Austria, kumeongezeka himaya na uungaji kwa takwa la haki na la kisheria la Iran la kuondolewa vikwazo vya upande mmoja ilivyowekewa kidhalimu na Marekani.

  • Iraq: Tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini haibadilishiki

    Iraq: Tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini haibadilishiki

    Nov 27, 2021 23:20

    Msemaji wa Komandi ya Operesheni za Pamoja ya Iraq amesema kuwa, wakati wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini humo haibadilishiki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS