Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Maelfu waandamana katika bandari ya Oakland, Marekani kuiunga mkono Palestina

    Maelfu waandamana katika bandari ya Oakland, Marekani kuiunga mkono Palestina

    Jun 05, 2021 02:28

    Maandamano ya maelfu ya watu ya kuiunga mkono Palestina na kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina yamefanywa kwa kushirikiana na Muungano wa Wafanyakazi wa Bandari za Marekani. Maandamano hayo yamefanikiwa kuzuia meli ya utawala wa Kizayuni wa Israel kukaribia bandari hiyo.

  • Biden atahadharisha kuhusu ugaidi wa wabaguzi wa rangi nchini Marekani

    Biden atahadharisha kuhusu ugaidi wa wabaguzi wa rangi nchini Marekani

    Jun 02, 2021 22:01

    Katika hotuba yake ya juzi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa 100 tangu baada ya mauaji yaliyofanywa na wazungu dhidi ya Wamarekani weusi katika mji wa Tulsa jimboni Oklahoma, Rais Joe Biden wa Marekani aliutaja ugaidi wa wazungu wabaguzi wa rangi wanaojiona kuwa bora kuliko wanadamu wengine kuwa ni tishio hatari zaidi kwa Marekani.

  • Wanaokubali chanjo ya Corona Marekani kupewa 'zawadi' ya bunduki

    Wanaokubali chanjo ya Corona Marekani kupewa 'zawadi' ya bunduki

    Jun 02, 2021 02:45

    Jimbo la West Virginia nchini Marekani limetangaza 'zawadi' mbalimbali kwa wakazi wa jimbo hilo wataokubali kupigwa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19, ikiwemo zawadi ya bunduki.

  • Mwanasayansi wa Marekani atahadharisha, asema kutaibuka COVID-26 na COVID-32

    Mwanasayansi wa Marekani atahadharisha, asema kutaibuka COVID-26 na COVID-32

    Jun 01, 2021 21:59

    Mwanasayansi wa Marekani ameonya kwamba, kutajitokeza COVID-26 na COVID-32 iwapo hatufanyika uchunguzi wa kina wa kubaini asili na chanzo cha virusi vya Corona vinavyosababisha maradhi ya COVID-19.

  • Ujerumani kuchungua ujasusi wa Marekani na Denmark dhidi ya viongozi wa EU

    Ujerumani kuchungua ujasusi wa Marekani na Denmark dhidi ya viongozi wa EU

    May 31, 2021 22:21

    Msemaji wa serikali ya Ujerumani ameeleza msimamo wa Berlin baada ya kufichuliwa ujasusi uliofanywa na Idara ya Usalama wa Taifa ya Marekani na Shirika la Ujasusi la Denmark kwa viongozi wa Ulaya.

  • Meli ya Israel yazuiwa kutia nanga nchini Marekani kutokana na jinai za Wazayuni

    Meli ya Israel yazuiwa kutia nanga nchini Marekani kutokana na jinai za Wazayuni

    May 31, 2021 02:52

    Vyama kadhaa vya ushirika vya Marekani vimeizuia meli ya utawala wa Kizayuni isitie nanga katika bandari moja ya Auckland nchini Marekani kutokana na jinai kubwa zilizofanywa na Israel dhidi ya watoto wa Palestina.

  • Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    May 28, 2021 08:01

    Wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani na ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Jakarta kulalamikia na kulaani uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala haramu wa Israel.

  • Maelfu ya watoto wahajiri wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya Marekani

    Maelfu ya watoto wahajiri wanashikiliwa katika mazingira ya kuogofya Marekani

    May 28, 2021 07:49

    Watoto zaidi ya 4,300 ambao hawana wazazi wala wasimamizi na ambao waliingia nchini Marekani wakitokea Mexico wanazuiliwa katika mazingira ya kutisha jimboni Texas.

  • Biden ataka Congress ichukue hatua baada ya watu wengine 8 kuuawa kwa risasi Marekani

    Biden ataka Congress ichukue hatua baada ya watu wengine 8 kuuawa kwa risasi Marekani

    May 27, 2021 03:44

    Rais Joe Biden wa Marekani amelitaka Bunge la Kongresi la nchi hiyo litekeleze hatua za kukomesha janga la uhalifu wa silaha za moto nchini humo, masaa machache baada ya Wamarekani wanane kuuawa katika tukio jingine la ufyatuaji risasi.

  • Umoja wa Ulaya wakaribisha kurefushwa makubaliano ya kiufundi kati ya Iran na IAEA

    Umoja wa Ulaya wakaribisha kurefushwa makubaliano ya kiufundi kati ya Iran na IAEA

    May 26, 2021 03:59

    Enrique Mora Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Ulaya Kuhusu Hatua za Kigeni amekaribisha makubaliano ya kiufundi yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia IAEA na kuyataja kuwa 'makuabaliano mazuri.' Amesema makubaliano hayo yataandaa uwanja unaofaa kwa ajili ya kufikiwa mapatano ya kuridhisha mjini Vienna.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS