Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Biden akariri madai yasiyo na msingi kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran

    Biden akariri madai yasiyo na msingi kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran

    Apr 29, 2021 07:39

    Rais Joe Biden wa Marekani amekariri tena madai yake yasiyo na msingi kuhusiana na miradi ya kuzalisha niishati ya nyuklia nchini Iran.

  • Mazungumzo ya Vienna, maendeleo na changamoto zake

    Mazungumzo ya Vienna, maendeleo na changamoto zake

    Apr 28, 2021 05:35

    Katika fremu ya utekelezaji wa hatua za kistratijia kwa ajili ya kufuta vikwazo vya kidhalimu na kulinda maslahi ya taifa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilichukua hatua za kulipiza kisasi ikijibu hatua ya Marekani na kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile hatua ya nchi za Ulaya ya kutotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa makubaliano hayo.

  • Mawakili watajika duniani: Mauaji ya watu weusi yanayofanywa na Polisi wa Marekani ni jinai dhidi ya binadamu

    Mawakili watajika duniani: Mauaji ya watu weusi yanayofanywa na Polisi wa Marekani ni jinai dhidi ya binadamu

    Apr 28, 2021 03:34

    Mawakili watajika wa haki za binadamu duniani kote waliofanya uhakiki kuhusu ukatili unaofanywa na polisi ya Marekani wametangaza kuwa, mauaji na mashambulio ya kuwajeruhi raia weusi yanayofanywa na askari polisi wa nchi hiyo yamefikia kiwango cha jinai dhidi ya binadamu.

  • Katika siku 100 za kwanza za urais wake, Biden ametoa kauli 67 za uongo na upotoshaji

    Katika siku 100 za kwanza za urais wake, Biden ametoa kauli 67 za uongo na upotoshaji

    Apr 27, 2021 23:14

    Jopo la kutafiti uhakika wa mambo la gazeti la Washington Post limeeleza katika ripoti yake ya kutathmini siku 100 za kwanza za utendaji wa Rais Joe Biden wa Marekani, kwamba katika hotuba alizotoa, mahojiano aliyofanyiwa na jumbe za Twitter alizotuma hadi sasa, kiongozi huyo ametoa madai 67 ya uongo au upotoshaji mambo.

  • CAIR: Manyanyaso dhidi ya Waislamu yaliongezeka kwa asilimia 9 nchini Marekani mwaka uliopita

    CAIR: Manyanyaso dhidi ya Waislamu yaliongezeka kwa asilimia 9 nchini Marekani mwaka uliopita

    Apr 27, 2021 03:14

    Kundi linaloongoza kwa kutetezi haki za Waislamu nchini Marekani lilitangaza Jumatatu ya jana kwamba kumekuwepo ongezeko la asilimia 9 ya idadi ya malalamiko ya unyanyasaji dhidi ya Waislamu ambayo yalipokewa mwaka uliopita wa 2020 ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.

  • Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan

    Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan

    Apr 26, 2021 23:51

    Jenerali Austin Scott Miller, kamanda wa askari wa Marekani na wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) nchini Afghanistan alitangaza Jumapili iliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, mchakato wa kuondoka wanajeshi wa Marekani na wa NATO huko Afghanistan umeanza katika baadhi ya vituo vya kijeshi nvya nchi hiyo na kwamba, vituo vyote vya kijeshi vitakabidhiwa kwa vikosi vya Kiafghani.

  • Saudi Leaks: Bin Salman anatumia pombe, ni mraibu wa dawa za kulevya

    Saudi Leaks: Bin Salman anatumia pombe, ni mraibu wa dawa za kulevya

    Apr 26, 2021 23:50

    Mtandao wa Saudi Leaks umefichua kuwa, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman anatumia dawa za kulevya ni ni mraibu wa heroni.

  • Wamarekani zaidi ya elfu 13 wameaga dunia kwa silaha moto tangu mwanzoni mwa mwaka huu

    Wamarekani zaidi ya elfu 13 wameaga dunia kwa silaha moto tangu mwanzoni mwa mwaka huu

    Apr 26, 2021 23:50

    Ripoti iliyotolewa katika makavazi ya ukatili wa silaha nchini Marekani inaonyesha kuwa, zaidi ya watu elfu 13 wamepoteza maisha katika matukio ya ufyatuaji risasi nchini humo tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2021.

  • Malalamiko yaendelea Marekani kupinga ubaguzi na ukandamizaji wa polisi

    Malalamiko yaendelea Marekani kupinga ubaguzi na ukandamizaji wa polisi

    Apr 25, 2021 21:59

    Maandamano yanaendelea katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Marekani kulaani ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa jeshi la polisi la nchi hiyo baada ya kuuliwa na polisi, Mmarekani mwengine mwenye asili ya Afrika kwenye jimbo hilo.

  • Yafichuka: Bin Salman anahonga vyombo vya habari ili kusafisha sura yake duniani

    Yafichuka: Bin Salman anahonga vyombo vya habari ili kusafisha sura yake duniani

    Apr 25, 2021 07:49

    Mtandao mmoja wa habari nchini Marekani umefichua kuwa, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman amefunga mkataba wa gharama kubwa ya fedha na kampuni moja ya Marekani kwa shabaha ya kuboresha sura yake iliyochafuka sana mbele ya macho ya walimwengu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS