Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • UN yataka kufanyika marekebisho ya haraka katika muundo wa polisi Marekani

    UN yataka kufanyika marekebisho ya haraka katika muundo wa polisi Marekani

    Jun 13, 2020 00:09

    Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Kutokomeza Ubaguzi wa Rangi jana Ijumaa iliitaka serikali ya Marekani kutetekeleza marekebisho haraka iwezekanavyo kwa ajili ya kuondoa ubaguzi wa rangi wa kimfumo katika muundo wa polisi ya nchi hiyo.

  • China yapinga kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    China yapinga kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jun 12, 2020 23:41

    Kwa mara nyingine tena China imepinga vikali njama za Marekani za kutaka kurefushwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran. Muda wa vikwazo hivyo unafikia tamati Oktoba mwaka huu wa 2020, kwa mujibu wa Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  •  Joe Biden: Trump atafanya jaribio la kuiba kura za uchaguzi wa rais, atang’ang’ania White House

    Joe Biden: Trump atafanya jaribio la kuiba kura za uchaguzi wa rais, atang’ang’ania White House

    Jun 12, 2020 06:45

    Mgombea kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden amesema kuwa ana wasiwasi kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo atafanya jaribio la kuiba kura iwapo atashindwa katika uchaguzi ujao wa rais.

  • Matokeo mabaya ya vitendo viovu vya Marekani dhidi ya Iran; kuendelea kuvunjwa sheria duniani

    Matokeo mabaya ya vitendo viovu vya Marekani dhidi ya Iran; kuendelea kuvunjwa sheria duniani

    Jun 12, 2020 05:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Marekani haina haki ya kuutumia vibaya Umoja wa Mataifa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kuiharibia jina Iran.

  • Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika

    Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika

    Jun 12, 2020 03:32

    Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imekuwa ikipinga suala la kuongezeka nguvu, ustawi na satua ya China katika uwanja wa kimataifa na imeitambua nchi hiyo kuwa ni tishio kwa ulimwengu wa Magharibi ikizitaka nchi za Ulaya kupunguza uhusiano wao na Beijing.

  • Masanamu yanayoashiria ubaguzi yaendelea kuvunjwa  Marekani na waandamanaji wenye hasira

    Masanamu yanayoashiria ubaguzi yaendelea kuvunjwa Marekani na waandamanaji wenye hasira

    Jun 12, 2020 03:23

    Waandamanaji wenye hasira nchini Marekani na maeneo mengine duniani wanaendeleza mkakati wa kuangusha, kuharibu na kuondoa masanamu ya wabaguzi wa rangi.

  • Mapatano ya Washington na Baghdad kuhusu kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq

    Mapatano ya Washington na Baghdad kuhusu kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq

    Jun 12, 2020 03:16

    Kumefikiwa mapatano ya kupunguzwa askari wa Marekani nchini Iraq. Mapatano hayo yamefikiwa Alhamisi katika mkutano uliofanyika baina ya Abdulkarim Hashemi Mustafa mwakilishi wa serikali ya Iraq na David Hale mwakilishi wa serikali ya Marekani.

  • Zarif: Marekani mara hii inatumia mabavu dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Zarif: Marekani mara hii inatumia mabavu dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai

    Jun 12, 2020 03:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa kadhaa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kusema, hivi sasa ICC inahujumiwa na genge la wahalifu wambao wanajiarifisha kuwa ni wanadiplomasia."

  • Wasiwasi waongezeka kuhusu hali mbaya nchini Marekani kufuatia maambukizi ya Corona

    Wasiwasi waongezeka kuhusu hali mbaya nchini Marekani kufuatia maambukizi ya Corona

    Jun 11, 2020 22:05

    Kuongezeka kwa idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Marekani na kufikia zaidi ya waathirika milioni mbili, kumezidisha hali ya wasiwasi nchini humo kuhusiana na kasi ya maambukizi ya virusi hivyo.

  • Vikwazo vya kukaririwa vya Marekani dhidi ya Iran na kufeli mtawalia kwa sera za Washington

    Vikwazo vya kukaririwa vya Marekani dhidi ya Iran na kufeli mtawalia kwa sera za Washington

    Jun 11, 2020 22:00

    Baada ya kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani ilianza kutekeleza vikwazo na mashinikizo ya kiwango cha juu ikiwa na lengo la kuidhoofisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kisha kuilazimisha kuketi kwenye meza ya mazungumzo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS