Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wajumbe zaidi ya 100 wa Baraza la Wawakilishi Marekani waukataa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Wajumbe zaidi ya 100 wa Baraza la Wawakilishi Marekani waukataa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Feb 08, 2020 09:27

    Wajumbe 107 wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua rais wa nchi hiyo Donald Trump wakiupinga vikali mpango wake alioupa jina la "Muamala wa Karne".

  • Ombi la Rais wa Ufaransa la kuangamizwa silaha za nyuklia

    Ombi la Rais wa Ufaransa la kuangamizwa silaha za nyuklia

    Feb 08, 2020 04:02

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, jana Ijumaa alitangaza uamuzi wa nchi yake wa kupunguza idadi ya silaha zake za nyuklia hadi chini ya vichwa 300 vya nyuklia.

  • Kufuatiliwa kisheria hatua za kigaidi za Donald Trump dhidi ya Iran

    Kufuatiliwa kisheria hatua za kigaidi za Donald Trump dhidi ya Iran

    Feb 07, 2020 23:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran hivi sasa iko katika mchakato wa kufuatilia kisheria katika taasisi za kimataifa; hatua tatu za kigaidi zilizochukuliwa na Marekani dhidi ya Iran.

  • Raisi: Marekani ikituvamia tutavitimua vikosi vyake Ghuba ya Uajemi

    Raisi: Marekani ikituvamia tutavitimua vikosi vyake Ghuba ya Uajemi

    Feb 07, 2020 23:29

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran ameonya dhidi ya tishio lolote la adui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kubainisha kuwa, iwapo Washington itathubutu kuchukua hatua yoyote iliyo dhidi ya Iran basi taifa hili litawatimua hadi chini ya Ghuba ya Uajemi wanajeshi wa Marekani.

  • Kumalizika mchakato wa kuuzuliwa Trump, kuendelea mgawanyiko wa kisiasa Marekani

    Kumalizika mchakato wa kuuzuliwa Trump, kuendelea mgawanyiko wa kisiasa Marekani

    Feb 06, 2020 21:41

    Hatimaye baada ya miezi kadhaa ya vuta nikuvute nchini Marekani, kadhia ya kuuzuliwa rais wa nchi hiyo imemalizika baada ya Baraza la Seneti linalohodhiwa na Warepublican kumtoa hatiani Donald Trump na kufumbia macho utumiaji wake vibaya madaraka.

  • Pentagon yatahadharisha kuhusu ongezeko la kujiua askari wa kikosi cha anga Marekani

    Pentagon yatahadharisha kuhusu ongezeko la kujiua askari wa kikosi cha anga Marekani

    Feb 06, 2020 21:39

    Wizara ya Ulinzi nchini Marekani (Pentagon) imetahadharisha juu ya ongezeko la kujiua maafisa wa jeshi la anga la nchi hiyo.

  • Rais wa Kenya aonya kuhusu ushindani wa Marekani na China barani Afrika

    Rais wa Kenya aonya kuhusu ushindani wa Marekani na China barani Afrika

    Feb 06, 2020 08:46

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametahadharisha kuhusiana na ushindani wa Marekani na China barani Afrika na kubainisha kwamba, madola ya kigeni yanazidisha mgawanyiko na mivutano katika bara hilo.

  • Mkutano wa siri wa Marekani, UAE na Israel kujadili njama dhidi ya Iran

    Mkutano wa siri wa Marekani, UAE na Israel kujadili njama dhidi ya Iran

    Feb 05, 2020 04:19

    Kumefanyika mkutano wa siri kati ya Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa lengo la kujadili njama dhidi ya Iran.

  • EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina

    EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina

    Feb 05, 2020 01:16

    Umoja wa Ulaya umepinga mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambao unakandamiza haki za taifa la Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" ukisisitiza kuwa, mpango huo unakanyaga sheria za kimataifa.

  • Mbunge wa Marekani akiri kuwa serikali ya Washington imetenda kosa kuwadadisi raia wa Iran

    Mbunge wa Marekani akiri kuwa serikali ya Washington imetenda kosa kuwadadisi raia wa Iran

    Feb 04, 2020 10:18

    Mbunge wa chama cha Democrat katika bunge la wawakilishi amekiri kwamba serikali ya nchi hiyo imefanya kosa katika kuwakamata na kuwadadisi raia wa Iran katika mipaka ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS