Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran

    China yaitaka Marekani isitishe mashinikizo yake dhidi ya Iran

    Jun 19, 2019 21:52

    China imeionya vikali Marekani kuhusu taathira hasi ya kutangaza kuwa itatuma wanajeshi 1,000 wa ziada katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati); huku ikiitaka Washington ikomeshe mashinikizo yake ya kuchupa mipaka dhidi ya Tehran.

  • Trump aahidi kuponya Ukimwi na kuwapeleka Wamarekani sayari ya 'Mars' akichaguliwa tena

    Trump aahidi kuponya Ukimwi na kuwapeleka Wamarekani sayari ya 'Mars' akichaguliwa tena

    Jun 19, 2019 03:18

    Rais Donald Trump wa Marekani ameahidi kuwa iwapo atashinda muhula wa pili katika uchaguzi wa rais mwaka ujao, basi utawala wake utatoa tiba ya maradhi hatari ya saratani na Ukimwi.

  • Russia: Marekani inapaswa kurejea haraka kwenye JCPOA

    Russia: Marekani inapaswa kurejea haraka kwenye JCPOA

    Jun 19, 2019 03:18

    Russia imesema Marekani inapaswa kurejea mara moja kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Marekani yaiondoa Saudia katika orodha yake ya nchi zinazowasajili watoto jeshini

    Marekani yaiondoa Saudia katika orodha yake ya nchi zinazowasajili watoto jeshini

    Jun 19, 2019 03:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo ameliondoa jina la Saudi Arabia katika orodha ya Washington ya nchi zinazowasajili watoto jeshini.

  • Muqawama mbele ya Marekani; taifa la Iran litapata ushindi katika vita vya irada

    Muqawama mbele ya Marekani; taifa la Iran litapata ushindi katika vita vya irada

    Jun 19, 2019 02:58

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema mapambano au muqawama ndio njia pekee ya kukabiliana na adui na kuongeza kuwa: "Mapambano ni njia pekee ya kupata ushindi mbele ya sera za Marekani, na ushindi wa taifa la Iran uko karibu."

  • Ilhan Omar asisitiza kurejea White House katika makubaliano ya JCPOA

    Ilhan Omar asisitiza kurejea White House katika makubaliano ya JCPOA

    Jun 18, 2019 03:28

    Mbunge Muislamu katika baraza la wawakilishi la Marekani amesema kuwa Washington inapasa kurudi kwenye meza ya mazungumzo na katika makubaliano ya nyuklia na Iran.

  • Kuhusishwa kundi la Daesh (ISIS), Saudia na Imarati na shambulizi la meli za mafuta

    Kuhusishwa kundi la Daesh (ISIS), Saudia na Imarati na shambulizi la meli za mafuta

    Jun 17, 2019 03:16

    Anthony Cordesman, mchambuzi wa nchini Marekani kuhusu masuala ya Iran amesema kuwa, kuna uwezekano mkubwa kwamba tukio la kushambuliwa meli mbili za mafuta za Japan katika Bahari ya Oman, lilifanywa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa ushirikiano na ufadhili wa Saudia na Imarati.

  • Njia za utatuzi za Rais Vladmir Putin kwa ajili ya mapatano ya JCPOA

    Njia za utatuzi za Rais Vladmir Putin kwa ajili ya mapatano ya JCPOA

    Jun 17, 2019 00:04

    Hatua ya Marekani ya kujiondoa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana na pia ukiukaji wa ahadi wa mara kwa mara wa Umoja wa Ulaya ambao umeshindwa kulinda mapatano hayo kupitia kuanzisha mfumo utakaosaidia kupunguza athari hasi za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, ni mambo yaliyoyaweka katika hali mbaya mapatano hayo.

  • Wamarekani waandamana katika miji 130 wakitaka Rais Donald Trump asailiwe

    Wamarekani waandamana katika miji 130 wakitaka Rais Donald Trump asailiwe

    Jun 16, 2019 09:07

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji tofauti inayokaribia 130 wakitaka Rais Donald Trump wa nchi hiyo asailiwe.

  • Larijani: Mashambulizi yaliyojaa utata dhidi ya meli za mafuta Bahari ya Oman ni ukamilishaji wa vikwazo dhidi ya Iran

    Larijani: Mashambulizi yaliyojaa utata dhidi ya meli za mafuta Bahari ya Oman ni ukamilishaji wa vikwazo dhidi ya Iran

    Jun 16, 2019 07:57

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Marekani hivi sasa imesakamwa na kipengee cha kisiasa cha kutoona haya na kukosa heshima ambacho kinaifanya isizingatie matokeo ya matamshi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS