-
Rouhani: Iran itaendelea na muqawama wake hadi Marekani irejee katika mkondo sahihi
Jun 03, 2019 02:40Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kufungamana na sera yake ya muqawama hadi pale Marekani itakaporejea katika mkondo ulio sahihi na ikiri kuwa ilikuwa imefuata mkondo mbaya.
-
Ufyatuaji risasi wajiri mbele ya ikulu ya Marekani White House
Jun 02, 2019 23:59Vyombo vya habari nchini Marekani vimeripoti kujiri ufyatuaji risasi mbele ya ikulu ya nchi hiyo White House.
-
China yajibu vitisho vya Marekani vya kuitaka Hong Kong izizuie meli za mafuta za Iran
Jun 02, 2019 02:28Serikali ya China imetupilia mbali vitisho vya Marekani vya kuitaka kuziwekea vikwazo meli za mafuta za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zisitie nanga na kutoa huduma zake katika bandari ya Hong Kong.
-
Ripoti mpya ya IAEA kuhusu Iran; sisitizo la kufungumana Tehran na makubaliano ya JCPOA
Jun 01, 2019 22:04Licha ya tuhuma zinazotolewa na Marekani kwamba Iran haijatekeleza majukumu wala kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na hata imeituhumu nchi hiyo kuwa inafanya juhudi za kuunda silaha za nyuklia, lakini ripoti ya karibuni ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) inaeleza kuwa, Tehran inaendelea kuheshimu na kutekeleza majukumu yake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Uturuki: Hatujaakhirisha uamuzi wa kununua ngao ya S 400 ya Russia
Jun 01, 2019 03:04Serikli ya Uturuki imekadhibisha habari zilizoenezwa kwamba imesimamisha kwa muda mchakato wa ununuzi wa ngao ya makombora ya S 400 ya Russia kwa pendekezo la Marekani.
-
Juhudi za Marekani za kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta; ukweli au madai tu?!
May 31, 2019 23:52Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza kuiondoa nchi yake katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA, alitangaza kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo katika hatua mbili, yaani vya mwezi Agosti na Novemba mwaka jana wa 2018.
-
Ujumbe unaokinzana wa Trump kwa Iran
May 30, 2019 21:52Rais Donald Trump wa Marekani siku zote amekuwa na misimamo ya kihasama na kiadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na daima anasisitiza suala la kuzidisha masihinizo dhidi ya Tehran kwa shabaha ya kuilazimisha kukubali matakwa ya Washington.
-
China yaituhumu Marekani kuwa inatekeleza 'Ugaidi wa Kiuchumi'
May 30, 2019 07:10China imeituhumu Marekani kuwa inachochea kwa makusudi mizozo ya kibiashara ambayo ni sawa na 'ugaidi wa wazi wa kiuchumi.'
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; taathira ya nyenzo za mashinikizo za Iran mkabala wa Marekani
May 30, 2019 06:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwa mara nyingine tena kuwa kamwe Iran haitafanya mazungumzo na Marekani kwa sababu mazungumzo hayo kwanza, hayana faida yoyote na pili ni kwamba yana madhara kwa taifa la Iran.
-
Takwa la Moscow na Damascus la kuondoka askari wa Marekani nchini Syria
May 30, 2019 03:22Licha ya kutangazwa kwa mara ya kwanza na Rais Donald Trump wa Marekani habari ya kuondoka askari wa nchi yake kutoka Syria, hapo tarehe 19 Disemba mwaka jana, lakini hadi sasa Washington imeendelea kusisitizia kubakisha askari wake nchini humo.