-
Kufungwa UNRWA; takwa jipya la Marekani dhidi ya Palestina
May 24, 2019 00:11Rais Donald Trump wa Marekani alipoingia katika ikulu ya nchi hiyo White House, alichukua msimamo wa kuiunga mkono Israel bila ya masharti yoyote na wakati huo huo kudhihirisha uhasama wa waziwazi dhidi ya Wapalestina.
-
Rais Rouhani: Taifa la Iran litamfanya adui ajute
May 23, 2019 23:14Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kwa mara nyingine, taifa la Iran litamfanya adui ajute katika vita vya kiuchumi."
-
Seneta: Trump anatumia Iran kama kisingizio cha kuiuzia Saudia mabomu zaidi
May 23, 2019 23:13Seneta mmoja wa Marekani ameonya kuwa, yumkini Rais Donald Trump akatumia kisingizio cha taharuki kati ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama kisingizo cha kuiuzia Saudi Arabia mabomu mapya, bila idhini ya Kongresi ya nchi hiyo.
-
Meja Jenerali Baqeri: Jeshi la Iran linafuatilia nyendo za Marekani katika Ghuba ya Uajemi
May 23, 2019 23:12Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jeshi la Iran linafuatilia kwa karibu nyendo na harakati za Marekani katika Ghuba ya Uajemi.
-
Utafiti: Aghalabu ya Wamarekani wanapinga kushambuliwa Iran
May 22, 2019 06:18Utafiti mpya wa maoni unaonesha kuwa akthari ya wananchi wa Marekani hawaungi mkono wazo la kushambuliwa kijeshi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani.
-
Haftar atoa dola milioni 2 kuimarisha uhusiano wa 'Jeshi la Kitaifa la Libya' na Marekani
May 22, 2019 06:07Kamanda wa vikosi vinavyojiita Jeshi la Kitaifa la Libya lenye uhusiano wa karibu na Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) amekodisha shirika moja la kulobi la Marekani kwa shabaha ya kumsaidia kuimarisha uhusiano wake na Marekani.
-
Sisitizo la viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa la kulindwa mapatano ya JCPOA
May 22, 2019 05:18Mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA yalifikiwa mwezi Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1 lililojumuisha nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Russia, China pamoja na Ujerumani na Umoja wa Ulaya. Mapatano hayo yalianza kutekelezwa mwezi Januari 2016.
-
Kusambaratika uwezo wa Marekani kwa mtazamo wa Kamanda Mkuu wa Jeshi la SEPAH (IRGC)
May 21, 2019 03:52Ubeberu wa Marekani uko katika mkondo wa kusambaratika na hivi karibuni utafikia mwisho wake.
-
Meli za kivita za Marekani zafika mipaka ya China, hali ya taharuki yaendelea
May 20, 2019 06:12Jeshi la Marekani limetuma meli zake za kivita ambazo zimefika karibu na visiwa vya China katika Bahari ya Kusini ya China katika hatua ambayo imewakasirisha wakuu wa Beijing na hivyo kupelekea hali ya taharuki kuendelea baina ya nchi hizo mbili ambazo tayari ziko katika vita vya kibiashara.
-
Harakati ya al-Nujaba ya Iraq: Marekani inatafuta wenzo wa kuibua machafuko Asia Magharibi
May 20, 2019 05:23Mkuu wa Baraza la Utendaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujaba nchini Iraq, Nasr al-Shammari amesema kuwa, Marekani inafuatilia wenzo wa kuibua machafuko katika eneo eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ikiwemo Iraq.