Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • China, Russia, Ufaransa na Ujerumani zatoa radiamali zao kufuatia tangazo la Iran

    China, Russia, Ufaransa na Ujerumani zatoa radiamali zao kufuatia tangazo la Iran

    May 08, 2019 09:20

    Russia, China, Ufaransa na Ujerumani ambazo ni katika nchi tano zilizosalia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA zimetoa radimali kufuatia uamuzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kusimamisha kwa muda utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake kuhusu mapatano hayo, ikiwa ni mwaka mmoja baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo muhimu ya kimataifa.

  • Vikwazo vya upande mmoja vya Marekani; ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu

    Vikwazo vya upande mmoja vya Marekani; ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu

    May 08, 2019 02:32

    Utawala wa Marekani ndio unaoshikilia rekodi ya kuziwekea nchi nyingine vikwazo tofauti tofauti.

  • Usalama Waimarishwa misikitini Marekani kabla ya kuanza Mwezi wa Ramadhani

    Usalama Waimarishwa misikitini Marekani kabla ya kuanza Mwezi wa Ramadhani

    May 06, 2019 03:25

    Misikiti nchini Marekani imeimarisha usalama kwa kuwaajiri walinzi wenye silaha kabla ya kuanza Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza

    Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza

    May 05, 2019 03:07

    Serikali ya Marekani imefumbia macho jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina na badala yake imelaani mashambulizi ya kujihami kwa makombora yanayofanywa na wanamapambano wa Kiislamu huko Ghaza.

  • Hatua mpya ya Marekani dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Hatua mpya ya Marekani dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    May 04, 2019 06:38

    Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni makubaliano muhimu sana katika fremu ya kulinda amani na usalama wa kimataifa; hata hivyo tarehe 8 mwezi Mei mwaka jana Marekani ilijitoa kwenye makubaliano hayo. Serikali ya Trump mwezi Agosti na Novemba mwaka 2018 katika marhala mbili iliiwekea tena Iran vikwazo vya nyuklia; na ingali inaendeleza mashinikizo ya vikwazo dhidi ya Tehran.

  • Rouhani: Taifa la Iran litamshinda adui yeyote yule

    Rouhani: Taifa la Iran litamshinda adui yeyote yule

    May 04, 2019 03:45

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia njama za maadui dhidi ya Tehran na kusisitiza kuwa, taifa hili la Kiislamu litamshinda adui yeyote yule kwa mshikamano wake, kusimama kidete na kuwa na matumaini na mustakbali mwema.

  • Ripoti: Chuki dhidi ya Waisraeli yaongezeka maradufu nchini Marekani

    Ripoti: Chuki dhidi ya Waisraeli yaongezeka maradufu nchini Marekani

    May 03, 2019 09:04

    Ripoti mpya inaonesha kuwa mashambulizi na matamshi ya chuki dhidi ya Mayahudi wanaoishi nchini Marekani yameongezeka maradufu.

  • Onyo kali la Moscow dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Washington nchini Venezuela

    Onyo kali la Moscow dhidi ya uingiliaji wa kijeshi wa Washington nchini Venezuela

    May 03, 2019 03:08

    Katika kipindi hiki cha uongozi wa Rais Donald Trump wa Marekani, nchi hiyo imeongeza maradifu juhudi zake za kutaka kuiangusha serikali halali ya mrengo wa kushoto ya Venezuela inayoongozwa na Rais Nicolas Maduro.

  • Iran yalaani jaribio la Marekani la kutaka kuipindua serikali ya Venezuela

    Iran yalaani jaribio la Marekani la kutaka kuipindua serikali ya Venezuela

    May 02, 2019 23:27

    Iran imelaani jaribio la hivi karibuni la Marekani la kutaka kuipindua serikali halali ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela.

  • Iran yakosoa sera haribifu za Marekani katika kuzuia utekelezwaji wa azimio nambari 2231

    Iran yakosoa sera haribifu za Marekani katika kuzuia utekelezwaji wa azimio nambari 2231

    May 02, 2019 02:23

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa umekosoa sera za Marekani za kuzuia utekelezwaji wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama na kuzitaja sera hizo kuwa haribifu na kusisitiza kwamba azimio hilo halijaweka kizuizi katika mpango wa kawaida wa makombora ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS